Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana nakwambia haya mambo huyajui! Ni kwamba katika nyakati hizi za mwisho,Mungu sasa hivi anawakusanya Wayahudi katika mataifa yote na kuwarejesha katika nchi yao ya ahadi,(Kumbukumbu30:3-5) na (Amos9:14-15)Acha ujinga kwa nini waondoke makazi yao wanakopata riziki zao kuwa wakimbizi au kuishi kwa misaada? Issue sio kuondoka safely ni ku disturb their life pattern .Unataka Waende sehemu peaceful waishi kwa Donatons?
Myahudi hayo maisha hawezi.Myahudi sio mgogo Omba Omba mtegemea UNHCR au Serikali ya Israel au International charities! donations!! Huyo Goliath Putin kaharibu kabisa pattern ya maisha ya wayahudi wa Ukraine kutoka kuwa independent na kuwa watu wa kuishi kwa donations
Nasubiri taarifa rasmi sio hii yako unajua kwa kupata huyo Goliathi Putin anachokitafutakwa wayahudi atakipata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]oyaaaaToka nimeanza kuwajua wanaCCM wahajawahi kuniangusha kwenye kuongea ugoro . jambo lolote ukitaka liharibike na kuonekana pumba mshirikishe mwana Lumumba.
Dua la kuku Mkuu!Lile shetani la urusi litaaibika
Kaa SENG..🖕Mwambieni Goliathi Putin neno hili Mene mene mene Tekeli na Peresi
Kama hajui maana yake aulize wasaidizi wake
Hahahahanaona unawaombea kheri wayahudi wenzako, aka ukiwabariki wayahudi nawe umebarikiwa.. huku Mrusi Putin kuputia kitabu chao nao wanasema ile nayo ni nchi yao ya ahadi...
Poor you 😏Tulijuwa kabla ya vita na baada ya vita ila nilazima dunia na Putin pamoja majeshi yake wajuwe kile wamekifanya kuingia nakumwaga dam ya wa Ukraine lazima wakilipe hapa hapa dunia. Ili iwe fundisho kwa tawala nyingine zaki imla. Putin must pay is grave mistake in Ukraine
Wewe ni MAKERUBI?Mwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi
Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko
Kumbe jitihada zote za kuipinga Russia ni kwasababu hii!!!?Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi
Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita
Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake
Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Au nabii TitoWewe unaonekana ni mfuasi wa yule mfalme zumaridi..
Tumia kidogo ubongo wako kufikiri. Usikubali kuwa mateka wa akili.Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi
Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita
Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake
Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Tofautisha Hao no wayahudi (wadini) but sio waisrael WA (DAMU)Mwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi
Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko kuu
Hatari sana, indoctrination at highest level.Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi
Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita
Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake
Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi
Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita
Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake
Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
wew acha kuchanganya dini na udhalim. Kwani wakati ujerumani inapigwa kina Einstein walikuwa sio wayahudi? Kina Schrodinger walikuwa wabongo?Mwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi
Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko kuu
Hoja yako Haina mashikocheck link hiyo then come up wth your pumbaz
Jewish Population of the World
Encyclopedia of Jewish and Israeli history, politics and culture, with biographies, statistics, articles and documents on topics from anti-Semitism to Zionism.www.jewishvirtuallibrary.org
Putin sio myahudi yeye mwenyewe alikanawew acha kuchanganya dini na udhalim. Kwani wakati ujerumani inapigwa kina Einstein walikuwa sio wayahudi? Kina Schrodinger walikuwa wabongo?
Nchi zote za ulaya karibu zina percentage za wayahudi, sasa unakataaje Putin sio myahudi au hadi awe anaingia kwenye masinagogi ya kiyahudi ndio uamini ni myahudi?
Hiv unajua historia ya Israel? Unajua kwanini Kirusi kilikua miongoni kwa Lugha tatu za kitaifa za Israel?
Sawa zakayo umeelewekaPutin sio myahudi yeye mwenyewe alikana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] Hii JF ni raha sana ayseee...[emoji16]Kila njaa
Huyo Mungu ndiye kakutuma utukane watu hovyo hivyo?Hayakuhusu myahudi ukimgusa jiandae kukiona cha mtema kuni .Wayahudi wengi sio wakristo ila kaa nao mbali ukiwagusa utashangaa
Goliathi Putin anashambulia wayahudi chini ya Raisi wao Myahudi atajisaidia haja kubwa Kremlin nje ya choo cha ofisi yake shenzi type
Mwambieni awaogope wayahudi kama ukoma mbwa mkubwa