masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kwa kweli hiyo hela iliyowekw kwa ajili ya umeme ni ndogo sana.Installation ya umeme imegahrimu 650000,??? Hapo ni main switch moja, socket moja , taa mbili at most na switch 1 ya two gang,
fisadi huyo.Ndugu muhandisi, usifanye watu wajinga,hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+
Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
Wengi wanapenda vya bure na chee.Mnaompinga toeni mchanganuo na nyie,hoja hujibiwa na hoja,mlango wa mninga sio wa mpapai
VALUE FOR MONEY ni msemo wa wanasiasa wasiojua wanataka nini.Wakuu
Waziri mkuu alikuwa anaangalia value for money!
Hata mpige hesabu kiasi gani kile kibanda hakiendani na thamani ya milion 11!
Sio kwamba aina ya kibanda kilichotakiwa kujengwa ndio kinaendana na kiwango cha Fedha hiyo bali kibanda kilichojengwa hakiendani na milion 11.
Hilo lipo wazi KWA mwenye akili timamu!
Nyie kizazi cha nyoka.Ndugu muhandisi, usifanye watu wajinga,hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+
Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
Fisadi mkubwa wee! Kumbuka wanajenga kwa force account!View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million
2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million
Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00
OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
Hela umehonga malaya wa oxygen pubView attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million
2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million
Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00
OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
Makndarasi waliosajiliwa na serikali kwa hiyo ni mafisadi.Fisadi mkubwa wee! Kumbuka wanajenga kwa force account!
Ndio maana tunasema watu wenye vichwa vya panzi mna comment vitu ambavyi hamjui.
Mbaya zaidi Waziri Mkuu ambaye hajui uwa kuna ma Cinsultant na ma QS wengi tu wa kumpigia mahesabu.
Yeye anaijua takukuru tu!
Muwage na akili basi kwa vitu msivyovijua, intellectual caoacity sifuri kabisa.
Hiyo nyumba yako ukiirukia kung-fu jamaa huyo chumbani.Nyumba yako chumba kimoja cha jiko utatumia mil.13?
Au unafunika kombe mwanaharamu apite
Kwa kukosa akili watanzania hamjambo.Hayati Mwalimu Nyerere alisema watanzania tuna kaujinga fulani ka neno la kiswahili likitamkwa kwa kingeleza linaonekana lina maana sana na ndo nachokiona kwako unataka kuleta UENGLISHINISM ili watu waone umesema vitu vya maana sana na hauna msomi wa ivo wengi hua ndo vichwa panzi(Prof:Lumumba alishawahi kuongelea watu kama nyinyi)
Ivi alivowaachia hao TAKUKURU ni uchunguzi gani utafanyika bila hao washauri na makadirio unaowaita (CINSULTANT) ili kuatoa hukumu na haki kwa kamati au mkandarasi husika!!
Waziri anayo anayokazi kukagua na yakufungua miradi ya kiserikali na hawezi kufungua iyo miladi bila kukagua kama ghalama na kitu husika vinaendana ndo maana nikauliza ni sehemu zote anapoenda anaponda na kuwambia TAKUKURU wakamate watu? mbona sekta zingine amesifia miradi yao palepale!!!
Ujue icho kibanda hata ukitaka kijengwe kwa bilioni moja inawezekana kabisa na hoja zitakuwepo ila ni kwanini banda la mlizi lighalamikiwe kiasi icho iyo ndo hoja ya msingi nafikiri waziri angetakiwa kuhoji na sio unatetea tuu kisa vimaneno vyako vya kiingereza usizani unakijua pekeako chamsingi jibu kwa hoja na ufafanue utaeleweka tu vizuri.
Pumbavu kuwa mkandarasi aliyesajiliwa na serikali hakukuondolei wizi na ufisadi ulionao!Makndarasi waliosajiliwa na serikali kwa hiyo ni mafisadi.
Kwa ujinga wenu hamuwaoni mafisadi wanaonunua ndege kwa pesa taslimu na wanaojenga SGR , wala wanaojenga JNHHP Stiglaz.
Pambaf enu.
Waambie wajinga wenzio waende na SGR au Stiglaz tudikie madudu zaidi.Pumbavu kuwa mkandarasi aliyesajiliwa na serikali hakukuondolei wizi na ufisadi ulionao!
Kwenye hili nakuunga mkono. Gharama za ujenzi zinahojiwa wakati wa ku-plan na siyo baada ta ujenzi. BTW haya mambo ya kuhoji gharama mbele ya kamera wakati wa ziara ni ujinga wa hali ya juu. Watawala wetu wameshajua kuwa wananchi hupenda na kusifu hizi ''rubish'' za kuleta usanii mbele ya kamera hivyo wanatumia fursa vyema kujipatia sifa za bure. Mwanzilishi wa hili jambo ni Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi na baadae rais. Ni hivi: Bila mfumo mpya wa utawala ni bure. Tumewaambia na tutazidi kuwaambia japo hawasikii. Mahojiano ya kisanii ya aina hii tumeshayaona mengi na hayajaleta mabadiliko yoyote.Nyie kizazi cha nyoka.
Hivi ulishamwona mkandarasi anavunja benki ya Idara inayo jengwa.
Na huyo mjenzi sili alipewa Tender na kushinda?
Na serikali ilikuwa wapi wakati tenda zina tolewa.
Tunashituka wakati ujenzi umekamilika, badala ya kuweka systems za kudhibiti gharama tunazoziona!
Ndiyo maana wazungu wanasema ukimuwekea mwafrika kitu kwenye daftari, yeye hana uwezo wa ****, maneno tu ya mdomoni ndo anaysikia.
Utaratibu ni kwamaba hizo estimates nimekuwekea ni kwa ajili ya wewe kuzisoma na kuzirekebisha kwa viwango vyako.
Ukibadili mabati na ukaweka nyasi za kuezeka kwa ajili ya mlinzi wa eneo la serikali usubiri kujibu viwango hivyo bungeni, lakini ni nafuu sana.
Tanzania ina upigaji kila kona. Hakuna kwenye nafuu wala mwenye nafuu. Bila kubadili mfumo wetu ni kazi bure.Pumbavu kuwa mkandarasi aliyesajiliwa na serikali hakukuondolei wizi na ufisadi ulionao!
Kibanda cha mlinzi hakiwekwi main switch!Installation ya umeme imegahrimu 650000,??? Hapo ni main switch moja, socket moja , taa mbili at most na switch 1 ya two gang,
Kwa hiyo wewe ni SGR au Stiglaz! Jizi usiye na haya usoni!Waambie wajinga wenzio waende na SGR au Stiglaz tudikie madudu zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gharama zako ni za kujenga kibanda cha peponi ama!! [emoji23] [emoji1787]
Msioenda shule nyie mijitu wajinga wajinga, mna shida sana.Kwa hiyo wewe ni SGR au Stiglaz! Jizi usiye na haya usoni!