Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arudishwe tu Lukuvi Ardhi na Kalemani Nishati baas.Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .
Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .
Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri
View attachment 2800413
Bado alikuwa anakula raha kama kawaSi alikuwa keshaisha huyo….
Ulifikiri serikali inafata sera zipi?Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .
Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .
Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri
View attachment 2800413
Machadema yote kwa sasa yamegeuka na kuwa maafisa habari wa Makonda ,yamesahau habari zao na kugeukia habari za Makonda kuripoti kila tukio na kila anachozungumza makonda.kweli CHADEMA ni manyumbu.Chadema kaishindwa magufuri na huyo makonda wake mpaka kwenda kutaka kumuua lisu. Itakuwa huyo upuuzi unaongea wewe.
Bwana Mwashamba huwa nacheka sana nikisoma post zako.Mbona mapema sana kuanza kupaniki.kwa Makonda lazima mtapike damu .akiongea tu lazima kamati kuu nzima ya CHADEMA ipoteane.makonda mmoja ni sawa na CHADEMA nzima na vyama vyote vya upinzani hapa nchini na bado hamumuwezi.
Vipi umeshavuna katani zako?Mwaka huu tutawachezesha ngoma yetu mpaka mkome. Mtakatika ngoma ya CCM mpaka mpige magoti maana ninyi akili zenu ni kama manyumbu tu ,ndio maana hamjitambuagi na kubakia mnashabikia habari za CCM tu huku kibanda Chenu kikiungua kwa migogoro tu . Sasa Makonda ndio dawa yenu maana mtaendelea kuicheza ngoma yake mpaka mama Samia anapoapishwa kwa muhula wa pili kuongoza Taifa letu.
Nyie Endeleeni kukatika tu.
Utakuwa umelogwa sanaMbona mapema sana kuanza kupaniki.kwa Makonda lazima mtapike damu .akiongea tu lazima kamati kuu nzima ya CHADEMA ipoteane.makonda mmoja ni sawa na CHADEMA nzima na vyama vyote vya upinzani hapa nchini na bado hamumuwezi.
Hivi rizmoko bado ni naibu Waziri kwenye hiyo wizara?Manake wakati wauza ngada wanatajwa kipindi cha Jiwe na yeye alikuwepo na leo kakumbushia🤔Hapa ndipo ninapoonaga UPUMBAVU WA VIONGOZI WA NCHI HII. WANATENGENEZA TATIZO ALAFU ANAKUJA MTU NA UJINGA WANAJIFANYA WANALITATUA. ALIYE KUWA WAZIRI WA ARDHI MH LUKUVI ALISHAMALIZA UPUUZI WA MIGOGORO YA ARDHI NCHI HII. WAPUMBAVU WAKAMTOA SABABU YA KUMTOA NI NINI KAMA SI UPUMBAVU WA WAPUMBAVU?
Saizi machadema mmeshasahau hata habari za lichama lenu na habari za helikopta .mmegeuka maripota wa makonda.hata aliko mbowe yupo Bize kufuatilia habari za makonda.kweli Makonda ni mwamba kweli kweli.akiongea tu lazima chadema wote wakimbiaji mpaka mnapitiliza nyumba zenu.hapo bado hajaanza safari ya kuchanja mikoani.kwahakika lazima mpoteane mwaka huuUtakuwa umelogwa sana
Nitafute kule kwa Sadifa au umesahau?Jamani Chama kikikaa kimya tunasema kinawalea magoigoi. Kikisema kikaze, inaonekana tena ni kukosa heshima! Wacheni utekelezaji wa ilani ya Chama usimamiwe kiuwazi na kwa ukali ili mambo yaende.
Pia Makonda hawezi kuongea kitu tu kwa sasa bila alignment ya maboss zake wote. Sasa hakuna kuoneana aibu. Ilani ya chama lazima isimamiwe.
Mimi ni ripota wa JFUmeanza lini kua ripota wa habar za CCM?
Ha ha ha....sawa sawa[emoji4]Mimi ni ripota wa JF
CCM took a major risk with a loose cannon like him!
The PM doesn’t report to him. So who is he to be running his mouth issuing ultimatums to people he has no authority over?
Si vyeti Tu,sasahivi inabidi apimwe mpaka akiliHivi huyu jamaa alishaonesha vyeti vyake?
ccm are so clever... the intent of what's happening now is not other than to confuse wananchi... in the end they gonna sit around the table to settle dues. Kinana and Nape successfully used same tricks!CCM took a major risk with a loose cannon like him!
The PM doesn’t report to him. So who is he to be running his mouth issuing ultimatums to people he has no authority over?
I am Nyani -the outstanding son of muthafckin’ - Ngabu!Who are u btw?..
Again who are u to reckon everything he does?