BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
wazuri hawafiMungu ni wa ajabu sana, kama anavyomlinda siku zote na kila aina ya matamanio yenu maovu dhidi yake basi anaweza kuendelea kumlinda hadi mtakapoangamia nyie kwanza.......kila binadamu Ana mwisho though, kwahiyo mwisho wake haina maana kuwa ni mapokeo ya dua zenu nyie mashetani!
Watu wazuri hupendwa na Mungu na kwa ajili hiyo hufa mapema ili aende awatumiewazuri hawafi
kelele!Baba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.
Waziri Mkuu amekwenda kama kiongozi wa serikali kumuona mgonjwa; sidhani kama amemwakilisha Rais. Serikali yote imewakilishwa na Waziri Mkuu. Sana sana katika mazungumzo na familia anaweza kutoa salamu za rais.MAJALIWA AMUWAKILISHA RAIS SAMIA KUMJULIA HALI LOWASSA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika ya Kusini.
Akizungumza na wanafamilia kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Samia, Waziri Mkuu amewasilisha salaam za pole kutoka kwa Mheshimiwa Rais na kusema Mheshimiwa Rais anafuatilia hali ya Mheshimiwa Lowassa kwa ukaribu na anamuombea afya njema.
Waziri Mkuu ametoa salamu hizo leo (Jumatano, Desemba 28, 2022) jijini Johannesburg, Afrika Kusini ambako alienda kumjulia hali Mheshimiwa Lowassa.
Kwa upande wake, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Mama Regina Lowassa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo amekuwa karibu na wanafamilia na namna ambavyo anafuatilia matibabu ya mpendwa wao.
Naye mtoto mkubwa wa Mheshimiwa Lowassa na Mbunge wa Monduli, Bw. Fredrick Lowassa amewashukuru Watanzania kwa maombi yao ya kumtakia afya njema baba yao.
View attachment 2461149
Get well soon mzee wetuMAJALIWA AMUWAKILISHA RAIS SAMIA KUMJULIA HALI LOWASSA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika ya Kusini.
Akizungumza na wanafamilia kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Samia, Waziri Mkuu amewasilisha salaam za pole kutoka kwa Mheshimiwa Rais na kusema Mheshimiwa Rais anafuatilia hali ya Mheshimiwa Lowassa kwa ukaribu na anamuombea afya njema.
Waziri Mkuu ametoa salamu hizo leo (Jumatano, Desemba 28, 2022) jijini Johannesburg, Afrika Kusini ambako alienda kumjulia hali Mheshimiwa Lowassa.
Kwa upande wake, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Mama Regina Lowassa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo amekuwa karibu na wanafamilia na namna ambavyo anafuatilia matibabu ya mpendwa wao.
Naye mtoto mkubwa wa Mheshimiwa Lowassa na Mbunge wa Monduli, Bw. Fredrick Lowassa amewashukuru Watanzania kwa maombi yao ya kumtakia afya njema baba yao.
View attachment 2461149
kwani haijaboreshwa? maana naibu waziri wa afya siku moja akiwa star tv analumbana na Heche alidai watu wanatoka ulaya wanakuja kutibiwa mhimbili!!!Muhimbili iboreshwe hii ya viongozi kutibiwa nje haijakaa sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Aitakua hukumskia baba Mikamba weweWatu wazuri hupendwa na Mungu na kwa ajili hiyo hufa mapema ili aende awatumie
Ugonjwa unalindwa na the right to privacy, familia ndio huamua ni wakati gani wa kutoa habari, hata ukijua, mfano mimi kutokana na close proximity na watu wake, tangu amepelekwa nilijua ila habari hizi zina kinga ya right to privacy, familia ilipoona sasa ni wakati muafaka kutoa taarifa, then ndio wametoa.Waadishi wa habari mko wapi mpaka kiongoziwa ngazi hii anaumwa , anaenda kutibiwa nje ya nchi sisi raia hatuna habari
Wengine mnakula na kushiba harufu tu.Baba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.
Alifia ghettoJPM ALILAZWA HOSPITAL IPI NA ALIFIA WAPI? Nimeuliza tu
Machadema mbona hayataki kumjulia hali au yanajidai kususa?
Pascal Nimeelewa na ninadhani na wengine wataelewa piaUgonjwa unalindwa na the right to privacy, familia ndio huamua ni wakati gani wa kutoa habari, hata ukijua, mfano mimi kutokana na close proximity na watu wake, tangu amepelekwa nilijua ila habari hizi zina kinga ya right to privacy, familia ilipoona sasa ni wakati muafaka kutoa taarifa, then ndio wametoa.
Hata yule Blaza, japo taarifa zilizuiwa kuna waandishi tulikuwa tunajua na hadi alinalii lini lakini tulinyamaza!.
Wakati fulani mimi nikitibiwa South, tuka happen kuwa hospital moja na kiongozi mmoja mstaafu, nikaleta taarifa humu JF, Timoth Apiyo Alazwa Afrika Kusini kilichotokea kwenye bandiko hilo, nilijuta na tangu siku hiyo ikawa ndio mwanzo na mwisho kuleta personal issue ya mtu humu JF, lakini na mimi pia kujifunza Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
P
Binuka nikubamize.Ukimaliza cku zako unatakiwa kwanza kuoga kabla ya kuja jukwaani
Sijui wenyewe........yaani shauri zenu; mko huru, lolote lipendezalo au liletalo faraja mioyoni mwenu, liongeeni kutoka katika kauli hiyoWatu wazuri hupendwa na Mungu na kwa ajili hiyo hufa mapema ili aende awatumie
Sisi tusiyoviongoMuhimbili iboreshwe hii ya viongozi kutibiwa nje haijakaa sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tumia urefu wa kamba kula.Sisi tusiyoviongo
zi na hoihae ndiyo tunatibiwa muhimbili.Tunaambiwa huduma zipo bora lakini wenzetu wanavuka boda