Mungu ni wa ajabu sana, kama anavyomlinda siku zote na kila aina ya matamanio yenu maovu dhidi yake basi anaweza kuendelea kumlinda hadi mtakapoangamia nyie kwanza.......kila binadamu Ana mwisho though, kwahiyo mwisho wake haina maana kuwa ni mapokeo ya dua zenu nyie mashetani!Siku akikata moto huyo shetani itakua sherehe kwa baadhi yetu.
Mungu ni wa ajabu sana, kama anavyomlinda siku zote na kila aina ya matamanio yenu maovu dhidi yake basi anaweza kuendelea kumlinda hadi mtakapoangamia nyie kwanza.......kila binadamu Ana mwisho though, kwahiyo mwisho wake haina maana kuwa ni mapokeo ya dua zenu nyie mashetani!
Umeona ee?!!!..nakumbuka kampeni ya Magufuli walikuwa wakimtukana Mzee Lowassa na kujiapiza kwa wananchi kuwa Lowassa atakufa kabla ya Magufuli.
Nani hao wanaosema uongo huo?. Usiamini kila kinachosemwa, hata kama ingekuwa ni kweli, enzi za ile minongono kama ni kweli then angekuwa ni ICU ya Nairobi hospital, not on that same same room!, hata kama ni karma, it's not like that!...wanasema kafia Nairobi Hospital.
..kwenye chumba kilekile alichokuwa amelazwa mbaya wake.
Nani hao wanaosema uongo huo?. Usiamini kila kinachosemwa, hata kama ingekuwa ni kweli, enzi za ile minongono kama ni kweli then angekuwa ni ICU ya Nairobi hospital, not on that same same room!, hata kama ni karma, it's not like that!.
Baada ya minongono ile wanywaji wa ile bar nje ya ule ukuta wao pale kijitonyama walisema wanaona pilika pilika mitaa hiyo!.
Kati ya watu wagumu kuongopa ni maaskofu wa kanisa Katoliki, kuna askofu alisema ameupaka upako wa mwisho!. Kuna askofu mwingine wa kanisa la wokovu akasema amemsalisha sala ya toba kabla hajakata kauli, ndio maana mimi nilipoelezwa JPM dissented straight to heaven, ninaamini ni kweli
P
I just don't believe that!..icu ileile.
..wodi ileile.
..kitanda kilekile.
..mashuka, taulu, zilezile alizotumia mwanaharakati aliyejaribu kumuua.
..karma!!
[emoji1787]Machadema mbona hayataki kumjulia hali au yanajidai kususa?
Should that be descended straight to heaven or ascended straight to heaven mkuu?I just don't believe that!
But karma, yes!.
Alisalishwa sala ya toba, akaungamishwa, akapakwa mpako wa mwisho, hivyo he descended straight to heaven!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Asante Mkuu, hizi lugha za wenzetu hizi, watu wengine wote wakifa, lazima kwanza wanashukia kuzimu, hata Yesu alishukia kuzimu, siku ya tatu ndio akafufuka katika watu. Hivyo He is the One and Only aliye ascended to heaven.Should that be descended straight to heaven or ascended straight to heaven mkuu?
Mkuu sasa nimeelewa kwa nini Jiwe alikubeza siku ile pale nyumba nyeupe! Bila shaka alikuwa anapita humu JFSijasikia Voices yoyote from within kumhusu EL.
Sio vibaya tukajikumbusha huyu mwamba!.
Hiki ni kumi moja, kuna makumi 10 ya Lowassa humu if!.
- Elections 2015 - Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...
- Elections 2015 - Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...
- Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
- Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
- Elections 2015 - Amini Usiamini, Kama Mwalimu Angekuwa Hai Hadi Leo!, Angemsupport Edward Lowassa!.
- Kama hiki ndicho Lowassa alichoitiwa Ikulu, Then tuna Rais wa ajabu! Kama ni Uongo, Lowassa ashitakiwe kwa Uchochezi!
- Japo alijiuzulu, Mhe. Edward Lowassa kuitwa Waziri Mkuu Mtaafu ni Sawa, Haki na anastahili!
- Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!
- Ushauri wa bure kwa Lowassa, japo it's now just a matter of time kabla... Tafadhali sana tunakuomba kwanza kanusha tamko hili!
- Lowassa ni Powerful Kuliko ya JK?!
P
Juzi juzi kuna mwanasiasa mmoja kikaza na ni naibu waziri alisikika akisema watu wanatoka ulaya kuja kutibiwa Tanzania!MAJALIWA AMUWAKILISHA RAIS SAMIA KUMJULIA HALI LOWASSA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika ya Kusini.
Akizungumza na wanafamilia kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Samia, Waziri Mkuu amewasilisha salaam za pole kutoka kwa Mheshimiwa Rais na kusema Mheshimiwa Rais anafuatilia hali ya Mheshimiwa Lowassa kwa ukaribu na anamuombea afya njema.
Waziri Mkuu ametoa salamu hizo leo (Jumatano, Desemba 28, 2022) jijini Johannesburg, Afrika Kusini ambako alienda kumjulia hali Mheshimiwa Lowassa.
Kwa upande wake, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Mama Regina Lowassa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo amekuwa karibu na wanafamilia na namna ambavyo anafuatilia matibabu ya mpendwa wao.
Naye mtoto mkubwa wa Mheshimiwa Lowassa na Mbunge wa Monduli, Bw. Fredrick Lowassa amewashukuru Watanzania kwa maombi yao ya kumtakia afya njema baba yao.
View attachment 2461149
Baba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.
Yatakua mabus ya kwenda mikoani huko nchini CHADMachadema ni magari ya wapi? Madaladala ni mabasi yanayotoa huduma zake kwa wakazi wa Dar es Salaam, Matatu yanatoa huduma zake pale Nairobi. Hebu tuambie kuhusu hayo Machadema
Waadishi wa habari mko wapi mpaka kiongoziwa ngazi hii anaumwa , anaenda kutibiwa nje ya nchi sisi raia hatuna habariAsante kwa taarifa,
Get well soon Mzee wetu Edward Lowassa.
P
Viongozi wa tz wana ulimbukeni.Iboreshwe kwa namna gani?hata sasa Muhimbili, KCMC,Bugando..hizo ni hospita nzuri tu na anaweza kutibiwa kiongozi yoyote,kiongozi ni mtu kama watu wengine,ila ni swala la kujiaminisha tu na kiburi cha pesa pia
Hata wakiletwa madaktari kutoka Apollo bado watapelekwa kulekule india na ulayaMuhimbili iboreshwe hii ya viongozi kutibiwa nje haijakaa sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app