Waziri Mkuu wa Israel akutana na Putin kumaliza mgogoro Ukraine, Marekani yabariki

Waziri Mkuu wa Israel akutana na Putin kumaliza mgogoro Ukraine, Marekani yabariki

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Waziri Mkuu wa Israel, Naftali Bennett amekutana kwenye mazungumzo ya saa tatu na Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika Jiji la Moscow, Urusi katika harakati za kutatua mzozo wa Urusi na Ukraine, mazungumzo hayo yamepewa baraka na Utawala wa Marekani.

Mazungumzo hayo ya kidiplomasia yamesimamiwa pia Ujerumani na Ufaransa kwa lengo la kufanikisha kuumaliza mzozo wa Ukraine na Urusi.

Bennett pia amezungumza na Rais wa Ukraine, Zelensky baada ya mazungumzo yake na Putin.

Baada ya hapo, Bennett alifunga safari mpaka Ujerumani na kuonana na Chancellor Olaf.
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Toka nimeanza kuwajua wanaCCM wahajawahi kuniangusha kwenye kuongea ugoro . jambo lolote ukitaka liharibike na kuonekana pumba mshirikishe mwana Lumumba.
 
Toka nimeanza kuwajua wanaCCM wahajawahi kuniangusha kwenye kuongea ugoro . jambo lolote ukitaka liharibike na kuonekana pumba mshirikishe mwana Lumumba.
Mwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi

Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko kuu
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Mungu anawashindia wenye haki daima
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Wewe unaonekana ni mfuasi wa yule mfalme zumaridi..
 
Mwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi

Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko kuu
Wakati kuna watanzania wenzetu huko Ukraine wanateseka huku wanazuiwa na viongoz wa Ukraine kutoka,huku Tanzania kuna watu wajinga na wapumbavu wamekalia upopoma wakushabikia vitu wasivyovijua...Nimekutukana tusi kubwa sana matako wewe
 
Mwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi

Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko kuu
Imeandikwa usilitaje bure la Bwana Mungu wako, naona umeamua kutajataja jina la Mungu kama unataja majina ya wanafunzi watoro
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Uwe unaacha ushabiki mandazi saa zingine mkuu, mbona unakua kama mtu ambae kichwani kumejaa makatapera...
 
Wakati kuna watanzania wenzetu huko Ukraine wanateseka huku wanazuiwa na viongoz wa Ukraine kutoka,huku Tanzania kuna watu wajinga na wapumbavu wamekalia upopoma wakushabikia vitu wasivyovijua...Nimekutukana tusi kubwa sana matako wewe
Mada iliyopo mezani ni kati ya Ukraine na Russia yeye analeta ushabiki maandazi wa Israel kushinda vita. Hajui kuwa Putin ni myahudi? Hajui kuwa milima ya Ural iliyopo Russia ni milima mitakatifu?

Hajui Hitler aliua wayahudi zaidi ya million 6 kwenye kambi za mateso kwani Mungu hakuwepo kuwapigania? Mungu hapiganii ujinga hata kama Israel ndio kaufanya Mungu anapigania haki
 
Mwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi

Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko kuu

naona unawaombea kheri wayahudi wenzako, aka ukiwabariki wayahudi nawe umebarikiwa.. huku Mrusi Putin kupitia kitabu chao nao wanasema ile nayo ni nchi yao ya ahadi...
 
naona unawaombea kheri wayahudi wenzako, aka ukiwabariki wayahudi nawe umebarikiwa.. huku Mrusi Putin kuputia kitabu chao nao wanasema ile nayo ni nchi yao ya ahadi...
Ndio nawatakia heri

Hayo yao hata katoliki vatikan husema ni mji mtakatifu ndiko kanisa la kwanza lilianzia kule wakati kanisa lilianzia Israel ambako Yesu alizaliwa na kufiwa ambako kanisa la kwanza alianza kukusanyika nyumba kwa nyumba
Katoliki huamini kanisa la kwanza lilianzia Vatikan wakati madhehebu mengine hutambua kuwa kanisa la kwanza lilianzia Israel ambako mitume wote 12 walizaliwa na kufanya kazi na Yesu na kanisa likazaliwa kule hawatambui kuanzia Vatican Nchi takatifu Inayotambuliwa ni Israel sio Vatican au Russia
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Umeandika upumbavu, miccm ni mipumbavu tu miaka yote.
 
Ndio nawatakia heri

Hayo yao hata katoliki vatikan husema ni mji mtakatifu ndiko kanisa la kwanza lilianzia kule wakati kanisa lilianzia Israel ambako Yesu alizaliwa na kufiwa ambako kanisa la kwanza alianza kukusanyika nyumba kwa nyumba
Katoliki huamini kanisa la kwanza lilianzia Vatikan wakati madhehebu mengine hutambua kuwa kanisa la kwanza lilianzia Israel ambako mitume wote 12 walizaliwa na kufanya kazi na Yesu na kanisa likazaliwa kule hawatambui kuanzia Vatican Nchi takatifu Inayotambuliwa ni Israel sio Vatican au Russia
Punguza kufikiria kwa kutumia MAKALIO aseee,yaan unakera kujifanya mjuaji kumbe zumbukuku tu
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Umetopoloka kabisa
 
Ndio nawatakia heri

Hayo yao hata katoliki vatikan husema ni mji mtakatifu ndiko kanisa la kwanza lilianzia kule wakati kanisa lilianzia Israel ambako Yesu alizaliwa na kufiwa ambako kanisa la kwanza alianza kukusanyika nyumba kwa nyumba
Katoliki huamini kanisa la kwanza lilianzia Vatikan wakati madhehebu mengine hutambua kuwa kanisa la kwanza lilianzia Israel ambako mitume wote 12 walizaliwa na kufanya kazi na Yesu na kanisa likazaliwa kule hawatambui kuanzia Vatican Nchi takatifu Inayotambuliwa ni Israel sio Vatican au Russia

sasa wewe ni myahudi au mkristo?... katoriki nini na madhehebu ni nini?.. hawa wa madhehebu ni wakristo au wayahudi...huyu Yesu uliyemtaja ni mkristo, myahudi au orthodox?
 
Back
Top Bottom