Sawa ila hatujazoea kutosikia taarifa ya ziara ya viongozi mkubwa kama hiyo kusafiri kimya kimya kwa shughuli za kiserikali, Mara zote tumetangaziwa kama ilivyo kwa mama kule Dubai, sasa mtuambie yupo nchi gani? Unions mwananchi wanahoji hii tafsiri take ni Kuwa wana mapenzi men's na viongozi wao, wana wajalihasa kipezi cha mwananchi Dr. Mpango