Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Kwahyo kwa kuandika hako kamstari hapo wewe kijana msomi kabisa na mwerevu umeweza kuthibitisha kuwa Mungu yupo?
Nataka uamini uwepo wa Mungu na utaamini kwahiyohiyo mistari unayosema ww
 
Kuna dalili ninyi zinathibitisha kua yupo muumba ila kwa wenye akili tu na mazingatio ndio wanajua haya . Ila watu wanataka uthibitisho kwa kutumia njia alizobuni mzungu kuchunguza uwepo wa mwenyezi Mungu huwez pata .wao wanasema Mungu hayupo wajizuilie kifo kupitia hiyo sayansi waliosoma je wanashindwaje?. Hiyo ni dalili moja wapo ya uwepo wa muumba mwenye nguvu .bira ya shaka kwake tutalejea ameshasema .hata hili mtu anashindwa kuwaza? Kwanini hakuna utofauti kati ya fukara na matajiri wote tunakufa!, Hivi hawa wanajua kama kuna watu hapa duniani wana pesa kiasi kwamba hata haziwezi kuisha , mpaka cha kununua hakuna lakin bado wanakufa sawa na wale ambao wanalala na njaa hawana hata uwezo wa kununua nusu ya unga! . wanashindwa kujiuliza kwa nini wanasayansi wameshindwa kuzuia kifo na wenye pesa je wanataka dalili gani tena au kiburi tu?.
Hapa ndipo huwa mnachanganya.

Mnageuza ushahidi wa kutokuwepo kwa Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kuwa ushahidi wa kuwepo kwake.

Unaelewa kuwa kitendo cha watu kufa ni ushahidi tosha kuwa Mungu mwenye sifa hizo hayupo?
 
Ndio uthibitisho wakuumbwa mbingu na ardhi usiku na mchana au unataka kusema vimekuja tu wenyewe?
Kwamba mstari wako huo ndio unathibitisha kuwa Mungu yupo, na kaumba ulimwengu huu?

Yaani kuandika hivyo tu ndo uthibitisho?

Wewe unaishi kweli, au huenda nawasiliana na kisichokuwepo!?

Vipi mimi nkiandika hivi
"
Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote hayupo na wala hawezekani kuwepo.
"
Huu ntautumia kama uthibitisho kukuthibitishia kuwa mungu hawezekaniki kuwepo?

Kama hujaelewa nakupa mfano wa pili

Nkiandika maneno haya
"
mdalamishi ni mwanamke mrembo sana
"

Hapa nakuwa nmethibitisha kuwa mdalamishi ni mwanamke mrembo sana?
 
Ndio uthibitisho wakuumbwa mbingu na ardhi usiku na mchana au unataka kusema vimekuja tu wenyewe?
Logical non sequitur, hujathibitisha Mungu kaumba usiku na mchana, mbingu na ardhi.

Ukweli kwamba hivyo vipo, haumaanishi vumeumbwa na Mungu.

Inakubidi uthibitishe vimeumbwa na Mungu na huyo Mungu yupo kweli.

Ni hivi, ukisema wewe ni mtoto wa Geirge W. Bush, inabidi uthibitishe.

Sio unasema "Mimi ni mtoto wa George W. Bush, ukibisha, kwani unasema nimejizaa mwenyewe".

Inawezekana hujajizaa mwenyewe, na wala si mtoto wa George W. Bush, baba yako Mndengereko fulani tu.

Kama unadai wewe ni mtoto wa George W. Bush, weka DNA evidence tuone.

Hizi habari za "kama unabisha, kwani nimejizaa mwenyewe" hazithibitishi kwamba wewe ni mtoto wa George W. Bush.
 
Kwamba mstari wako huo ndio unathibitisha kuwa Mungu yupo, na kaumba ulimwengu huu?

Yaani kuandika hivyo tu ndo uthibitisho?

Wewe unaishi kweli, au huenda nawasiliana na kisichokuwepo!?

Vipi mimi nkiandika hivi
"
Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote hayupo na wala hawezekani kuwepo.
"
Huu ntautumia kama uthibitisho kukuthibitishia kuwa mungu hawezekaniki kuwepo?

Kama hujaelewa nakupa mfano wa pili

Nkiandika maneno haya
"
mdalamishi ni mwanamke mrembo sana
"

Hapa nakuwa nmethibitisha kuwa mdalamishi ni mwanamke mrembo sana?
Firauni alijiita Mungu na alikua akibisha kuwa hakuna Mungu mwisho wa siku pumzi ilipokaribia kukata aliamini kuwa yupo Mungu akabaki tu kujutia .
 
Logical non sequitur, hujathibitisha Mungu kaumba usiku na mchana, mbingu na ardhi.

Ukweli kwamba hivyo vipo, haumaanishi vumeumbwa na Mungu.

Inakubidi uthibitishe vimeumbwa na Mungu na huyo Mungu yupo kweli.
Ñdio Mungu yupo
Hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mfano wa kitu chochote
 
Inaonekana wewe ni mwanafunzi mvivu wa kujifunza mambo mapya.Kwa sisi waallimu inapokuwa njia moja haiko sawa kwako tunakufuata na ile uipendayo.Wengine ni kuimba imba.
Muhimu hapo juu hoja yako kuu ilikuwa ni kuwe eti Qur'an na sisi waislamu tumesema jua linatua kwenye matope na kwamba dunia ni tambarare.Tunachosema ni kuwa kwenye Qur'an jua limetajwa kwa namna kubwa zaidi kuliko kutua kwake ambako kunathibitisha kuwa dunia ni duara.Sheikh Zakir pale kakueleza kuwa Qur'an kwenye surat Zumar imetaja mwendo wa sayari,jua na mwezi na kwamba usiku na mchana vinazungukana kwenye njia yake na neno lililotumiwa la kiarabu ni kawwara ambalo linamaana ya kuzungukana kwa usiku na mchana kwenye duara na ambako neno hilo lisingekuwa na maana iwapo kulikuwa na fikra ya dunia kuwa ni tambarare.
Quran imejaa contradictions, hivyo si kitabu cha Mungu.

