Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
Sawa ila hatujazoea kutosikia taarifa ya ziara ya viongozi mkubwa kama hiyo kusafiri kimya kimya kwa shughuli za kiserikali, Mara zote tumetangaziwa kama ilivyo kwa mama kule Dubai, sasa mtuambie yupo nchi gani? Unions mwananchi wanahoji hii tafsiri take ni Kuwa wana mapenzi men's na viongozi wao, wana wajalihasa kipezi cha mwananchi Dr. Mpango
 
Kaingia tena mtegoni kwa mara nyingine awamu hii angekwepa hili Ila ndio hivyo kichwa kichwa.
 
Zamani viongozi walikuwa wanaandaliwa, wanafundishwa hata jinsi ya kuongea, kujenga hoja, kujua miongozo ya serikali, kujua maadili, kujua mambo ya kimkakati, kujua mambo mpaka ya kijasusi, kujua mantiki.

Siku hizi ni kama wanasombwasombwa tu.

Kiongozi wa kitaifa au mkuu wa mkoa anaongea unaona huyu muhuni tu, mbabe tu, mjingamjinga tu.

Halafu watu wengine ndiyo wanashangiliaa.
Siku hizi viongozi wanaokotwa okotwa tu... mtu yuko Kidimbwi anatumiwa ujumbe kateuliwa cheo
Nchi hii hata ggy money anaweza kupewa cheo cha juu

Ova
 
Taarifa zilizopo kwenye social media, inasemekana kafanyiwa operations ya Koo........but kama nikweli yupo kikazi inamaana hakwenda na Media teams ya kucover yale anayoyafanya?
 
Ukisikia NI MZIMA na anaendelea na kazi zake kama kawaida Basi mm huwa naiskkia hivi ‘andaa nauli tuka hani Kigoma’
 
Back
Top Bottom