Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,317
- 1,817
Tunajigamba kwa amani na utulivu. Ila kuumwa viongozi tuna wasiwasi wa usalama. Inashangaza.Ni Tanzania pekee ndiko Viongozi ni malaika hawatakiwi kuumwa.. Upumbavu.
Labda Nchi ni fragile kwamba wanaogopa kupinduana
Sasa kwa nini huwa mnawapa nafasi za uongozi?hapana, wanalipita kama wanaaga.
Wanapewa na tume ya uchaguzi, toka 1995, wanaoshinda hawatangazwi, Mrema, Maalim, Mbowe, Slaa na Lissu.Sasa kwa nini huwa mnawapa nafasi za uongozi?
Kwa hiyo na wewe huwa unaridhia kuongozwa na mtu aliyepewa ushindi wa mezani?Wanapewa na tume ya uchaguzi, toka 1995 , Wanaoshinda hawatangazwi, Mrema, Maalim, Mbowe, Slaa na Lissu.
Hii kesi tulishamkabidhi MUNGU, alianza kuiamua taratibu, na hata sasa yupo kazini, kwa Mungu hakuna kuwahi wala kuchelewa.Kwa hiyo na wewe huwa unaridhia kuongozwa na mtu aliyepewa ushindi wa mezani?
Unataka kusema hata wale wanojipanga barabarani kumshangilia kiongozi mwizi wa kura Mungu huwa hawaoni?Hii kesi tulishamkabidhi MUNGU, alianza kuiamua taratibu, na hata sasa yupo kazini, kwa Mungu hakuna kuwahi wala kuchelewa.
Hawezi kudannganya tena kwa mara ya pili, alishajifunza.Sijui ikijirudia tena huyu Waziri Mkuu atajificha wapi? Itaonekana kuwa yeye ndiye mchawi.
Mauti Humuumbua......Mficha maradhi....
Haya yanastua mno acha kuyaongelea humu; Serikali wenyewe wapo wataujulishaHanangi hali ni mbaya sana
Sijui chochote mkuu,tusubirie huenda akasitisha ziara kama alivyofanya Samia kurudi nchiniAnaendeleaje!?
safari ambayo haijaratibiwa na nchi na hata kurugenzi ya ikulu isitoe taarifa ya safari yake? ukoo wa panya as usualy.Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa nadhani GENTAMYCINE nilishakushauri hapa hapa JamiiForums kuwa kukiwa na Taharuki yoyote au Tukio lolote lile la Kihisia usipende kuwa na Kiherehere cha Kulisemea kwani Kirekodi una Gundu kwani kila ukijitokeza Kutetea Jambo fulani kwa dhana ya Kulificha huwa linakuumbua na hatimaye Kudharaulika, Kuchekwa na Kutoaminiwa tena.
Premier Kassim Majaliwa jana Umesikika na Kunukuliwa mahala ukisema kuwa Makamu wa Rais Dkt. Phillip Isidori Mpango yuko mzima na nje ya nchi anafanya Shughuli zake za Kiutendaji na Kiuwajibikaji.
Premier Kassim Majaliwa Mimi GENTAMYCINE sina tatizo na hii Taarifa yako ila Kinachonishtua zaidi ni kwamba hata kwa Hayati Dk. Magufuli Uvumi wa Kifo chake ulipoanza na Kuenea kwa Kasi ndani na nje ya Tanzania kama kawaida yako ya kuwa na Kiherehere ulijitokeza na Kutuambia kuwa yuko ni mzima wa Afya, ulizungumza nae, anakunywa Chai Ofisini huku akipitia Mafaili yake wakati kumbe tayari na zamani sana alishakuwa amelazwa katika Mochwari ya Hospitali mbili tofauti kabla ya kupelekwa katika Mochwari ya Wanamedani wa kati ya Kawe na Mwenge.
Binafsi sikuamini tena Premier KMK.
Una ufala mwingi Kama pacomeSijui chochote mkuu,tusubirie huenda akasitisha ziara kama alivyofanya Samia kurudi nchini
Hali ya Baba wa Taifa siyo shwari!Alisemaje yeye