Yawezekana mshamba ni wewe unayedhani wananchi wote wana hofu kwa kuwa tu wewe na viazi wenzako mna hofu.
Mwanzo mlitaka tamko la serikali. Waziri mkuu kaibuka na kutoa tamko (achilia mbali viongozi wengine wa serikali waliotoa matamko yao akiwamo balozi wetu Namibia ambaye kimsingi alikuwa boss wa TISS hivyo anajua anachoongea).
Baada ya kusikia rais yuko poa nyie nyumbu mmegeuza gia mnataka ajitokeze. Serikali ndiyo inajua namna ya kuendesha mambo yake. Ucheni ujuaji, watafutieni watoto wenu ugali nyie nyumbu.
Ataaibika sana siku zijazo na ndipo ataacha kutumia misikiti kufanyia siasa
Nalog off
Mnaumbuka muda si mrefu, sasa ushasema likizo au mapumziko siku 28 sasa hata 20 hazijafika unakuja kuharisha hapa hayo ni mahaba mazito mliyonayo wapinzani kwa JPM.
Nisome ya nini kama nimeshaambiwa yuko Ikulu anaendelea na kazi zake.
Nani amekuambia hajulikani aliko.
Kuna mambo hayahitaji imani ili kusadiki.Kama hauna imani hata nikikuambia utasadiki?
Safari hii tutamuozesha kwa vibaka...
ana roho ya kichawi sana....
sema tena ushuzi wakoMmeshapigwa upper kati ......nyumbu bana!!
mnapoteana sasa hv!!
Hahaha nini mkuuHahahahah we jamaa bana
Hahaha nini mkuu
Niletee yako nitikiteutakuwa na matako mazuri ndio maana unayataja taja
Ah mi nilifikiri kusadiki kuhusu kumaliza kazi ama bado.Kuna mambo hayahitaji imani ili kusadiki.
Mtu akishakufa na akathibitishwa na daktari kwamba kweli amekufa, unahitaji imani gani tena ili usadiki kuwa kafa?
Waziri mkuu haaminiki tena muongo sana yule baba.
Ni Nani amehoji uraia wako hapa? Elewa lugha..Mimi ni mtanzania halisi acha kuhamisha hoja kitoto.
[emoji23] navunja ukimya hizi picha huwa mnazipataje?Kama ujanani alikuwa muhuni hivi,he uzeeni?View attachment 1729160
Wewe ni MJINGA Rais ni Mali ya Nchi sio kikundi cha watu hapo Lumumba...anaendesha maisha yake kwa Kodi zetu ni Amir Jeshi mkuu lazima tujue alipo kama Mgonjwa hawezi kuendelea na kazi. Mola aepushe shari?
Samia Suluhu aunde serikali ya umoja wa kitaifa, vinginevyo hali hii itazidi kuwa mbaya sana, mioyo ya watu wengi inavuja damu.
As long as hilo neno kufufuka lipo kwenye msamiati wetu.....kuna hiyo possibilityAtafufuka ama?