Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
LOo!

Hii ni dalili mbaya kwa Makamu wetu wa Rais.

Huyu Waziri Mkuu anajulikana kutokuwa na weledi katika maswala ya aina hii. Ni bora asinge sema kitu kuhusu jambo hili.
Halafu anaponda mtandao wa kijamii!
 
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Asije akatupanga kama kipindi cha JPM
 
LOo!

Hii ni dalili mbaya kwa Makamu wetu wa Rais.

Huyu Waziri Mkuu anajulikana kutokuwa na weledi katika maswala ya aina hii. Ni bora asinge sema kitu kuhusu jambo hili.
Mfumo ndio unamuelekeza aseme nini ukiongozwa na sponsor mama
 
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Usiri wa kijinga nchi hii.
 
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Waziri muongo muongo.
 
Wamarekani wana msemo mmoja.

"Fool me once, shame on you. Fool me twice, shame on me".

Ukinidanganya mara moja, lawama na aibu ni kwako wewe uliyenidanganya. Lakini, ukinidanganya mara ya pili, lawama na aibu ni kwangu uliyenidanganya tena, kwa sababu sijachukua somo uliponidanganya mara ya kwanza ili usiweze kunidanganya tena.

Sasa hivi hata kama Majaliwa anasema kweli, si mtu sahihi wa kutoa taarifa hizi. Kwa sababu tumedhakuwa fooled once.

Waswahiki wanasemaje? Aliyeumwa na nyoka, akiona ujani, anashituka.
Nimekupata, na huu ndio ukweli
 
Isijekuwa maza anarudi kwa ajili hiyo akiwa amejificha kwenye kivuli cha mafuriko ya Hanang'

Isijekuwa maza anarudi kwa ajili hiyo akiwa amejificha kwenye kivuli cha mafuriko ya Hanang'?
Ni kweli, kama kuja kuhani msiba angeanza na waliokufa kwenye ajali ya basi ya Allys, na mengine... Hiyo janja janja tu... Ila tunamwelewa kama mwenye nyumba Kuna mambo huwezi weka hadharani... Tuko pamoja na mama, Mungu ampe ujasiri maana Hali ya siasa ilivo ni kama inatishia marudio ya Jiwe... 😭😭
 
Back
Top Bottom