Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Kuna ofisi za Balozi, waTanzania wako huko nje Ina maana mnawafanya wote hawapo na hawajui uongo na ukweli!
Nyakati zingine viongozi wakienda wanakutana na wana Diaspora! Sasa hii maneno hadi itokee ndio mnene!
Kuweni wakweli.
 
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Sijui lkn historia ya PM inamkana.
 
Huyu naye ataumbuka soon, kuna kiongozi ngazi ya juu anaweza kukaa nje ya nchi zaidi ya siku 10 kwa kazi za kitaifa.
 
Majaliwa hana tofauti na Tundu Lissu katika huu muktadha.

Lissu aliwahi kumzushia kifo mlinzi wa Magufuli katika kituo cha habari cha kimataifa na hakuwahi kurekebisha uzushi wake!

Majaliwa hayuko peke yake kwenye kusema uongo hadharani.
Sielewi kwa nini Majaliwa anasakamwa sana peke yake kana kwamba hakuna wengine waliowahi kuongopa hadharani kuhusu afya au uhai wa wengine.

Why does Tundu Lissu get a pass?,
Tundu Lissu hajawahi kuingia katika baraza la Mawaziri (Cabinet) tangu azaliwe. Ni Mwanasiasa kama wengine mitaani.

Waziri mkuu ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri, katiba inatamka wazi, Rais au Makamu wake ikiwa hawapo, kikao kitaendeshwa na Waziri Mkuu. Ni kiongozi wa Serikali Bungeni pia. Wadhifa , hadhi na majukumu yanawatenga wawili hao.

JPM yu mhututi au tayari ametuacha, Majaliwa ndani ya Msikiti ANASEMA 'Rais yu bukheri' anapitia mafaili. Majaliwa alitumia Uwaziri mkuu ndani ya nyumba ya Ibada kuaminisha watu uongo! wicked

Bila kuulizwa Majaliwa yule aliyeongopa anatuaminisha jambo katika mazingira yale yale akilaumu mitandao.
Mitandao ile iliyosema JPM anaumwa yeye akisema anachapa kazi, leo anataka tumu amini yeye kuliko.

Majaliwa ni morally corrupt , haaminiki na Umma. Ni PM akae kimya si kutufanya mazuzu kila mara akitaraji ' pass' . Hapana! Kwa haya ya leo aache tu , hatuhitaji update zake ! sisi si wajinga kama anavyodhani!
 
Majaliwa hata kwenye suala la Magufuli alitoka hadharani na kuanza kufoka,siku 3 mbele Taifa likaombeleza!!

Ikiwa anaweza kutumia gharama kubwa na muda kuficha mvi,sishangai kutoa tamko lisilo kweli!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Thanks for this, maana Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!.
P
 
Tundu Lissu hajawahi kuingia katika baraza la Mawaziri (Cabinet) tangu azaliwe. Ni Mwanasiasa kama wengine mitaani.

Waziri mkuu ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri, katiba inatamka wazi, Rais au Makamu wake ikiwa hawapo, kikao kitaendeshwa na Waziri Mkuu. Ni kiongozi wa Serikali Bungeni pia. Wadhifa , hadhi na majukumu yanawatenga wawili hao.

JPM yu mhututi au tayari ametuacha, Majaliwa ndani ya Msikiti ANASEMA 'Rais yu bukheri' anapitia mafaili. Majaliwa alitumia Uwaziri mkuu ndani ya nyumba ya Ibada kuaminisha watu uongo! wicked

Bila kuulizwa Majaliwa yule aliyeongopa anatuaminisha jambo katika mazingira yale yale akilaumu mitandao.
Mitandao ile iliyosema JPM anaumwa yeye akisema anachapa kazi, leo anataka tumu amini yeye kuliko.

Majaliwa ni morally corrupt , haaminiki na Umma. Ni PM akae kimya si kutufanya mazuzu kila mara akitaraji ' pass' . Hapana! Kwa haya ya leo aache tu , hatuhitaji update zake ! sisi si wajinga kama anavyodhani!
Lissu naye ni kiongozi mkubwa tu nchini ambaye watu wanamsikiliza.

Kitendo cha yeye kwenda kwenye kituo cha habari cha kimataifa na kudanganya hadharani, si sawa.

Na hajawahi kusahihisha alichoongopq.

He shouldn’t be excused.
 
Back
Top Bottom