Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
JE TUMUAMINI ALIYEWAHI KUTUDANGANYA MWAKA 2021

Mwaka fulani katika Dola ya Rumi alitokea Kiongozi mmoja akawaongopea wananchi kuhusu hali Kiongozi fulani lakini baadae ikaja kujulikana taarifa aliyotoa haikuwa sahihi.

Kiongozi huyo katika Dola ya Rumi mwaka huu 2023 amekuja na taarifa ambayo inatiliwa shaka kutokana na kuwepo na sintofahamu fulani

Je wananchi katika Dola ya Rumi wamuamini au la!
Wenye akili tunajua alitoa ile taarifa ili kupunguza taharuki tu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Boss alikuwa baba wa uongo.

Hata kifo chake kikajaa uongo uongo.
images (16).jpeg
 
Yaani CCM imewadharau watanzania kwa kiwango cha kusikitisha sana ! yaani wao wanadhani sisi hatuna akili kabisa yaani !
 
Mwaka fulani katika Dola ya Rumi alitokea Kiongozi mmoja akawaongopea wananchi kuhusu hali Kiongozi fulani lakini baadae ikaja kujulikana taarifa aliyotoa haikuwa sahihi.

Kiongozi huyo katika Dola ya Rumi mwaka huu 2023 amekuja na taarifa ambayo inatiliwa shaka kutokana na kuwepo na sintofahamu fulani

Je, wananchi katika Dola ya Rumi wamuamini au la?
Wamuulize Herode kama wahamie Misri au wabakie Yudea!
 
Habarini Wadau,

Kwakweli nimemkumbuka sana Mzee wangu huyu kutoka Kigoma, nina muda mrefu sijamwona wala kumsikia katika tukio lolote lile

Sio kawaida hili,

Anayejua alipo, nahitaji kumsabahi Mzee wangu na Mtu wa nyumbani.
 
Back
Top Bottom