Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majaliwa alisema Rais Magufuli ni mzima anachapa kazi.
Kilichofuata ni historia.
Hakukuwa na sababu ya kudanganya vile, wangeweza kukaa kimya tu.Hivi mlitaka aseme kweli wakati Hali ya usalama wa nchi hajahakikishiwa na vyombo husika? Kutoa taarifa kama ya Jiwe lazima tujihakikishie kuwa usalama upo, mipaka imelindwa vema kiasi kwamba hakuna atakae Leta shida wakati wa maombolezo kama Yale.. Hivo Yeye sio muongo ila anafata protocol.. Mpeni heshima yake... Bwanaaa a!😁
Majaliwa ni mpumbavu pia.PM Majaliwa hana ''credibility'' hana '' Integrity''.
Hata kama anasema kweli, PM alishapoteza uaminifu, kuaminika na uadilifu wa kiroho (moral compass).
Watu hawajadili kilichopo, wanajadili uadilifu, uaminifu na uadili wa PM kutokana na historia chafu ya siku za nyuma 'akiongea na marehemu'' . Hili jambo linahitiminisha ndoto yoyote aliyokuwa nay
Halafu alitoa kauli ya kuongea na marehemu akiwa msikitini, kitu kinachoonyesha hana hata hofu ya imani.
SSH ana msitiri sana !
Wamarekani wana msemo mmoja.Yaani Rais safari zake zinaandikwa na picha anapigwa ila makamu wake utafikiri yuko Area 51
Kama ni ugonjwa sio aibu tena kuficha ndio aibu zaidi
Tangu anaondoka mbona hawakutangaza kuwa anaenda kwa majukumu ya kikazi au sijui kazi maalum
Hivi natesekea nini?
Halafu hajui aongee wapi. Hili ni kongamano alilotakiwa kuhutubia, sasa akaingiza mambo ya mitandao ili kutoa taarifa inayomhusu VP na kwa historia yake chafu ya ''kuongea na marehemu'' , watu wana wasi wasi.Majaliwa ni mpumbavu pia.
Alitakiwa kujua kwamba, kwa rekodi yake kwenye kifo cha Magufuli, hatakiwi kufanya kazi ya kuwapoza watu kuwa kiongozi wa kitaifa ni mzima.
Kama ulivyosema.
Majaliwa akisema kiongozi ni mzima, hata kama kweli mzima, kwa rekodi aliyonayo Majaliwa, watu watafikiri huyo kiongozi kashafariki au anafariki huko.
Zamani viongozi walikuwa wanaandaliwa, wanafundishwa hata jinsi ya kuongea, kujenga hoja, kujua miongozo ya serikali, kujua maadili, kujua mambo ya kimkakati, kujua mambo mpaka ya kijasusi, kujua mantiki.Halafu hajui aongee wapi. Hili ni kongamano alilotakiwa kuhutubia, sasa akaingiza mambo ya mitandao ili kutoa taarifa inayomhusu VP na kwa historia yake chafu ya ''kuongea na marehemu'' , watu wana wasi wasi.
Sikuwahi kutilia maanani habari hizi, lakini baada ya kusikia Majaliwa anaongea nahisi kuna tatizo.
Majaliwa ana historia ya kuongopa, haaminiki hata kwa bahati mbaya.
Hata kama VP yupo katika 'majukumu' na akapita mahali na kununua Pandol, PM Majaliwa atabeba mizigo mizito sana mbele ya umma. Mtu anayekaimu Urais anapokuwa haaminiwi na Umma ni hatari
Ni yule yule yaani !Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.
Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.
"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".
Angalao wewe umeongea kitaalamu, a realy great thinkerHivi mlitaka aseme kweli wakati Hali ya usalama wa nchi hajahakikishiwa na vyombo husika? Kutoa taarifa kama ya Jiwe lazima tujihakikishie kuwa usalama upo, mipaka imelindwa vema kiasi kwamba hakuna atakae Leta shida wakati wa maombolezo kama Yale.. Hivo Yeye sio muongo ila anafata protocol.. Mpeni heshima yake... Bwanaaa a!😁
Isijekuwa maza anarudi kwa ajili hiyo akiwa amejificha kwenye kivuli cha mafuriko ya Hanang'?Sijui ikijirudia tena huyu Waziri Mkuu atajificha wapi? Itaonekana kuwa yeye ndiye mchawi.
Naona unaelikea kumtaja arasii wetu wa daslam, mwamba kama mwambaZamani viongozi walikuwa wanaandaliwa, wanafundishwa hata jinsibya kuongea, kujenga hoja, kujua miongozo ya serikali, kujua maadili, kujua mambo ya kimkakati, kujua mambo mpaka ya kijasusi, kujua mantiki.
Siku hizi nibkama wanasombwasombwa tu.
Kiongozi wa kitaifa au mkuu wa mkoa anaongea unaona huyu muhuni tu, mbabe tu, mjingamjinga tu.
Halafu watu wengine ndiyo wanashangiliaa.
Jamaa huwa anajisifu kwa vitu vya kijinga sana.Naona unaelikea kumtaja arasii wetu wa daslam, mwamba kama mwamba
Mjinga, mwongo na mzandikiKuumwa nalo ni jambo la kuficha? Huyu PM wenu nadhani mnamkumbuka Yale ya Mwendazake