Waziri Mkuu wa Israel akutana na Putin kumaliza mgogoro Ukraine, Marekani yabariki

Waziri Mkuu wa Israel akutana na Putin kumaliza mgogoro Ukraine, Marekani yabariki

Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Utakuwa unasali kwa Zumaridi wewe
 
Huyo Mungu ndiye kakutuma utukane watu hovyo hivyo?

Atakuwa mungu how hirizi wa viunoni au kwapani huyo ila si Muumba mbingu na nchi [emoji38]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hujui Biblia wewe

Yesu alinwita Herode Mbweha

Mimi kumwita Putin Mbwa sio kitu kikubwa

narudia Putin mbwa mkubwa

Luka 13:32 BHN​

Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: ‘Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.’
BHN: Biblia Habari Njema
 
Hujui Biblia wewe

Yesu alinwita Herode Mbweha

Mimi kumwita Putin Mbwa sio kitu kikubwa

narudia Putin mbwa mkubwa

Luka 13:32 BHN​

Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: ‘Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.’
BHN: Biblia Habari Njema
Endelea kukaza fuvu na ujuaji wako mwingi wa Biblia huku ukiendekeza mahaba nnje ya Biblia [emoji1787]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Putin sio myahudi yeye mwenyewe alikana
wapi Yesu alisema yeye ni myahudi? Na walio muua Yesu hawakua wayahudi? Yusufu zama za Herode alikimbilia Misri, alikimbia nan kama sio mayahudi?
 
Na walio muua Yesu hawakua wayahudi?
Wayahudi hawakumuua Yesu

Waliomuua Yesu ni Askari wa kirumi sio wayahudi

Hata hukumu yake aliyemuru auawe ni jaji wa kirumi anayeitwa Ponsio Pilato
 
Wayahudi hawakumuua Yesu

Waliomuua Yesu ni Askari wa kirumi sio wayahudi

Hata hukumu yake aliyemuru auawe ni jaji wa kirumi anayeitwa Ponsio Pilato
6 Wale makuhani wakuu na viongozi wa Wayahudi walipomwona wakapiga kelele, “Msulubishe! Msulubishe!” Pilato akawajibu, “Mchukueni mumsulubishe ninyi, kwa sababu mimi sioni kosa alilo tenda.” 7 Wao wakamjibu, “Sisi tunayo sheria ambayo inamhukumu kifo kwa sababu yeye anajiita Mwana wa Mungu.” 8 Pilato aliposi kia haya aliingiwa na hofu. 9 Akaingia ukumbini tena akamwuliza Yesu, “Wewe unatoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu. 10 Pilato akamwambia, “Kwa nini hunijibu? Hujui ya kuwa nina mamlaka ya kukuachilia huru au kukusulubisha?” 11 Ndipo Yesu akamwambia, “Wewe hungekuwa na mamlaka ye yote juu yangu kama Mungu hakukupa mamlaka hayo; kwa hiyo mtu aliyenishtaki kwako ana dhambi kubwa zaidi.” 12 Tangu wakati huo Pilato akaanza kutafuta njia ya kumfungua Yesu, lakini Wayahudi wakazidi kupiga kelele wakasema, “Ukimwachilia huyu mtu, wewe si rafiki wa Kaisari. Mtu ye yote anayejifanya kuwa mfalme anampinga Kaisari.” 13 Pilato aliposi kia maneno haya alimtoa Yesu nje tena akaketi katika kiti chake cha kuhukumia, mahali palipoitwa Sakafu ya Jiwe - kwa Kiebrania paliitwa Gabatha.
Viongozi wa wayahudi walikua warumi? makuhani walikua warumi?
 
Viongozi wa wayahudi walikua warumi? makuhani walikua warumi?
Hao wakipiga kelele tu asulubiwe asubiwe ila hawakumuua Waliomuua ni Askari wa kirumi wakamtundika msalabani na wakamchoma mkuki.

Hakuna myahudi aliua Yesu mikelele walipiga lakini hukumu ya kuuawa Yesu aliitoa jaji.Mrumi Ponsio Pilato akamkadhi kwa Askari warumi wenzie wamwuue Yesu .Warumi ndio walimuua Yesu

Yesu aliuawa na warumi sio wayahudi
 
Hujui Biblia wewe

Yesu alinwita Herode Mbweha

Mimi kumwita Putin Mbwa sio kitu kikubwa

narudia Putin mbwa mkubwa

Luka 13:32 BHN​

Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: ‘Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.’
BHN: Biblia Habari Njema
Hata wewe hujui Biblia, unatuzuga tu
 
Hao wakipiga kelele tu asulubiwe asubiwe ila hawakumuua Waliomuua ni Askari wa kirumi wakamtundika msalabani na wakamchoma mkuki.

Hakuna myahudi aliua Yesu mikelele walipiga lakini hukumu ya kuuawa Yesu aliitoa jaji.Mrumi Ponsio Pilato akamkadhi kwa Askari warumi wenzie wamwuue Yesu .Warumi ndio walimuua Yesu

Yesu aliuawa na warumi sio wayahudi
Sasa ni maana ya kupiga kelele asulubiwe? Na kwanini Yusufu aliwaogopa Wayahudi alipotaka kuuchukua mwili wa Yesu?
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Ndo muhubiri wa kanisa lenu aliwaambia muwaombee Ukraine?
 
Toka nimeanza kuwajua wanaCCM wahajawahi kuniangusha kwenye kuongea ugoro . jambo lolote ukitaka liharibike na kuonekana pumba mshirikishe mwana Lumumba.
Wana lumumba hawajawahi kutuangusha 🤣🤣🤣

Nasema uongo pisi?
 
Embu toka kwenye huu uzi

Hukawii kuharibu jambo kama ndugu yako Yehodaya
😂😂😂😔😂🙌
Kuna siku Mbowe alivyotoka amesema Mbowe ndio ajifunze sasa kuttorudia kufanya ugaidi
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Mwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi

Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko kuu
na hitler alipigwa na urusi
 
Hayakuhusu myahudi ukimgusa jiandae kukiona cha mtema kuni .Wayahudi wengi sio wakristo ila kaa nao mbali ukiwagusa utashangaa

Goliathi Putin anashambulia wayahudi chini ya Raisi wao Myahudi atajisaidia haja kubwa Kremlin nje ya choo cha ofisi yake shenzi type

Mwambieni awaogope wayahudi kama ukoma mbwa mkubwa
Kwani Wayahudi ni nani? Siyo binadamu kama sisi wengine? Punguzeni kuwa Watumwa wa Wazungu.
 
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Pale Wayahudi wa Buza waliotekwa kiakili kuitetea Israel kwa kudhanu Israel kuna Christians sana kuliko ata Tanzania!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama russia atashindwa na ukraine haya ni maajabu katika medani za kivita, ushindi wa ukraine katika vita hii labda isaidiwe vifaa vya kijeshi vikali zaidi kuliko vya russia toka mataifa ya magharibi au nchi za NATO zijiingize moja kwa moja kuishambulia russia kitu ambacho si rahisi kwani itakuwa ni janga la kidunia ambalo halijawahi kutokea tangu vita vya pili vya dunia
 
Back
Top Bottom