Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

Eee kumbee
 
Hivi hapa kwetu Changamoto zetu tulishazimaliza ? Mbona kila kukicha mambo yanabadirika sasa from bad to worse.
 
Kwani hii kutuma mwakilishi kaanza leo!
 
Tofautisha tumbafuu ya mgogo na tumbafuu ya msukuma aisee asikwambie mtu tumbafu tusi la kutukanwa na msukuma linauma sana bro
Once upon a time, a clever lioness who used to climb a tree at night to ripe the sweety honeycombs, negligently charged to the trunk; during daylight, upon her left hand stretched deep into the hive, she was angrily circumvented by a swarm of stingy bees and attacked until she lost consciousness, dropping off and subsequently died.!!!
 
Wazee wa kuunganisha dots ktk ubora wao, jiachieni baba, Mungu si keshaamua ugovi.
 
Makamu wa raisi amepotelea wapi?
 
Actually ameogopa adulation. Ameogopa kuingilia Kampeni kule.
Maanake watakuwepo Democrats ( CNN na wengine) ambao watataka kuoshenya kwamba mwanamke anaweza.
Halafu watakuwepo Republicans( kwa mfano Hannity ) ambao watataka kumrarua.
Right mind.
 
Habari mbaya sana hii kwa wasanii. Wengi walikuwa tayari wameandaa Tshirts zenye picha ya mama, za kuingia nazo US.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🫸🫸🫸🫸😞😞😞😉😉😉
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…