Waziri Mkuu kikaangoni, apewa miezi 6 tu! Vinginevyo.....
Kwa Sasa Makonda ndio Rais anaamrisha kila mmoja kuanzia Waziri Mkuu mpaka wastaafu akina Mzee Warioba.
Amesema kwa niaba ya chama acha kupotosha na nidhamu za yoga,
PM ANASIMAMIWA NA CHAMA NA HUYO NI MSEMAJI WA CHAMA
ACHENI VIONGOZI WAWAJIBISHWE ,
Hamjui viongozi Ni watumishi wa wananchi
 
Kuna watu wanasema huyu jamaa kaagizwa na Chama.

Mara cheo chake ni kikubwa kuliko PM

Hapa tunaelimishana.

Mbona vile vikao vya kamati kuu huwa PM anakuwepo. Tena anakaa pale mbele mkono wa kulia wa rais baada ya Rais wa Zanzibar.

Hata sitting arrangement tu hicho kikao inakataa huyu jamaa kumuagiza PM.

Angeagizwa waziri wa Ardhi ingeleta maana Kidogo.

Ila katibu wa NEC anamwagiza PM ?

Au kuna vikao vya kamati kuu huwa vinafanyika PM sio mjumbe.

View attachment 2801160
Kwenye chama mjumbe na katibu Nani mwenye cheo kikubwa , au unataka Mfumo wa Cdm uingie ccm
 
Mkuu!

Unakumbuka ile ishu ajali ya ndege ilivyomchafua pm!?

Ilikua ajiuzulu kipindi kile hata mkutano wa ccm pale dodoma ilitarajiwa ajiuzulu hata bango la nyuma ya meza kuu liliandikwa kauli ya nyerere ya "nang"atuka lakini Tanzania itaengwa na ccm imara" kama siko sei!

Sasa bas humu jamvini ikazuka id moja hivi inajiita voicer aiseh ilitiShia sana wale wanaotaka pm ajiuzulu na akasema ole wake atakaetaka namungo aondoke kwenye u pm coz ndio anaezuia asali kutiririka yaani ni kizuizi kwa walamba asali!

Sasa Basi,pm hawezi jiuzulu coz kuna wale jamaa nadhani hawataki ajiuzulu!
Ndio maana kigogo anapost kuwa ulinzi wa pm umeimarishwa sana inatuma ujumbe fulani kwa wanaepambana nae!!

Upm wa pm ni muhimu sana kwa sasa kuliko wakati wote ndionmaana kuna tetesi za huo ulinzi kuimarishwa!!

Makonda anatumika lakini kama anatumika je anamtumikia nani nahuyo anaemtumikia ninyeye pekee au kuna kundi jingine!!?

Binafsi namuona makonda akimjenga sana pm kisiasa na kumng'arisha sana kuliko kumdidimiza kama wengi wanavofikiri!!!

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu tuipendayo sana!
Makonda amesema kwa niaba ya chama chake na ndo kazi yake
Acheni upotoshaji
Pengine chama chake kitoke hadharani kikanushe kwamba hakijamtuma
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri

View attachment 2800984
Hakuna mtu mwenye akili hata ya kuazima anaweza kuongea km Makonda. Kwanza si kaliba ya Samia. Huyo atakuwa ameteuliwa na artificial chairman. Inaonekana kuna mwenyekiti mwingine nyuma ya pazia mwenyekiti halisi siyo Samia. Hapo ndipo Samia atakapoweka historia ya kuwadharaulisha wanawake kuwa wenyewe hawawezi. Nikikumbuka mchango wa Salma Kikwete leo umekuwa sheria ni wazi JK ndiyo rais wa nchi hii kwa sasa. Hata Makonda aliwahi kuwa sehemu ya familia ya JK, tulimwona akimvalisha viatu Ridhiwani. Na ni Jk aliyemteua Makonda kuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni. Ni bora tu JK agombee tena 2025 asiendelee kumtesa mama wa watu. Mama amtengenezee tu njia kwa kubadili kile kipengele cha katiba. Yule mzee bado ana nguvu na nafikiri ni mdogo kuliko Museveni, tusileteane taharuki zisizo na sababu babu hajatosheka.
 
Chadema kwa uchonganishi hamjambo,Mwenezi kaongea kwa niaba ya chama acheni kupotosha
IMG_20231102_144415.jpg
 
KWa
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri

View attachment 2800984
Kwani Ardhi si ina Waziri, Deputy, Makamishna, Katibu Mkuu na Wengineo. PM anapokea Taarifa toka huku Kwa hawa Viongozi. Ardhi inamhusu Nini? Anyway, walikosea Kakonda angepewa Ubunge then Waziri WA Ardhi ili atatue hiyo Migogoro.
 
Hakuna mtu mwenye akili hata ya kuazima anaweza kuongea km Makonda. Kwanza si kaliba ya Samia. Huyo atakuwa ameteuliwa na artificial chairman. Inaonekana kuna mwenyekiti mwingine nyuma ya pazia mwenyekiti halisi siyo Samia. Hapo ndipo Samia atakapoweka historia ya kuwadharaulisha wanawake kuwa wenyewe hawawezi. Nikikumbuka mchango wa Salma Kikwete leo umekuwa sheria ni wazi JK ndiyo rais wa nchi hii kwa sasa. Hata Makonda aliwahi kuwa sehemu ya familia ya JK, tulimwona akimvalisha viatu Ridhiwani. Na ni Jk aliyemteua Makonda kuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni. Ni bora tu JK agombee tena 2025 asiendelee kumtesa mama wa watu. Mama amtengenezee tu njia kwa kubadili kile kipengele cha katiba. Yule mzee bado ana nguvu na nafikiri ni mdogo kuliko Museveni, tusileteane taharuki zisizo na sababu babu hajatosheka.
Aiseeee !!!
 
Ifahamike:-
Ktk choice za JPM
# Kabudi alishasepeshwa
# Bashiru Ally alishasepeshwa
# Lukivi alishasepeshwa
# Sasa PM yuko lenzini - si kwa kuwa ni mbaya NO kwa kuwa not a recent choice!
 
Shida ya Majaliwa ni kuishi kikondoo bila kuonyesha naye power zake. Alikuwa na uwezo kumvimbia hata huyo aliyemteua Bashite kuwa kijana wako hana adabu maana kwanza Majaliwa ana mvuto kuliko huyo Samia na akionyesha tuu kupishana naye Samia anaweza kuathirika na Uzanzibar wake.
Shida wengi ccm wanapenda kulinda matumbo tuu na kuishi kwa woga na kujipendekeza
Kuvimbiana [emoji1787][emoji1787] umenikumbusha ya Kenyatta na makamu wake ruto
 
Back
Top Bottom