Waziri Mkuu kikaangoni, apewa miezi 6 tu! Vinginevyo.....
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
Migogoro isipomalizwa atamfanya nini?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
Mke wa makamba Sr . Full class 7.
 

Attachments

  • 7011FDAF-7195-4A75-8687-D349A4A1780B.jpeg
    7011FDAF-7195-4A75-8687-D349A4A1780B.jpeg
    39.8 KB · Views: 5
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
Kama kweli sasa hii kali na haijawai kutokea. Labda ni maelekezo toka kwa m/kiti, yaleyale ya jiwe yamerudi. Ngoja watifuane kwanza.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
Kishindo cha Daudi...
 
Hapa ndipo ninapoonaga UPUMBAVU WA VIONGOZI WA NCHI HII. WANATENGENEZA TATIZO ALAFU ANAKUJA MTU NA UJINGA WANAJIFANYA WANALITATUA. ALIYE KUWA WAZIRI WA ARDHI MH LUKUVI ALISHAMALIZA UPUUZI WA MIGOGORO YA ARDHI NCHI HII. WAPUMBAVU WAKAMTOA SABABU YA KUMTOA NI NINI KAMA SI UPUMBAVU WA WAPUMBAVU?
 
𝙷𝚄𝚈𝚄 𝙽𝙾 𝙼𝙺𝚄𝚁𝚄𝙿𝚄𝙺𝙰𝙹𝙸 𝙷𝙰𝙹𝙹𝙸 𝙼𝙰𝙹𝚄𝙺𝚄𝙼𝚄 𝚈𝙰𝙺𝙴....𝙼𝙰𝙼𝙱𝙾 𝙼𝙴𝙽𝙶𝙸𝙽𝙴 𝙽𝙸 𝙰𝙸𝙱𝚄 𝙺𝚆𝙰 𝙲𝙷𝙰𝙼𝙰 𝙼𝙰 𝚂𝙴𝚁𝙸𝙺𝙰𝙻𝙸..
 
𝙷𝚄𝚈𝚄 𝙽𝙾 𝙼𝙺𝚄𝚁𝚄𝙿𝚄𝙺𝙰𝙹𝙸 𝙷𝙰𝙹𝙹𝙸 𝙼𝙰𝙹𝚄𝙺𝚄𝙼𝚄 𝚈𝙰𝙺𝙴....𝙼𝙰𝙼𝙱𝙾 𝙼𝙴𝙽𝙶𝙸𝙽𝙴 𝙽𝙸 𝙰𝙸𝙱𝚄 𝙺𝚆𝙰 𝙲𝙷𝙰𝙼𝙰 𝙼𝙰 𝚂𝙴𝚁𝙸𝙺𝙰𝙻𝙸..
 
Mwaka huu tutawachezesha ngoma yetu mpaka mkome. Mtakatika ngoma ya CCM mpaka mpige magoti maana ninyi akili zenu ni kama manyumbu tu ,ndio maana hamjitambuagi na kubakia mnashabikia habari za CCM tu huku kibanda Chenu kikiungua kwa migogoro tu . Sasa Makonda ndio dawa yenu maana mtaendelea kuicheza ngoma yake mpaka mama Samia anapoapishwa kwa muhula wa pili kuongoza Taifa letu.

Nyie Endeleeni kukatika tu.
 
Mwaka huu tutawachezesha ngoma yetu mpaka mkome. Mtakatika ngoma ya CCM mpaka mpige magoti maana ninyi akili zenu ni kama manyumbu tu ,ndio maana hamjitambuagi na kubakia mnashabikia habari za CCM tu huku kibanda Chenu kikiungua kwa migogoro tu . Sasa Makonda ndio dawa yenu maana mtaendelea kuicheza ngoma yake mpaka mama Samia anapoapishwa kwa muhula wa pili kuongoza Taifa letu.

Nyie Endeleeni kukatika tu.
Mawazo ya kipuuzi na makonda wako unazungumza dawa? Dawa ya Nani? Mh LUKUVI aliondoa huu Upumbavu aliokuja nao makonda mkamtoa. Leo unakata miono unazungumza migogoro ya ardhi uoni msio na Akili ya kufikili ndiyo mnaona anafanya Jambo la maana kumbe Ni kurudia Upumbavu ule ule mliozoea kuufanya
 
Mawazo ya kipuuzi na makonda wako unazungumza dawa? Dawa ya Nani? Mh LUKUVI aliondoa huu Upumbavu aliokuja nao makonda mkamtoa. Leo unakata miono unazungumza migogoro ya ardhi uoni msio na Akili ya kufikili ndiyo mnaona anafanya Jambo la maana kumbe Ni kurudia Upumbavu ule ule mliozoea kuufanya
Mbona mapema sana kuanza kupaniki.kwa Makonda lazima mtapike damu .akiongea tu lazima kamati kuu nzima ya CHADEMA ipoteane.makonda mmoja ni sawa na CHADEMA nzima na vyama vyote vya upinzani hapa nchini na bado hamumuwezi.
 
Mbona mapema sana kuanza kupaniki.kwa Makonda lazima mtapike damu .akiongea tu lazima kamati kuu nzima ya CHADEMA ipoteane.makonda mmoja ni sawa na CHADEMA nzima na vyama vyote vya upinzani hapa nchini na bado hamumuwezi.
Chadema kaishindwa magufuri na huyo makonda wake mpaka kwenda kutaka kumuua lisu. Itakuwa huyo upuuzi unaongea wewe.
 
Back
Top Bottom