katika watu wasiojitambua wewe ni miongon.mambo ya siasa za ndani imeingiaje hapaToka nimeanza kuwajua wanaCCM wahajawahi kuniangusha kwenye kuongea ugoro . jambo lolote ukitaka liharibike na kuonekana pumba mshirikishe mwana Lumumba.
We jamaa kuna siku unayokua na hoja ya kueleweka kweli?Putin sio myahudi angekuwa myahudi asingeshambulia Ukraine nchi inayoongozwa na Raisi Myahudi
soma sana uachane na ujinga..Mungu alisema namnukuu "mshike sana Elimu usimuache aende zake" weye ni wazi umemuacha aende zake ...sikupi pole....Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi
Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita
Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake
Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Wayahudi wana elimu yao na maandishi yaosoma sana uachane na ujinga..Mungu alisema namnukuu "mshike sana Elimu usimuache aende zake" weye ni wazi umemuacha aende zake ...sikupi pole....
hata bongo tuna maandishi yetu...hili nalo hujui???Wayahudi wana elimu yao na maandishi yao
Waweza soma kuanzia kindergarten hadi PhD kwa maandishi yao na Lugha yao na elimu yao iko juu mno
SIjasoma madrasa ya kiislamu ya kukariri na kuhifadhi aya za kuruani ambayo mashindano yake yanasimamiwa na Shehe Kishik mtumishi wa kuruani kuanzia tarehe 17 mwezi huu Dar es salaam zawadi ya kwanza milioni 20!!!
Tarehe 17 mashindano ya kusoma kuruani tarehe hiyo hiyo ni pasaka na pia ni simba vs orlandoWayahudi wana elimu yao na maandishi yao
Waweza soma kuanzia kindergarten hadi PhD kwa maandishi yao na Lugha yao na elimu yao iko juu mno
SIjasoma madrasa ya kiislamu ya kukariri na kuhifadhi aya za kuruani ambayo mashindano yake yanasimamiwa na Shehe Kishik mtumishi wa kuruani kuanzia tarehe 17 mwezi huu Dar es salaam zawadi ya kwanza milioni 20!!!
Ni upumbavu gani kashadidia? Tusaidie kuelewa upumbavu wa huyo jamaa.Mzukule mwingine huu hapa unaoshadadia upumbavu, hivi mbona tuko wakristo wengi tu tunaotumia akili kupambanua mambo badala ya mahaba kama ninyi[emoji848][emoji34]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Nature ichukue mkondo wake. Shetani aende zake.PUTIN hajui Urusi iliingia uchumi wa dunia Miaka 20 iliyopita ndio ikafunguka kuwa open economy na ikastawi ndani ya Miaka hii 20 Putin kuvamia wayahudi Ukraine uchumi umerudi enzi za mawe na ujima ndani ya siku 10 tu za vita kwa vikwazo vya uhakika karudisha uchumi wa Russia Miaka zaidi ya 20 ilipokuwepo!!
Kawarudisha Urusi ground zero economically na financially na itawachukua Miaka mingi mno kurudi kwenye kuwa connected again kwenye Global economy
Wanatakiwa warusi wamwuue Putin