Shda ni tumbo!! Njaa mbaya sanaUmenikumbusha
Ustaadh fylani mpenda ubwabwa na laini za mtandao wa tiGO aliyesema mwendakuzimu Ni zaidi ya mtume Sasa sijui alimaanisha mtume yupi.
Muongo wa Taifa huyo. Yeye kila siku ulimi unateleza,basi humo mdomoni mate yake ni mlenda!!The slip of tongue.
The slip of tongue.
[emoji23][emoji23] Noma sana!Muongo wa Taifa huyo. Yeye kila siku ulimi unateleza,basi humo mdomoni mate yake ni mlenda!!
Dini ya KihindiKulingana na dini yake leo ni siku ya 40 tangu mwaka mpya uanze.
Naona kafika Febuary 10Wanabodi natumai mko salama!!
Leo waziri Mkuu kastaajabisha umma kwa kusema leo tar 10/1/2022 ni siku ya 40 ya Mwaka mpya huku akiwa serious kabisa!!
Je,, hii siku ya arobaini ya Mwaka Mpya kwa mujibu wa PM inatoka kwenye calendar gani??
Je ,, ni stress na fear juu ya kutumbuliwa kwenye tittle aliyonayo au mambo ya kibinadamu tu au pengine Kuna calendar ya Siri tusiyoijua??
Naomba kuwakilisha!!
Na salama za upendo juukasha zoea kusema uongo huyo jee umesahau alivopeleka pongezi za marehem msikitini
Hayo huongelewa msikitiniKulingana na dini yake leo ni siku ya 40 tangu mwaka mpya uanze.
πππ"Rais Yuko ikulu anaendelea na majukumu yake"
Huyu Mwamba Mungu anamwona
Huyu Baba Apumzike AnajifedheheshaHuyu jamaa hajawahi kusema ukweli,kwa hiyo usitegemee aseme ukweliπππView attachment 2076126
Shida Ipo SehemuKwa kwel umma Leo umestaajabu!!
Haitakuja kutokea as long as Mkwere is the leading man!!What if PM Majaliwa akiwa Rais wa JMT