Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwa vigezo vya kiserikali vinakubalika. Hoja hapa ingekuwa jee vigezo vimezingatiwa kwa kufuata masharti ya ujenzi wa majengo ya Serikali?Huu ni mchanganuo tu wa ishu ya umeme, Hilo kwingine wajuzi wa hayo mambo wafafanua kwa maana nyingine Bei za huyu mdau za kipigaji, namaanisha hazikubaliki.
Wengi hawajui huo mradi utakaguliwa na watu wa PPRA, CAG n.k. Wote hao wataangalia specifications zimesema nini na ubora ulihakikishiwa vipi. Bila ripoti kutoka maabara ya kuthibitisha ubora wa tofali hauchomoki. Hapo matofali na zege vinapelekwa Tabora kupimwa.Huu ndiyo ukweli. Serikali ina viwango vyake ambavyo kwa mitaani havitumiki na usipovifuata mradi unaweza usipokelewe!!
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Masharti ya ujenzi wa Serikali Yana utofauti gani na ujenzi wa kawaida ? Sababu kazi huwa tunafanya na Serikali haya masharti sijawahi kuyaona kwamba Kuna masharti ya ujenzi wa serikali na ujenzi wa usio wa serikali, masharti ya ujenzi wa serikali yanasemaje kuhusu usafiri ? Armoured Cable kwenda uyui usafirishe na Ndege au kwenye cable ya size ya 1.5 au 2.5 utumie 6 au 10 au 16 au 25 ?Kwa vigezo vya kiserikali vinakubalika. Hoja hapa ingekuwa jee vigezo vimezingatiwa kwa kufuata masharti ya ujenzi wa majengo ya Serikali?
Ndiyo maana nasema, Waziri Mkuu hakutakiwa kubishia tu gharama, bali alitakiwa ashauriwe kama mradi umefikia viwango au la.Wengi hawajui huo mradi utakaguliwa na watu wa PPRA, CAG n.k. Wote hao wataangalia specifications zimesema nini na ubora ulihakikishiwa vipi. Bila ripoti kutoka maabara ya kuthibitisha ubora wa tofali hauchomoki. Hapo matofali na zege vinapelekwa Tabora kupimwa.
Amandla...
Watu hawapigi kijinga hivyo. Hiyo pesa yenyewe lazima ipitishwe na kamati kibao na kila mara inakuja kamati kukagua mradi. Shida yenu mnalinganisha miradi ya serikali na miradi ya watu binafsi ambayo hailazimiki kufuata viwango vilivyowekwa na washauri wa serikali.Haya iwe Musoma huko migodini. Sisi haya ndiyo maisha yetu, Kuna muda watu wanapiga tu kwa ujinga wao ila kiuhalisia mambo hayako hivyo.
Hapo no 28 kufanya wiring umeme 650000 kwa hicho kibanda !!?hapana gharama za hivyo kwenye umeme hata kama utakiwekea a/cKwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Sema vyovyote upendavyo. Gharama za ujenzi wa majengo ya serikali na ya ujenzi wa nyumba zetu mitaani ni tofauti kabisa. Ukijenga Jengo la serikali hela nyingi zinatumika kwenye kufuata Taratibu. Hiyo "Amoured Cable" mtaani unaweza kumpa kuli abebe na ukamlipa buku yakaisha. Serikalini ni lazima uthibitishe kwamba huo waya ulibebwa.Masharti ya ujenzi wa Serikali Yana utofauti gani na ujenzi wa kawaida ? Sababu kazi huwa tunafanya na Serikali haya masharti sijawahi kuyaona kwamba Kuna masharti ya ujenzi wa serikali na ujenzi wa usio wa serikali, masharti ya ujenzi wa serikali yanasemaje kuhusu usafiri ? Armoured Cable kwenda uyui usafirishe na Ndege au kwenye cable ya size ya 1.5 au 2.5 utumie 6 au 10 au 16 au 25 ?
Kijana hata utumie bidhaa za ABB au Panasonic au Legrande sababu Hawa hawazalishi Cable na hapo Cable ndiyo yenye gharama kubwa. Hicho kibanda umeme hauwezi zidi 2mil. Sababu hicho kibanda kitachukua socket mbili tufanye zote Twin Complete, switch light Moja complete, tuchukulie au tuwawekee Light Bulb za bei kubwa mfano Opple hazi zidi nne, nje na ndani.Tronic zimepitishwa na nani? Tangu lini umemtumia fundi mwenye diploma kukufungia umeme? Na hiyo diploma in electrical installation inatolewa na chuo gani?
