Kwa hyo ilibidi waziri kabla ya kushangaa kibanda cha mlinzi kujengwa kwa 12milion ilibidi ashangae v8 kununuliwa kwa mill400!!?Ndugu muhandisi, usifanye watu wajinga,hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+
Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
Una mawazo ya kuishi high density, mbavu za mbwa.Kwa taarifa yako ninapoishi ni matawi ya juu sana kwako! Endelea na utapeli wako lakini huna maisha marefu utabambwa tu!
Habari ndiyo hiyo hata chawa wako wamekuruka!
Usipojua kusoma na kuandika , hilo shauri lako.Kisa ana knowledge ya uhandisi basi anataka kubadili nyeusi tukubali ni nyeupe. Amejipinda kutuandikia maelezo kibao utafikiri mwenzie aliyeshindwa kutoa hayo maelezo hana akili.
Somana ufuatilie hiyo BOQ na uisahihishe,mburula wewe.BOQ ya wizi nani atafutilia! BOQ ya banda la mlinzi inakuwa sawa na BOQ ya msingi wa ghorofa! Wewe ni zaidi ya fisadi na kama kuna mtu anakupa kazi basi huyo ni zaidi ya kilaza!
Hakujua ujio wao? Ukisikia ukaguzi kitu cha kwanza kama wewe ndo unakagulia si unatakiwa uandae nondo zako. Yaani waziri aje akae chemba na mwalimu kujadili jengo la mlinzi? 😂😂 mradi mdogo huo kumkalisha waziri mkuu ni utovu wa nidhani. Mradi ulistahili majibu ya papo kwa hapo. Waziri mkuu anakutwanga maswali kwa kuona hujajipanga kutokana na ujio wake yaani umekuja km unakuja kuonana na shemeji yako.Watu wengine tunachokipinga hapa ni huu utaratibu wa kukagua mradi na kutaka majibu mbele ya kamera. Njia sahihi ilikuwa ni kukaa na wahusika, kuangalia makabrasha yao ya mradi ndio hukumu zitolewe. Watu wameuliza kwa nini msimamizi alikuwa hana majibu. Hivi kweli mnategemea msimamizi ambae ni mwalimu ataweza kusema kitu mbele ya Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa na waandishi wa habari?
Amandla...
Lile jengo la kujengwa hata la 7 aliyepitia veta nalo unataka kulazimisha tathmini yake hadi tuwe wahandisiUsipojua kusoma na kuandika , hilo shauri lako.
Achilia suala la kitaaluma.
Uko sahihi kabisa. Ndio maana tunashangaa kwa nini mtu mkubwa kama Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na wakuu wengine watumie muda wote huo kujadili gharama za kajengo kama hako ambapo wana wataalam wao ambao wangeweza kuwaagiza waifanye hiyo kazi na kuwapa taarifa.Hakujua ujio wao? Ukisikia ukaguzi kitu cha kwanza kama wewe ndo unakagulia si unatakiwa uandae nondo zako. Yaani waziri aje akae chemba na mwalimu kujadili jengo la mlinzi? 😂😂 mradi mdogo huo kumkalisha waziri mkuu ni utovu wa nidhani. Mradi ulistahili majibu ya papo kwa hapo. Waziri mkuu anakutwanga maswali kwa kuona hujajipanga kutokana na ujio wake yaani umekuja km unakuja kuonana na shemeji yako.
Nyie mamburula ndio zenu hizo.Lile jengo la kujengwa hata la 7 aliyepitia veta nalo unataka kulazimisha tathmini yake hadi tuwe wahandisi
Hata sh. 5 hatuidharau ndo maana wakahoji pale pale kabla takwimu hazijaenda kupikwa.Uko sahihi kabisa. Ndio maana tunashangaa kwa nini mtu mkubwa kama Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na wakuu wengine watumie muda wote huo kujadili gharama za kajengo kama hako ambapo wana wataalam wao ambao wangeweza kuwaagiza waifanye hiyo kazi na kuwapa taarifa.
Amandla...
Sijataja mil.7 bali nimesema la 7 aliyepita veta. We injinia uko makini kweli hata kazini? Huoni hapo nazungumzia mtu???Nyie mamburula ndio zenu hizo.
Hata hiyo milioni saba ulivyoipata hujui jinsi ya kuielezea.
Kalimeni viazi na kuhesabu magunia, hiyo ndio saizi yenu.
