Waziri Mkuu wa Israel akutana na Putin kumaliza mgogoro Ukraine, Marekani yabariki

Waziri Mkuu wa Israel akutana na Putin kumaliza mgogoro Ukraine, Marekani yabariki

Toka nimeanza kuwajua wanaCCM wahajawahi kuniangusha kwenye kuongea ugoro . jambo lolote ukitaka liharibike na kuonekana pumba mshirikishe mwana Lumumba.
katika watu wasiojitambua wewe ni miongon.mambo ya siasa za ndani imeingiaje hapa
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
soma sana uachane na ujinga..Mungu alisema namnukuu "mshike sana Elimu usimuache aende zake" weye ni wazi umemuacha aende zake ...sikupi pole....
 
soma sana uachane na ujinga..Mungu alisema namnukuu "mshike sana Elimu usimuache aende zake" weye ni wazi umemuacha aende zake ...sikupi pole....
Wayahudi wana elimu yao na maandishi yao
Waweza soma kuanzia kindergarten hadi PhD kwa maandishi yao na Lugha yao na elimu yao iko juu mno

SIjasoma madrasa ya kiislamu ya kukariri na kuhifadhi aya za kuruani ambayo mashindano yake yanasimamiwa na Shehe Kishik mtumishi wa kuruani kuanzia tarehe 17 mwezi huu Dar es salaam zawadi ya kwanza milioni 20!!!
 
Wayahudi wana elimu yao na maandishi yao
Waweza soma kuanzia kindergarten hadi PhD kwa maandishi yao na Lugha yao na elimu yao iko juu mno

SIjasoma madrasa ya kiislamu ya kukariri na kuhifadhi aya za kuruani ambayo mashindano yake yanasimamiwa na Shehe Kishik mtumishi wa kuruani kuanzia tarehe 17 mwezi huu Dar es salaam zawadi ya kwanza milioni 20!!!
hata bongo tuna maandishi yetu...hili nalo hujui???
 
Wayahudi wana elimu yao na maandishi yao
Waweza soma kuanzia kindergarten hadi PhD kwa maandishi yao na Lugha yao na elimu yao iko juu mno

SIjasoma madrasa ya kiislamu ya kukariri na kuhifadhi aya za kuruani ambayo mashindano yake yanasimamiwa na Shehe Kishik mtumishi wa kuruani kuanzia tarehe 17 mwezi huu Dar es salaam zawadi ya kwanza milioni 20!!!
Tarehe 17 mashindano ya kusoma kuruani tarehe hiyo hiyo ni pasaka na pia ni simba vs orlando
 
PUTIN hajui Urusi iliingia uchumi wa dunia Miaka 20 iliyopita ndio ikafunguka kuwa open economy na ikastawi ndani ya Miaka hii 20 Putin kuvamia wayahudi Ukraine uchumi umerudi enzi za mawe na ujima ndani ya siku 10 tu za vita kwa vikwazo vya uhakika karudisha uchumi wa Russia Miaka zaidi ya 20 ilipokuwepo!!

Kawarudisha Urusi ground zero economically na financially na itawachukua Miaka mingi mno kurudi kwenye kuwa connected again kwenye Global economy

Wanatakiwa warusi wamwuue Putin
Nature ichukue mkondo wake. Shetani aende zake.
putin: Vladimir Putin to undergo cancer treatment, handover power to loyalist Nikolai Patrushev: Reports - Times of India
 
Kwa niliyo soma na kuyaona. Natafakari wacha Putin awapitishe kwenye mfereji wa moto..
Ukraine wengi wabaguzi na wachochezi wa vita maeneo mengi duniani..
 
Back
Top Bottom