Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

She will be in ruvuma

Please bro… don’t get this low

Confirmed list ya TZ delegates ilikua ready for weeks
Mkuu, I have only brought information, I don't think it is wise to judge me, people's opinions are what you should judge
 
But manyanza sio mbumbumbu
 
Angeeda nako mngesema amelimbi soo lake ,yuko hapa kupambana na magaidi wa nchi ,sio mara ya kwanza kiongozi yeyote kumuwakilisha Mh Rais Samia ,acha ujinga dogo

USSR
Nchi ina watu wajinga sana. Naunga mkono polisi wafanye kazi yao. Kuruhusu nchi kuwa na wajinga wa kiwango kilichopo sasa ni hatari kwa afya ya nchi. Hivi kuna wakosoaji wakubwa wa nchi za Magharibi kama Mugabe, Maduro, Iran; na wote hao walikuwa wakienda UNGA.
 
Kwamba safari ya Marekani inaandaliwa kama safari ya kupanda Abood kutoka Dar kwenda Moro au? Ndo umeshishindwa hata kujiongeza kidogo tu?
 
Chadema bhana 😂 kwan n mara ngapi anatuma watu kumuwakilisha? Kwamba h n mara ya kwanza?

Ety kapigwa marufuku kukanyaga nchi kadhaa 😂 Wabongo bhana 😂 kweli akili za kupewa ongeza na ya kwako.
Chadema wako wapi hapo? Hivi huwa mnaelewa ni kwa kiasi gani MaRais wanakuwa na upinzani wa ndani?
 

View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=6-QOW08sd7mGT4Ny
 
Diplomasia ina mawanda MAPANA.....


Siku hizi hata TALIBAN wanakwenda UNGA pia....

Kuna watu walioonekana wabaya kama Hugo Chavez na Muammar Gaddafi ?!!

Nao walikuwa wanakwenda UNGA.....

Kuzomewa na wanaharakati mitaani hakukuwazuia kushiriki huko......

Panua mawazo yako....

#Nchi Na Dr.Samia mpaka 2030 aaamin 😍😍
 
kuna lolote la maana lenye maslahi kwa masikini wa Tanzania litakalojadiliwa??
 
KWA AKILI HIZI CCM ITATAWALA MILELE,

Hakuna wala hayupo na hatawepo wa kuiondoa ccm milele kwa akili hizi zinazojionesha humu kwenye nyuzi nyingi tu hii ikiwa ni mojawapo

Eti raisi aogopa kwenda un,
Na vijana humu wanarespond kwa mihemko kama yote,

Bado sana,ukombozi umbali sana
 
Vasco Dagama kanyea kambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…