Tatizo la nchi hii ni kuwa na wanasiasa wanaweka mbele maoni yao badala ya kuwatumia wataalam waliopo katika masuala ya kitaalam.Uko sahihi kabisa. Ndio maana tunashangaa kwa nini mtu mkubwa kama Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na wakuu wengine watumie muda wote huo kujadili gharama za kajengo kama hako ambapo wana wataalam wao ambao wangeweza kuwaagiza waifanye hiyo kazi na kuwapa taarifa.
Amandla...
Mkuu wewe nenda kalime na uhesabu magunia yako ya viazi.Sijataja mil.7 bali nimesema la 7 aliyepita veta. We injinia uko makini kweli hata kazini? Huoni hapo nazungumzia mtu???
Basi acheni kufanya kazi na wanasiasa maana wanavua nguo taaluma zenu.Tatixo la nvhi hii ni kuwa na wanasiasa wanaoweka mbele maoni yao badala ya kuwatumia wataalam waliopo.
Mwisho wa siku unaina shutuma nyingi zisizo na msingi wowote, lakini kumbe nia ni kujipatia umaarufu usio na tija.
aisee tuna mainjinia au magari ya kubebea taka. Nimerudia kukuelewesha lkn bado unarudia makosa yale yale.Mkuu wewe nenda kalime uhesabu magunia yako.
Milioni saba uliyoipata hata hujui umeipata wapi.
Kwako hata milioni mbili poa tu.
Bila mchanganuo kakojoe ulale tu, usiku mwingi!Basi acheni kufanya kazi na wanasiasa maana wanavua nguo taaluma zenu.
aisee tuna mainjinia au magari ya kubebea taka. Nimerudia kukuelewesha lkn bado unarudia makosa yale yale.
Kama hata shilingi 5 haidharauliwi walipaswa kujua kuwa gharama ya muda wanaotumia kuhoji hizo gharama ni kubwa kuliko hizo shilingi 5. Mwisho wa siku, kamera zikiondoka, watakuja wataalam ambao watathibitisha kuwa hapajaibiwa kitu.Hata sh. 5 hatuidharau ndo maana wakahoji pale pale kabla takwimu hazijaenda kupikwa.
Basi acheni kufanya kazi na wanasiasa maana wanavua nguo taaluma zenu.Tatixo la nvhi hii ni kuwa na wanasiasa wanaoweka mbele maoni yao badala ya kuwatumia wataalam waliopo.
Mwisho wa siku unaina shutuma nyingi zisizo na msingi wowote, lakini kumbe nia ni kujipatia umaarufu usio na tija.
Hapa mafundi naona mnajaribu kuteteana ili kulinda uozo wenu. Nyie ni wezi hadi mifuko ya simenti leo mshindwe kwenye hela.Kama hata shilingi 5 haidharauliwi walipaswa kujua kuwa gharama ya muda wanaotumia kuhoji hizo gharama ni kubwa kuliko hizo shilingi 5. Mwisho wa siku, kamera zikiondoka, watakuja wataalam ambao watathibitisha kuwa hapajaibiwa kitu.
Wote tunakumbuka jinsi yule Mkurugenzi alivyo tiliwa fitna kuhusu ununuzi wa Vieiti.
Hii kazi ilipaswa kufanywa na wataalam ambao wangewapa taarifa. Ukweli haupatikani kwa kuuliza bei ya tofali au choo cha asian.
Amandla...
Muda wote huu umepewa muda wa kuchambua BOQ iliyopo-umeshindwa.Basi acheni kufanya kazi na wanasiasa maana wanavua nguo taaluma zenu.
Hapa mafundi naona mnajaribu kuteteana ili kulinda uozo wenu. Nyie ni wezi hadi mifuko ya simenti leo mshindwe kwenye hela.
Usipende kutetea wizi kwa hoja ya kuweka mchanganuo!! Walipfika site waliona kuna upigaji, we umekaa zako dsm unaanza kutuletea swaga za uinjinia wa kwenye theory.Bila mchanganuo kakojoe ulale tu, usiku mwingi!
Nyie mburula story nyingi...!Usipende kutetea wizi kwa hoja ya kuweka mchanganuo!! Walipfika site waliona kuna upigaji, we umekaa zako dsm unaanza kutuletea swaga za uinjinia wa kwenye theory.