Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Anayesema hakuna Mungu,abadilishe mfumo wa kwenda choo kikubwa tu,kama qtaweza.Angalia Mungu alivyofundi,mtu akikosa choo kikbwa tu,tayari anahaha,kuwa amekosa choo,anatafuta matibabu.Watu kama hawa waliochupa mipaka subiri waumwe watamtaja Mungu bira kupata huo uthibitisho kama yupo nadhan pumzi na afya njema inawaadaa . Alikua Firauni mkaidi kuliko yeye na kuwalazimisha watu wamwite Mungu akuna Mungu mwingine ila yeye huku akiwa na mamlaka tele na ujeuri wake uliisha itakua huyo ! .waache wajifanye wanasayansi kila kitu wanataka uthibitisho
Ni ujingq mkubwa na upumbavu usio na mfano,mtu kununua kitabu 214 kr(!pesa ya Sweden),sawa na shiling 50000 Tz,halafu unakichoma moto.Ukinunua vitabu kimi ni sawa na laki tano,wakati nchi hiyo hiyo ya Sweden kuna wanaolala barabarani na kukosa chakula,ambaye ni Mswedish mwezake,anakwenda mnufaisha muarabu,anayechapisha vitabu na kuviuza kibiashara.Kweli ujinga ni mzigo.6Waziri mkuu wa Sweden ameshtushwa na idadi kubwa ya watu wanaoomba kila siku kibali cha kufanya maandamano na kuchoma Quran na kuidhalilisha.
Waziri mkuu anasema idadi hiyo inaongezeka siku hadi siku na hivyo hajui nini kitatokea kama hii hali ikiendelea.
Tukumbuke hivi karibuni kumekua na matukio ya kuchoma Quran na kuidhalilisha hadharani nchini Sweden.
---
The Swedish prime minister, Ulf Kristersson, has said that he is “extremely worried” about the consequences if more demonstrations go ahead in which the Qur’an is desecrated, amid growing Muslim anger at a series of attacks on Islam’s holy book.
Attacks on the Qur’an in Sweden and Denmark have offended many Muslim countries, including Turkey, whose backing Sweden needs to join Nato – a goal of Stockholm’s after Russia’s invasion of Ukraine.
Kristersson told the Swedish news agency TT that further requests had been filed with police for permission to hold protests where desecration of the Qur’an was again planned.
“If they are granted, we are going to face some days where there is a clear risk of something serious happening,” he said. “I am extremely worried about what it could lead to.”
Sweden’s embassy in Baghdad was stormed and set on fire on 20 July by protesters angered by a planned Qur’an burning.
Kristersson said the decision whether to grant permission for the demonstrations was up to the police.
On Wednesday, Kristersson and other Swedish officials said the country had been the target of a disinformation campaign in which “Russia-backed actors” had attempted to damage the country’s image by implying it supported the burnings.
The minister for civil defence, Carl-Oskar Bohlin, said: “Russia-backed actors are amplifying incorrect statements such as that the Swedish state is behind the desecration of holy scriptures.”
Sweden’s security service, Sapo, has kept its assessment of the threat level at 3 on a scale of 5, signifying an “elevated threat” during the crisis, but its head said there had been a strong reaction to recent events. “Sweden has gone from being seen as a tolerant country to being seen as an anti-Islamic land,” Charlotte von Essen told reporters on Thursday.
Denmark and Sweden have said they deplore the burning of the Qur’an but cannot prevent it under rules protecting free speech.
Sweden has accused other countries – such as Russia – of manipulating the crisis to damage its interests and its effort to join Nato.
“In some countries there is a perception that the Swedish state is behind, or condones, this. We don’t,” the Swedish foreign minister, Tobias Billström, said on Thursday. “These are acts committed by individuals, but they do it within the framework of freedom of speech laws,” he said.
Billström said he had been in touch with the foreign ministers of Iran, Iraq, Algeria and Lebanon, among others, as well as the UN secretary-general about the current crisis. He said he would shortly be speaking to the secretary-general of the multinational Organisation of Islamic Cooperation.
The Swedish government is facing a difficult balancing act in defending far-reaching freedom of speech laws, while at the same time avoiding potential insult to Muslims.
Its position is not made easier by the anti-immigration Sweden Democrats party, whose support keeps the right-of-centre coalition in power, though it is not formally part of the government.
Members of the Sweden Democrats, the biggest party on the right, have repeatedly warned about the “Islamisation” of Swedish society and called for immigrants to adopt “Swedish” values.
