Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Mungu ndio mkuu kwa Sababu yeye ndie anaetoa uhai na kufisha hivyo tunakemea vitendo kama hivyo vya kunidharau Qur'an Kwa Sababu Mungu akileta adhabu haichagui mfano mdogo tetemeko la ardhi
Hiyo kuchoma kitabu,alichonunua kwa 50,000 T shilings,ni adhabu pia,ununue kitu kwa pesa,halafu uchome,hapo anachoma pesa yake kwa ujinga.Kweli ujinga ni mzigo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ahaa nyie ndio wale muliopata digree zenu ambazo hazina kazi yeyote lakin bado munajiona wanasayansi wakubwa na kujifanya kilakitu uthibitisho wa kisayansi wakati hiyo sayansi ni mwongozo uliopangwa na mwanadamu ili kusaidia kutatua changamoto zake ,Bc we subiri uthibitisho ila ipo siku utakuja kumtaja Mungu huku ukiwa haujaupata huo uthibitisho unaousubir .na kama wewe unajua zaidi na unategemea zaidi sayansi bc jizuilie kifo au ugonjwa usiumwe .
Hakuna hoja hapo

Vitisho ni silaha ya mwisho ya mjinga

Hujaweza kuthibitisha Mungu yupo, unahubiri.

Kwamba sayansi ni mpango wa mwanadamu, Je hadithi za Mungu ni mpango wa nani?

Kushindwa kuzuia kifo na magonjwa hakuna uhusiano wowote katika kuthibitisha uwepo wa Mungu.

Unaelewa kuwa hata uwepo wa kifo na magonjwa ni uthibitisho kuwa Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo, wala hawezekani kuwepo!?
 
Kumbe unachokusudia kusema kuhusu hiyo aya ni kuwa waislamu wanaamini dunia ni kama mkeka.Ndio maana nimekwambia lazima ujifunze na uwasililize waislamu wenyewe ndipo utaelewa.Hebu sikiliza jawabu hapo halafu urudi tena.Vistari vyako hivyo huwezi kufika pahala.

Hujaweza kutengua hoja nlizokupa

Tengua hoja kwa hoja.

Mimi nimekueleza vizuri kwa maandishi na kauli halisia zinatoka kwangu.

Acha kuwasingizia wafia dini wenzio wa youtube.
 
Malizia maneno mpaka mwisho.Ni kitabu cha Mungu kwa watu lazima watu wahusike lakini angalia mlolongo wa uandishi wake na uhifadhi wake,ni muujiza usio na shaka.
The same applies to the Bible
 
Hujaweza kutengua hoja nlizokupa

Tengua hoja kwa hoja.

Mimi nimekueleza vizuri kwa maandishi na kauli halisia zinatoka kwangu.

Acha kuwasingizia wafia dini wenzio wa youtube.
Kanuni ya kutengua hoja kwa hoja kwa njia ya maandishi umeitoa wapi.Au ni baada ya kuona ukweli na huwezi kujibu,
Hapo mwanzo hatukuwekeana kanuni kuwa nikitoa hoja kwa maandishi rudisha kwa maandishi.Elewa jawabuj zinaweza kuwa kwa njia nyingi.pamoja na hivyo sikumbuki iwapo ulikuwa na hoja za maana kweli za kujibiwa hivyo unavyotaka.Hilo jibu moja kwa hali yako linakutosha kuelewa iwapo una akili kweli.
 
Vhochote unachokiona au kukisikia au kukigusa,ujuwe yupo aliyefanya kiwepo.
Ukiona gari,halafu ukamsikia mtu abasema hakuna aliyefanya iwepo,utajua wazi huo ni punguani.Na ndio hivyo ilivyo,!,kwa anayeona dunia,halafu aseme hakuna aliyeifanya iwepo,!huonekana punguani.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sawa ngoja nikubali wazo lako. (kwa mujibu wako)

Tumeanza kujiuliza kuwa kama vitu vyote tunavyoviona lazima awepo aliyevifanya.

