Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kuwajibika kwa kudanganya Taifa lililokuwa na taharuki kubwa

Na yule mwengine akasema ametoka kuongea nae asubuhi akimshukuru kwa fedha za miradi alizompa
Hawa watu wamefanya vitendo ambavyo vimeifedhehesha sana serikali.

Wanasababisha serikali kuonekana kama ya komedian.
 
[emoji106][emoji106]
 
J Makamba anafaa kuwa PM

Mtu mwenye tabia ya kuendesha underground campaign dhidi ya boss wake hafai hata kidogo kwa nafasi kama hiyo!

Kama alikuwa na disagreement ya msingi sana na boss wake (i.e., kuhusu jambo lenye maslahi makubwa ya taifa), alipaswa kujiuzulu. Walichofanya yeye na Nape ni usaliti kwa boss wao usiovumilika. Kama walimsaliti JPM wanaweza kumsaliti kiongozi mwingine yeyote. Hawatufai kabisa!
 
Naafiki.
Hakutumia busara.
 
Hiyo kazi muachie Mama Samia maana ni lazima aje na Waziri Mkuu wake. Chance ya Majaliwa iko ndogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…