Waziri Mkuu, Majaliwa amuwakilisha Rais Samia kumjulia hali Lowassa

wazuri hawafi
 
Waziri Mkuu amekwenda kama kiongozi wa serikali kumuona mgonjwa; sidhani kama amemwakilisha Rais. Serikali yote imewakilishwa na Waziri Mkuu. Sana sana katika mazungumzo na familia anaweza kutoa salamu za rais.
 
Nyie familia nne wenye hila za kimadaraka, sasa hivi mnao lamba asai, mliomdhulumu haki yake huyu masai , Tunamwachia Mungu
 
Get well soon mzee wetu
 
Waadishi wa habari mko wapi mpaka kiongoziwa ngazi hii anaumwa , anaenda kutibiwa nje ya nchi sisi raia hatuna habari
Ugonjwa unalindwa na the right to privacy, familia ndio huamua ni wakati gani wa kutoa habari, hata ukijua, mfano mimi kutokana na close proximity na watu wake, tangu amepelekwa nilijua ila habari hizi zina kinga ya right to privacy, familia ilipoona sasa ni wakati muafaka kutoa taarifa, then ndio wametoa.

Hata yule Blaza, japo taarifa zilizuiwa kuna waandishi tulikuwa tunajua na hadi alinalii lini lakini tulinyamaza!.

Wakati fulani mimi nikitibiwa South, tuka happen kuwa hospital moja na kiongozi mmoja mstaafu, nikaleta taarifa humu JF, Timoth Apiyo Alazwa Afrika Kusini kilichotokea kwenye bandiko hilo, nilijuta na tangu siku hiyo ikawa ndio mwanzo na mwisho kuleta personal issue ya mtu humu JF, lakini na mimi pia kujifunza Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
P
 
Got well soon baba Yetu Edward Ngoyayi Lowassa. Bado kama Taifa tunakuhitaji mno. Mungu awatumie madakitari hao kukurudisha katka hali yako ya kawaida
 
Alikuwa PM na waziri mara nyingi tu, leo anaumwa anakwenda kutibiwa SouthAfrica, hawa raia aliokuwa anawaongoza masikini wakiumwa na wao wakatibiwe wapi?...

Angepigania Taifa kuwa na hospitali za kisasa na vifaa vya kisasa sidhani kama leo hii angekuwa SA kwenye matibabu..

Haya aendelee kutibiwa na kodi zetu tu, na PM kapanda ndege kwenda tena kumjulia hali kwa kodi zetu...

Alipaswa kulazwa muhimbili au mount Meru pale kuonyesha uzalendo kwa raia aliowaongoza.
 
Pascal Nimeelewa na ninadhani na wengine wataelewa pia
 
Watu wazuri hupendwa na Mungu na kwa ajili hiyo hufa mapema ili aende awatumie
Sijui wenyewe........yaani shauri zenu; mko huru, lolote lipendezalo au liletalo faraja mioyoni mwenu, liongeeni kutoka katika kauli hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…