Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Makndarasi waliosajiliwa na serikali kwa hiyo ni mafisadi.
Kwa ujinga wenu hamuwaoni mafisadi wanaonunua ndege kwa pesa taslimu na wanaojenga SGR , wala wanaojenga JNHHP Stiglaz.
Pambaf enu.
we mjinga sana
 
Usikute wewe ndiye uliye Jenga hicho Kibanda ,,yaani unataka kutaminisha kwamba Kibanda like ni cha 11 milioni?.

Na umeangalia picha bila kujua square metres?
 
Msioenda shule nyie mijitu wajinga wajinga, mna shida sana.
Hiyi mmewekewa BOQ hapo mkaiweke ukutani, muisalimie kila mkiingia maofisini mwenu.
BOQ ya wizi nani atafutilia! BOQ ya banda la mlinzi inakuwa sawa na BOQ ya msingi wa ghorofa! Wewe ni zaidi ya fisadi na kama kuna mtu anakupa kazi basi huyo ni zaidi ya kilaza!
 
Gharama hizo na mahesabu yako ni sahihi, lakini inatagemea upumbav ulionao! Ukiwa umefuzu kwa upumbav mahesabu hayo ni sahihi.
 
Tatizo la viongozi huwa hawafanyi deep analysis kabla ya kuja kuzungumza mbele ya raia. Na majengo ya Serikali huwa Yana standard zake ukijenga below standard nako ni shida
Nawe usiwe brainwashed! Standard za serikali ni zipi?
 
BOQ ya wizi nani atafutilia! BOQ ya banda la mlinzi inakuwa sawa na BOQ ya msingi wa ghorofa! Wewe ni zaidi ya fisadi na kama kuna mtu anakupa kazi basi huyo ni zaidi ya kilaza!
Kubali tu kuwa we ni bongolala.
Unayeenda na upepo wa mdundiko lakini mukichwa hakuna kitu.
Kubishana na mtu asiyeenda shule huwa ni matstizo.
 
Gharama hizo na mahesabu yako ni sahihi, lakini inatagemea upumbav ulionao! Ukiwa umefuzu kwa upumbav mahesabu hayo ni sahihi.
Unaongea kama umtoka kutahiriwa.
Pitia hayo mahesabu na uweke gharama zako si uharo wako.
 
Daaah, braza naona umechafukwa nyongo.
Watu wa aina hii wanaendelea kuandika hapa kwa sababu ya uvumilivu wetu. Ktk netiquette tulistahili kuwaondoa watu wanaoleta hadithi za kijinga-jinga kama hizi. Nyumba gani ya serikali imejengwa kwa BQ za aina hii? Au ameangalia vitabu vya darasani. Ni hawa hawa wanadhalilisha taaluma zao mitaani.
 
Kubali tu kuwa we ni bongolala.
Unayeenda na upepo wa mdundiko lakini mukichwa hakuna kitu.
Kubishana na mtu asiyeenda shule huwa ni matstizo.
Sijaenda shule za wizi! Serikali inajenga madarasa kwa milioni 20 sasa hicho kibanda cha choo kiwe milioni 11.
Huenda umehudhuria darasani lakini hukuelimika! Labda umesomea ujambazi!
 
Sijaenda shule za wizi! Serikali inajenga madarasa kwa milioni 20 sasa hicho kibanda cha choo kiwe milioni 11.
Huenda umehudhuria darasani lakini hukuelimika! Labda umesomea ujambazi!
Unakaa kibanda ulichokandika kinyesi cha kwako na cha baba mkwe.
Haya mambo tuachie sisi.
 
Kwani hapo kuna hesabu? Au una maana gani? Kila unapoona nambari unasema kuna hesabu! Puppy-brain!
Nyie watu, mtu kaweka mahesabu yake na tunaysina.
Mtu mwenye akili za kumtosha angeweka mahesabu yake mbadala.
 
Unakaa kibanda ulichokandika kinyesi cha kwako na cha baba mkwe.
Haya mambo tuachie sisi.
Nyie ndiyo watu wa ku-copy na ku-paste, hujui nini cha ku-copy na wapi pa ku-copy! Mburula rudi shule kajielimishe!
 
Nyie ndiyo watu wa ku-copy na ku-paste, hujui nini cha ku-copy na wapi pa ku-copy! Mburula rudi shule kajielimishe!
Najua sasa hivi unaumwa na mbu kibandani.
Tafuta wataalam wakusaidie.
 
Makndarasi waliosajiliwa na serikali kwa hiyo ni mafisadi.
Kwa ujinga wenu hamuwaoni mafisadi wanaonunua ndege kwa pesa taslimu na wanaojenga SGR , wala wanaojenga JNHHP Stiglaz.
Pambaf enu.
Unaanza kurukia nje ya mjadala huu. Ndege imetoka wapi tena? Stick to your gun!
Unasikia ikizungumzia force account wewe unaanza kutaja makandarasi
 
Unaanza kurukia nje ya mjadala huu. Ndege imetoka wapi tena? Stick to your gun!
Unasikia ikizungumzia force account wewe unaanza kutaja makandarasi
Kwani hzmuoni?
Nyumba zote zinazojengwa Dodoma wizi mtupu, kwa maoni yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…