Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiprotokali yuko sahihi maana hapo anasemea chama. Chama "kimemtuma" PM kutekeleza ilani yake, kina haki ya kufuatilia utekelezaji huo.
Kwa taarifa yako,mwenezi taifa ni mkuu kuliko waziri mkuu,
hapana acha kiwakeeee...yani makondaa buruzaaa haoo maana si wameamua kutukomesha watanzania acha sasa waonje joto ya jiwee yani hizi dharau sio mchezo.Chama kilimtuma lini?. Chama kinatuma watu waropoke mitaani. Waziri Mkuu apewe heshima yake.
Ana maelekezo yote na baraka kwa mama we endelea kupiga domo𝙷𝚄𝚈𝚄 𝙽𝙾 𝙼𝙺𝚄𝚁𝚄𝙿𝚄𝙺𝙰𝙹𝙸 𝙷𝙰𝙹𝙹𝙸 𝙼𝙰𝙹𝚄𝙺𝚄𝙼𝚄 𝚈𝙰𝙺𝙴....𝙼𝙰𝙼𝙱𝙾 𝙼𝙴𝙽𝙶𝙸𝙽𝙴 𝙽𝙸 𝙰𝙸𝙱𝚄 𝙺𝚆𝙰 𝙲𝙷𝙰𝙼𝙰 𝙼𝙰 𝚂𝙴𝚁𝙸𝙺𝙰𝙻𝙸..
Yaani na Chadema mmeacha chama chenu mmehamia kwa Makonda? Mmeshapoteana kweli Makonda hajakosea kuwaita watoa taarifa hamna jambo lenu la kushughulikia.Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .
Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .
Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri
View attachment 2800984
Huyo wa Ardhi ni shogage mwenzie, ni sawa tu.
Takataka za Lumumba.Yaani na Chadema mmeacha chama chenu mmehamia kwa Makonda? Mmeshapoteana kweli Makonda hajakosea kuwaita watoa taarifa hamna jambo lenu la kushughulikia.
Hivi Katibu Mtendaji si ndio alitakiwa kuliongelea hili na Sio Katibu Mwenezi na itikadi.
Jamaa kanyang'anya mikoba ya chongolo, balaa..
Ana maelekezo yote na baraka kwa mama we endelea kupiga domo
hapana acha kiwakeeee...yani makondaa buruzaaa haoo maana si wameamua kutukomesha watanzania acha sasa waonje joto ya jiwee yani hizi dharau sio mchezo.
Huyo ni vuvuzela kuna mpulizajiShida Viongozi wetu hawajitambui. Wao wanawaza madaraka. Waziri Mkuu ni mtu mkubwa kuanza kupewa miongozo na mtu mdogo inafedhehesha sana
Yaani na Chadema mmeacha chama chenu mmehamia kwa Makonda? Mmeshapoteana kweli Makonda hajakosea kuwaita watoa taarifa hamna jambo lenu la kushughulikia.
Anafanyaa kazi kubwa sana ila sababu wameruhusu kilichotokea bhasi acha wanyooshweeeMbona Waziri Mkuu anajitahidi Sana. Sio wa kushushiwa heshima kiasi kile.
Anafanyaa kazi kubwa sana ila sababu wameruhusu kilichotokea bhasi acha wanyooshweee