Waziri Mkuu kikaangoni, apewa miezi 6 tu! Vinginevyo.....
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri

View attachment 2800984
Kazi imeanza!

Ina maana chama kinaanza kazi ya kusimamia ipasavyo mawaziri wake si ndio!!?

Kazi iendelee!
 
maja.jpeg

Kwa cheo chako wewe ni miongoni mwa viongozi watatu wakubwa wa nchi, kwa hali yoyote ile hapaswi muhuni yeyote kukukemea hadharani kwa ujanjaunja unaoitwa maagizo.

Awe kajituma au katumwa wewe ng'atuka.

President kila siku mnaonana, vise president pia mnaonana kwanini wasikupe maagizo huko ndani wamtume muhuni?
 
CCM took a major risk with a loose cannon like him!

The PM doesn’t report to him. So who is he to be running his mouth issuing ultimatums to people he has no authority over?
The genie has been let out of the bottle. Let them struggle to put it back lest it destroys everything and everyone.
 
Shida Makonda anapenda ukubwa. Hata wakati ni Mkuu wa Mkoa Dar aliwahi kujikita mwenyekiti wa wakuu wa mikoa yote Tanzania.
Anatakiwa kuwa anapewa maelekezo na Katibu Mkuu sio kila mtu analopoka lopoka , ndio matokeo yake Kuwa kosea adabu wastaafu.
 

Kwa cheo chako wewe ni miongoni mwa viongozi watatu wakubwa wa nchi, kwa hali yoyote ile hapaswi muhuni yeyote kukukemea hadharani kwa ujanjaunja unaoitwa maagizo.

Awe kajituma au katumwa wewe ng'atuka.

President kila siku mnaonana, vise president pia mnaonana kwanini wasikupe maagizo huko ndani wamtume muhuni?
Tafsiri yako dhidi ya kauli ya Makonda ina ukosefu wa lishe,

PM MAJALIWA is there to stay for too long, whether you like or not
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri

View attachment 2800984
Ni maamuzi ya vikao au maamuzi yake? Asije kua amepewa majukumu kuwavuruga viongozi watarajiwa na umma ili kumjenga mtu🤣😂
 
Kuna watu wanasema huyu jamaa kaagizwa na Chama.

Mara cheo chake ni kikubwa kuliko PM

Hapa tunaelimishana.

Mbona vile vikao vya kamati kuu huwa PM anakuwepo. Tena anakaa pale mbele mkono wa kulia wa rais baada ya Rais wa Zanzibar.

Hata sitting arrangement tu hicho kikao inakataa huyu jamaa kumuagiza PM.

Angeagizwa waziri wa Ardhi ingeleta maana Kidogo.

Ila katibu wa NEC anamwagiza PM ?

Au kuna vikao vya kamati kuu huwa vinafanyika PM sio mjumbe.

RAIS-SAMIA-CCM-3.jpeg
 
Toka lini ccm wameanza hayo mambo? Huo ufisadi wanoufanya humo ndani hawana huo mshipa wa aibu ili waweze kufanya hilo unalozungumzia.
 
Mwaka huu tutawachezesha ngoma yetu mpaka mkome. Mtakatika ngoma ya CCM mpaka mpige magoti maana ninyi akili zenu ni kama manyumbu tu ,ndio maana hamjitambuagi na kubakia mnashabikia habari za CCM tu huku kibanda Chenu kikiungua kwa migogoro tu . Sasa Makonda ndio dawa yenu maana mtaendelea kuicheza ngoma yake mpaka mama Samia anapoapishwa kwa muhula wa pili kuongoza Taifa letu.

Nyie Endeleeni kukatika tu.
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tu,pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka huu tutawachezesha ngoma yetu mpaka mkome. Mtakatika ngoma ya CCM mpaka mpige magoti maana ninyi akili zenu ni kama manyumbu tu ,ndio maana hamjitambuagi na kubakia mnashabikia habari za CCM tu huku kibanda Chenu kikiungua kwa migogoro tu . Sasa Makonda ndio dawa yenu maana mtaendelea kuicheza ngoma yake mpaka mama Samia anapoapishwa kwa muhula wa pili kuongoza Taifa letu.

Nyie Endeleeni kukatika tu.
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tu,pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si mlisema mnataka kas ya jpm. Ooh tumemiss sijui nini haya sasa kaja . Watu nayo mnaanza kulia lia.
 
CCM took a major risk with a loose cannon like him!

The PM doesn’t report to him. So who is he to be running his mouth issuing ultimatums to people he has no authority over?
Once spoken shall be done
Wait and see. Who is the big . My boss i say go you come just resist to see cha mtemakun
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri

View attachment 2800984
Kumekucha😎😎
 
Kwa hivyo mwenyekiti wa chama ambaye ndio Rais hawezi kuongea na Waziri Mkuu au kumwita Ikulu mpaka aagize watu mitaani waropoke?. Kweli haya ni mageni.
Huyo sio MTU wa mtaani Ni msemaji wa chama Cha ccm ambacho kinasimamia serikali na Waziri mkuu kwenye chama Ni mdogo kwa Mwenzi kwa majibu wa chama Chao maana Ni mjumbe tu
 
Back
Top Bottom