Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Hiyo kuchoma kitabu,alichonunua kwa 50,000 T shilings,ni adhabu pia,ununue kitu kwa pesa,halafu uchome,hapo anachoma pesa yake kwa ujinga.Kweli ujinga ni mzigo.Mungu ndio mkuu kwa Sababu yeye ndie anaetoa uhai na kufisha hivyo tunakemea vitendo kama hivyo vya kunidharau Qur'an Kwa Sababu Mungu akileta adhabu haichagui mfano mdogo tetemeko la ardhi
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app