Source: The Guardian
Ngoja tusubiri matokeo siku si nyingi itabaki history tu kuwa Kuna nchi ilikua inaitwa Sweden Mungu hajaribiwi.Ni ujingq mkubwa na upumbavu usio na mfano,mtu kununua kitabu 214 kr(!pesa ya Sweden),sawa na shiling 50000 Tz,halafu unakichoma moto.Ukinunua vitabu kimi ni sawa na laki tano,wakati nchi hiyo hiyo ya Sweden kuna wanaolala barabarani na kukosa chakula,ambaye ni Mswedish mwezake,anakwenda mnufaisha muarabu,anayechapisha vitabu na kuviuza kibiashara.Kweli ujinga ni mzigo.6
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kuna dalili ninyi zinathibitisha kua yupo muumba ila kwa wenye akili tu na mazingatio ndio wanajua haya . Ila watu wanataka uthibitisho kwa kutumia njia alizobuni mzungu kuchunguza uwepo wa mwenyezi Mungu huwez pata .wao wanasema Mungu hayupo wajizuilie kifo kupitia hiyo sayansi waliosoma je wanashindwaje?. Hiyo ni dalili moja wapo ya uwepo wa muumba mwenye nguvu .bira ya shaka kwake tutalejea ameshasema .hata hili mtu anashindwa kuwaza? Kwanini hakuna utofauti kati ya fukara na matajiri wote tunakufa!, Hivi hawa wanajua kama kuna watu hapa duniani wana pesa kiasi kwamba hata haziwezi kuisha , mpaka cha kununua hakuna lakin bado wanakufa sawa na wale ambao wanalala na njaa hawana hata uwezo wa kununua nusu ya unga! . wanashindwa kujiuliza kwa nini wanasayansi wameshindwa kuzuia kifo na wenye pesa je wanataka dalili gani tena au kiburi tu?.Anayesema hakuna Mungu,abadilishe mfumo wa kwenda choo kikubwa tu,kama qtaweza.Angalia Mungu alivyofundi,mtu akikosa choo kikbwa tu,tayari anahaha,kuwa amekosa choo,anatafuta matibabu.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwani Quran yenu imeandikwa na nani 🤔🤔Loo! Kumbe kimeandikwa na wanadamu.
Huu ndio ukweli.Kuna dalili ninyi zinathibitisha kua yupo muumba ila kwa wenye akili tu na mazingatio ndio wanajua haya . Ila watu wanataka uthibitisho kwa kutumia njia alizobuni mzungu kuchunguza uwepo wa mwenyezi Mungu huwez pata .wao wanasema Mungu hayupo wajizuilie kifo kupitia hiyo sayansi waliosoma je wanashindwaje?. Hiyo ni dalili moja wapo ya uwepo wa muumba mwenye nguvu .bira ya shaka kwake tutalejea ameshasema .hata hili mtu anashindwa kuwaza? Kwanini hakuna utofauti kati ya fukara na matajiri wote tunakufa!, Hivi hawa wanajua kama kuna watu hapa duniani wana pesa kiasi kwamba hata haziwezi kuisha , mpaka cha kununua hakuna lakin bado wanakufa sawa na wale ambao wanalala na njaa hawana hata uwezo wa kununua nusu ya unga! . wanashindwa kujiuliza kwa nini wanasayansi wameshindwa kuzuia kifo na wenye pesa je wanataka dalili gani tena au kiburi tu?.
Wachapishaji na wauza hivi vitabu,meno nje,watapata faida.Kitabu kimoja ni 214kr(pesa ya Sweden)sawa na shilingi 50000Tshilings.Wakinunua kopi 100,ni.milioni mia 5.Wasicheme tu Bali waizike fiti 12 chini
Waislamu hawapo Sweden pekee, wapo dunia nzima, na waswidish nao wapo wengi tu nje ya Sweden, kujenga uhasama na imani za watu ni tatizo, raia wa Sweden wasiyokuwa na hatia wanaweza kudhurika kwa ujinga wa mtu au baadhi ya watu wachache. Hakuna mtu mwenye haki ya kumpangia mtu mwingine katika himaya yake, lakini pia hakuna haki ya kuwaudhi, kuwakejeli na kuwashutumu baadhi ya watu wenye imani au mtazamo tofauti na wa kwako.Huna haki ya kuwapangia watu wengine wawe na haki gani katika nchi yao.
Ukishaanza kuwapangia watu wasichome moto vitabu nchini mwao, wakati utamaduni wao unaruhusu, huo nao si uungwana.
Unataka kuwapangia watu jinsi ya kuishi nchini mwao?
Quran si kitabu kitukufu, kina contradictions nyingi sana nimeziweka hapa.
Acha kukikuza.
Kichomwe moto tu.
Kwani kikichomwa Allah atakufa?
Yani 50,000 mara mia unapata milioni mia 5????????????????Wachapishaji na wauza hivi vitabu,meno nje,watapata faida.Kitabu kimoja ni 214kr(pesa ya Sweden)sawa na shilingi 50000Tshilings.Wakinunua kopi 100,ni.milioni mia 5.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Umetahadharisha vizuri sana.Waislamu hawapo Sweden pekee, wapo dunia nzima, na waswidish nao wapo wengi tu nje ya Sweden, kujenga uhasama na imani za watu ni tatizo, raia wa Sweden wasiyokuwa na hatia wanaweza kudhurika kwa ujinga wa mtu au baadhi ya watu wachache. Hakuna mtu mwenye haki ya kumpangia mtu mwingine katika himaya yake, lakini pia hakuna haki ya kuwaudhi, kuwakejeli na kuwashutumu baadhi ya watu wenye imani au mtazamo tofauti na wa kwako.
