Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Resources funzo ZA kuwatosha wawekezaji wengi sanaAccording to the World Bank's Ease of Doing Business 2020, Tanzania ranks below regional competitors with lower incomes per capita in terms of ease of doing business (Tanzania ranks 141 out of 190, Kenya 56, Uganda 116 and Rwanda 38)...
Namshukuru MUNGU Niko vizuri SASA muda wowote naweza kuanza kibarua. Thanks for the support 🙏🙏Pole sana. Nipo, habari yako?
Namshukuru MUNGU Niko vizuri SASA muda wowote naweza kuanza kibarua. Thanks for the support 🙏🙏
🤣🤣 karne hii huwez kumudanganya mtu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha...
Umeme huu huu ambao unashinda umekatika?Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha...
Huyu mzee anachoweza kusema ukweli ni salamu mengine yote uongo"Rais mzima, yupo ofisini anapiga kazi zake, mnataka atoke aende wapi, magomeni?"
Huyu mzee bado anaishi 47🤣🤣 karne hii huwez kumudanganya mtu
Bora alikufaUnaonaje baada ya mbaya wako kufariki?
Unainjoi sana ee?
Salamu na jina lake tu.Huyu mzee anachoweza kusema ukweli ni salamu mengine yote uongo
Jina na wasiwasi usikute anaitwa hata JoshuaSalamu na jina lake tu.
Umeme wa kuhifadhi samaki kwenye majokofu unatushinda, kazi kwelikweli Taifa la kijinga
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha...
🤣🤣🤣🤣🤣.... DahJina na wasiwasi usikute anaitwa hata Joshua
Unamaanisha like jizi la rambirambi?Si ulifurahia kifo chake?
Mzee muongo sn huyo🤣🤣🤣🤣🤣.... Dah
Huyu haaminiki tena na watu wenye akili zao baada ya kutuaminisha kuwa Magufuli ni mzima anachapa kazi kumbe ameishalazwa mortuaryWaziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.
Aidha, Waziri Majaliwa pia ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kuendelea na utaratibu wa kukutana na wizara au taasisi za serikali na binafsi nchini ili kuwahamasisha kununua bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.
"Wawekezaji njooni muwekeze Tanzania, tuna ardhi ya kutosha, umeme, barabara, tuna reli ya kati na tunajenga reli ya kisasa, pia tuna ndege 11 na nyingine zinakuja, tunajenga viwanja ya ndege kila mkoa, hivyo tunauhakika wa usafiri," amesema Waziri Mkuu.
Kadhalika, Waziri Mkuu ametoa wito kwa wafanyakazi wa viwanda hapa nchini kuwasaidia wawekezaji hao ili wakuze zaidi biashara zao na wanufaike na uwekezaji huo.
Huyo anachoweza ni kupiga kiwi nyeusi kichwani mwake tuWaziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.
Aidha, Waziri Majaliwa pia ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kuendelea na utaratibu wa kukutana na wizara au taasisi za serikali na binafsi nchini ili kuwahamasisha kununua bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.
"Wawekezaji njooni muwekeze Tanzania, tuna ardhi ya kutosha, umeme, barabara, tuna reli ya kati na tunajenga reli ya kisasa, pia tuna ndege 11 na nyingine zinakuja, tunajenga viwanja ya ndege kila mkoa, hivyo tunauhakika wa usafiri," amesema Waziri Mkuu.
Kadhalika, Waziri Mkuu ametoa wito kwa wafanyakazi wa viwanda hapa nchini kuwasaidia wawekezaji hao ili wakuze zaidi biashara zao na wanufaike na uwekezaji huo.