Huyo aliyevifanya tuvionavyo yeye kafanywa na nani?
 
Nimefurahi sana kusikia "idadi kubwa ya kuomba kibali", Ma shaa Allah, kumbe mpaka waombe kibali? Kitabi kipi kingine kukichoma mpaka kiombewe kibali?

Huo pekee ni muujiza wa Qur'an.
Nimechekaaaaaaaaaa!ati muujiza
 
Kanuni ya kutengua hoja kwa hoja kwa njia ya maandishi umeitoa wapi.Au ni baada ya kuona ukweli na huwezi kujibu,
Hapo mwanzo hatukuwekeana kanuni kuwa nikitoa hoja kwa maandishi rudisha kwa maandishi.Elewa jawabuj zinaweza kuwa kwa njia nyingi.pamoja na hivyo sikumbuki iwapo ulikuwa na hoja za maana kweli za kujibiwa hivyo unavyotaka.Hilo jibu moja kwa hali yako linakutosha kuelewa iwapo una akili kweli.
Bado hujaweza kunijibu hoja nlizokupa hapo juu, jibu hoja wewe habari ya kunipa video ya wafia dini inamidakika mingi huoni kuwa ni mateso hayo.

Kwanini usinijibu kwa maneno hapa tu nikaona!?

Ama huna hoja tu unataka kukimbia mjadala!?

Acha janja janja wewe
 
Sawa ngoja nikubali wazo lako. (kwa mujibu wako)

Tumeanza kujiuliza kuwa kama vitu vyote tunavyoviona lazima awepo aliyevifanya.

Huyo aliyevifanya tuvionavyo yeye kafanywa na nani?
Hilo hakuna anayejua na tumepewa ahadi ya kujua huko mbele ya safari.Lakini kwa kutokujua mwanzo wake haifanyi kwamba tukanushe kuwepo kwake.Kwani kuwepo kwake kuna dalili nyingi tangu ndani ya viwiwili vyetu mpaka kwa vile vinavyotuzunguka.
 
Navyofaham Kuran ni kitabu kitakatifu, kinapaswa kuhemishiwa.
Nina uhakika vijana wa kiswid wamekosa maadili, na hii shida kwa Taifa.
 
Bado hujaweza kunijibu hoja nlizokupa hapo juu, jibu hoja wewe habari ya kunipa video ya wafia dini inamidakika mingi huoni kuwa ni mateso hayo.

Kwanini usinijibu kwa maneno hapa tu nikaona!?

Ama huna hoja tu unataka kukimbia mjadala!?

Acha janja janja wewe
Inaonekana wewe ni mwanafunzi mvivu wa kujifunza mambo mapya.Kwa sisi waallimu inapokuwa njia moja haiko sawa kwako tunakufuata na ile uipendayo.Wengine ni kuimba imba.
Muhimu hapo juu hoja yako kuu ilikuwa ni kuwe eti Qur'an na sisi waislamu tumesema jua linatua kwenye matope na kwamba dunia ni tambarare.Tunachosema ni kuwa kwenye Qur'an jua limetajwa kwa namna kubwa zaidi kuliko kutua kwake ambako kunathibitisha kuwa dunia ni duara.Sheikh Zakir pale kakueleza kuwa Qur'an kwenye surat Zumar imetaja mwendo wa sayari,jua na mwezi na kwamba usiku na mchana vinazungukana kwenye njia yake na neno lililotumiwa la kiarabu ni kawwara ambalo linamaana ya kuzungukana kwa usiku na mchana kwenye duara na ambako neno hilo lisingekuwa na maana iwapo kulikuwa na fikra ya dunia kuwa ni tambarare.
 
Kwahyo kwa kuandika hako kamstari hapo wewe kijana msomi kabisa na mwerevu umeweza kuthibitisha kuwa Mungu yupo?
Ndio uthibitisho wakuumbwa mbingu na ardhi usiku na mchana au unataka kusema vimekuja tu wenyewe?
 
Back
Top Bottom