Huwenda kwako Msahafu si kitabu kitukufu lakini ni kitukufu kwa mwingine, waheshimu wenzako ili nawe uheshimike.
Kwa taarifa yako watu wanachoma msahafu na si Quran. Hajapatapo na hatatokea mtu wa kutoa mapungufu katika Quran.
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kukikuza au kukidogosha kitabu cha Quran, ni kitabu chenye kujitetea chenyewe, kilikuwepo na kipo halafu kitaendelea kuwepo hata baada ya wewe kuondoka duniani.
Allah hawezi kufa kwa binadamu kuchoma msahafu, bali wewe unaweza kuuwawa ikiwa utakichoma hicho kitabu, na usijaribu.
Huo ni mfano .Ikiwa atanunua vitabu 100 mtu mmoja,kukiwa na wengine kama huyo mmoja,wa idadi zaidi yake .Ni pesa ngapi imepotea.Huo ni mfano.Yani 50,000 mara mia unapata milioni mia 5????????????????
Au mimi ndio sijaelewa
Yeah ni mfanoHuo ni mfano tumia akili.ikiwa utanunua vitabu 100.mmoja,kukiwa na wengine kama wewe,wa idadi zaidinya yako wewe.Ni pesa ngapi imepotea.Huo ni mfano.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Qur'an yetu iliandikwa na watu chini ya usimamizi wa Mtume swalaLlaahu alayhi wa sallam halafu akaja malaikia aliyekuwa akiishusha kutoka kwa Allah akamsikiliza mtume akiisoma akasema barabara. Halafu humo katika Qur'an yenyewe kuna ahadi ya kulindwa na mikono ya watu ndio maana tangu siku hiyo mpaka leo iko hivyo hivyo.Kuna aya hata Mtume mwenyewe hakujuwa maana zake akawacha hivyo hivyo,Na ziko nyingi tumejuwa sisi na nyingi bado hatujajuwa watajuwa wajukuu zetu lakini bado hatujabadilisha.Kwa maana hiyo japo mikono iliyoandika ni ya watu lakini ni maneno ya Allah mwenyewe.kwa sababu aliishusha yeye muda baada ya muda na akahakikisha ni vile vile alivyotaka kupitia malaika wake Jibril alayhi salaam.Kwani Quran yenu imeandikwa na nani 🤔🤔
"Quran yetu iliandikwa na watu"Qur'an yetu iliandikwa na watu chini ya usimamizi wa Mtume swalaLlaahu alayhi wa sallam halafu akaja malaikia aliyekuwa akiishusha kutoka kwa Allah akamsikiliza mtume akiisoma akasema barabara. Halafu humo katika Qur'an yenyewe kuna ahadi ya kulindwa na mikono ya watu ndio maana tangu siku hiyo mpaka leo iko hivyo hivyo.Kuna aya hata Mtume mwenyewe hakujuwa maana zake akawacha hivyo hivyo,Na ziko nyingi tumejuwa sisi na nyingi bado hatujajuwa watajuwa wajukuu zetu lakini bado hatujabadilisha.Kwa maana hiyo japo mikono iliyoandika ni ya watu lakini ni maneno ya Allah mwenyewe.kwa sababu aliishusha yeye muda baada ya muda na akahakikisha ni vile vile alivyotaka kupitia malaika wake Jibril alayhi salaam.
Nashangaa nyinyi mnaandika kila siku na muandishi akiona kuna kitu hakielewi anaweka fikra zake kama ulivyoona pale juu nilipowawekea bayana.
Thibitisha Mungu yupo, hapo unahubiri tu.Suratul ikhlas
1 .sema yeye ni Mwenyezi Mungu ni mmoja.
Kipindi flan hapa bongo wakajichanganya wakamdanganya dogo flan kuwa ukikojolea Quran utakufa. Dogo akakikojolea bana kutaka kuhakiki huo uongo. Waliandamana kama mandez wakati ni wao wenyewe walisababisha.Uhuru wa kujieleza. Marekani huwa wanachoma bendera yao, ni sehemu ya uhuru wa kujieleza.
Kwani wakichoma Quran, Allah atakufa?
Mbona watu wanakuwa sensitive hivyo?
Ile Quran si makaratasi tu?
Au mnaabudu Quran?
Waislamu wanamuabudu Allah au wanaiabudu Quran?
Walichoma Hadi makanisa, hawakuishia kuandamana.Kipindi flan hapa bongo wakajichanganya wakamdanganya dogo flan kuwa ukikojolea Quran utakufa. Dogo akakikojolea bana kutaka kuhakiki huo uongo. Waliandamana kama mandez wakati ni wao wenyewe walisababisha.