Waziri mkuu wa India asherehekea na kufanya ibada kuzaliwa kwa ndama katika makazi yake

Namuomba mungu kisisimame kiama mpaka anikutanishe nawe then na kukuuliza hili swali siku ya kiama " je anayekisimamisha kiama hiki au siku hii ya leo ya mwisho ni nguruwe?"
Peleka upupu wako wewe, kiama unaijua wewe? Au unaleta muendelezo wa story za kusadikika?
Mnapoamua kukashifu wenzenu mjiandae kuwa wavumilivu.
Maana mnapokashifu wenzenu kwa misingi ya imani na mafundisho yenu basi mjue kuna watu wamefundishwa kuwaheshimu ninyi na imani zenu ila siyo mafala, kwani pamoja na kutokuwa na misingi na mafundisho ya kuwakashifuni ila wana uwezo wa kuwakashifuni kwa makusudi tu hadi mjilambe makamasi.
 
Ana tofauti gani na anayeomba katika sanamu ya bikira Maria au anayesafiri mpaka Saudia kupiga jiwe kubwa mawe??
ni imani au utaratibu ulowekwa ili kufanya mazingira yawe rafiki baina yetu but imani nyengine hazifai moja wapo hii.
 
Even the calf on the pic be like WTF bomboclaaat outta world fvckry b dis?

He's like i just wanna eat my grass and wait for my excution.. whats with all the gimmicks
 
Even the calf on the pic be like WTF bomboclaaat outta world fvckry b dis?

He's like i just wanna eat my grass and wait for my excution.. whats with all the gimmicks
Wahindu hawachinji ng'ombe, hawali nyami ya ng'ombe.
 
hebu search Iglesias on Indian Cow halafu ucheke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…