Amandla...
gharama hizo ni kibanda au ni nyumba ya kulala wageniKwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Serikali ipi hiyo unayoifanyia kazi? Hamna mahali katika mkataba panaposema vifaa viletwe kwa njia gani. Kinachotakiwa ni kifaa kifike salama, kwa wakati na katika hali ya kutumika. Hapa unashupalia armoured cable ambazo hata hazipo katika hesabu ambayo mtaalam mwenzako ameiweka.Masharti ya ujenzi wa Serikali Yana utofauti gani na ujenzi wa kawaida ? Sababu kazi huwa tunafanya na Serikali haya masharti sijawahi kuyaona kwamba Kuna masharti ya ujenzi wa serikali na ujenzi wa usio wa serikali, masharti ya ujenzi wa serikali yanasemaje kuhusu usafiri ? Armoured Cable kwenda uyui usafirishe na Ndege au kwenye cable ya size ya 1.5 au 2.5 utumie 6 au 10 au 16 au 25 ?
Na bado cha juu 10%Haujaweka gharama za tiles, za vitasa na bawaba, kupiga dawa ya mchwa, dpc na ulinzi wakati kinajengwa .
Amandla...
Haya tuseme umeme ni milioni 2. Kwa hiyo gharama inazidi milioni 14? Maana kibanda sio switch socket na wiring peke yake.Kijana hata utumie bidhaa za ABB au Panasonic au Legrande sababu Hawa hawazalishi Cable na hapo Cable ndiyo yenye gharama kubwa. Hicho kibanda umeme hauwezi zidi 2mil. Sababu hicho kibanda kitachukua socket mbili tufanye zote Twin Complete, switch light Moja complete, tuchukulie au tuwawekee Light Bulb za bei kubwa mfano Opple hazi zidi nne, nje na ndani.
Sasa naongelea uhalisia wewe unaongelea upigaji. Tofautisha ujinga unao uongelea wewe na uhalisia.Watu hawapigi kijinga hivyo. Hiyo pesa yenyewe lazima ipitishwe na kamati kibao na kila mara inakuja kamati kukagua mradi. Shida yenu mnalinganisha miradi ya serikali na miradi ya watu binafsi ambayo hailazimiki kufuata viwango vilivyowekwa na washauri wa serikali.
Amandla...
Sasa hizo gharama nyingine waache watalaamu wa hayo mambo waongelee sababu nao wameonyesha upingaji wa hizo gharama.Haya tuseme umeme ni milioni 2. Kwa hiyo gharama inazidi milioni 14? Maana kibanda sio switch socket na wiring peke yake.
Amandla...
MUNGU akubariki sanaKwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Suala la upigaji si umeleta wewe? Mimi nakwambia kihalisia hiyo gharama inakubalika kwa kibanda kilichojengwa kufuatana na matakwa ya serikali.Sasa naongelea uhalisia wewe unaongelea upigaji. Tofautisha ujinga unao uongelea wewe na uhalisia.
Ndiyo maana nikakwambia hivi Kuna tofauti gani za kitaalamu zinazo tofautisha kati ya Serikali na Miradi ya watu binafsi ?
Sisi kazi zote hizo tumefanya za Serikali na nyingine zote na kazi hizi huwa zinafata Standard za kimataifa.
Sasa Jenga hoja kitaalamu na siyo kipigaji.
Hapa najadaliana na mtu ambaye hajui haya mambo. Mimi nimefanya kazi na Serikali na nafanya kazi za Watu binafsi na siyo nyumba binafsi.Sema vyovyote upendavyo. Gharama za ujenzi wa majengo ya serikali na ya ujenzi wa nyumba zetu mitaani ni tofauti kabisa. Ukijenga Jengo la serikali hela nyingi zinatumika kwenye kufuata Taratibu. Hiyo "Amoured Cable" mtaani unaweza kumpa kuli abebe na ukamlipa buku yakaisha. Serikalini ni lazima uthibitishe kwamba huo waya ulibebwa.
Asante sana. Viongozi wanapaswa kupata ushauri wa kitaalaam kwa utulivu mkubwa kabla ya kuwa na jazba na kuishia kukurupuka.Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Kiuhalisia nimekuonyesha na number nimekuwekea mfano tu kwenye umeme, hapo kibanda hicho kitategemea umeme kutokana na miundo mbinu iliyo wekwa kwenye hayo majengo makubwa.Suala la upigaji si umeleta wewe? Mimi nakwambia kihalisia hiyo gharama inakubalika kwa kibanda kilichojengwa kufuatana na matakwa ya serikali.
Standard za kimataifa ni zipi hizo? Nina wasiwasi kama kweli unajua unachozungumzia.
Amandla...