Na huyo Mungu mwenyewe hayupo, ndiyo maana mpaka leo hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.
 
Hilo hakuna anayejua na tumepewa ahadi ya kujua huko mbele ya safari.Lakini kwa kutokujua mwanzo wake haifanyi kwamba tukanushe kuwepo kwake.Kwani kuwepo kwake kuna dalili nyingi tangu ndani ya viwiwili vyetu mpaka kwa vile vinavyotuzunguka.
Tulikuwa kwenye procedure ya kutafuta jibu,

Hatujalipata jibu na kuafikiana kuwa kweli huu ulimwengu umeumbwa, na muumbaji ni Mungu.

Hatujafikia kuthibitisha then unaanza kuzunguka kuwa huyo Mungu hakuna anayejua mwanzo wake na katupa ahadi tutamjua huko mbele.

Hayo ni mahubiri

Unafanya circular argument, yani ushahidi unategemea madai unayoyatoa.
Madai hujayathibitisha.

Wewe umewezajee kufikia hatua ya kusema kuwa tumepewe ahadi?

Umeweza kuthibitisha kama huyo Mungu yupo?

Yaani hujathibitisha kama Mungu yupo halafu unatuambia maneno ya kisichokuwepo, huoni kuwa unatuambia hadithi za mahubiri uliyokaririshwa.?
 
Inaonekana wewe ni mwanafunzi mvivu wa kujifunza mambo mapya.Kwa sisi waallimu inapokuwa njia moja haiko sawa kwako tunakufuata na ile uipendayo.Wengine ni kuimba imba.
Muhimu hapo juu hoja yako kuu ilikuwa ni kuwe eti Qur'an na sisi waislamu tumesema jua linatua kwenye matope na kwamba dunia ni tambarare.Tunachosema ni kuwa kwenye Qur'an jua limetajwa kwa namna kubwa zaidi kuliko kutua kwake ambako kunathibitisha kuwa dunia ni duara.Sheikh Zakir pale kakueleza kuwa Qur'an kwenye surat Zumar imetaja mwendo wa sayari,jua na mwezi na kwamba usiku na mchana vinazungukana kwenye njia yake na neno lililotumiwa la kiarabu ni kawwara ambalo linamaana ya kuzungukana kwa usiku na mchana kwenye duara na ambako neno hilo lisingekuwa na maana iwapo kulikuwa na fikra ya dunia kuwa ni tambarare.
Wewe unanipa hoja ambazo ni generally tu kuwa jua limetajwa kwa ukubwa

Ukubwa gani?

Mimi nlikuwa specific na nmekuonesha utata ulipo hapo.

Wewe umetafuta video ya mahubiri.
Sasa mimi unadhan nitasikiliza mahubiri yenu?

Sina kipya cha kuwasikiliza mkihubiri, huyo anahubiri akiwa anajua hakuna wa kumhoji.

Mimi nmekuuliza wewe muislamu, unapaswa unijibu kama muislamu.

Na usisahau mistari yangu ambayo unapaswa kuitatua

18:86
18:90

Hii mistari unapaswa uwe specific unieleze, siyo unipe video kunichanganya na mambo mengine.

Naomba unijibu hiyo mistari hapa hapa.
Mtu akisoma ili kuutafuta ukweli kwenye quran, je atatoka na uelewa upi kama siyo jua kuzama kwenye matope tu katika mstari huo?

Embu nipe tafsiri na unieleweshe, mimi video ya mahubiri siwezi kuifungua hata.

Weka maelezo hapa, acha janja janja

Chukua maelezo huko kwenye mahubiri (video) tena ambayo yanahusiana na nlichokuuliza kuhusu mistari hiyo miwili then uyaweke hapa, siyo mimi nikaskilize Mawaidha yenu huko.

Unanielewa point yangu?
 
Firauni alijiita Mungu na alikua akibisha kuwa hakuna Mungu mwisho wa siku pumzi ilipokaribia kukata aliamini kuwa yupo Mungu akabaki tu kujutia .
Mkuu umeathiriwa na hadithi tu,

Huyo farao kaandikwa vibaya na katungiwa hadithi tu ya kijinga jinga ambayo hata ukiwa na akili timamu unagundua kabisa kuwa ni hadithi.

Hujaweza kunijibu swali nlilokuuliza lenye mwendelezo wa mjadala.

Hujaweza kuthibitisha kama mungu yupo kweli, na hizo unazotumia sio hadithi tu za uongo za kutungwa na watu ili kujazia delusion za watu kama ninyi.

Wewe unahubiri.
 
Yani Allah anashindwa kumpiga mtu radi hapo hapo mtu anapochoma Quran.

Dunia nzima tujue Allah hataki mchezo na kitabu chake?
Dah Allah bhana bado hajaambiwa kwa kiarabu akisha ambiwa kwa lugha yake atajua nn la kifanya.

:anageuzwa mtu paka sasa hivi
 
Nathibitishaje Kwan huioni miujiza yake mfano nabii Mussa as alipoomba kumuona Mungu kilichomkuta unakijua Mungu hachezewi
Mifano ni hiyo tu ya zamani? Hakuna mipya?
Mungu awaonyeshe show wanaochoma quran kama uwezo huo anao.
 
Nathibitishaje Kwan huioni miujiza yake mfano nabii Mussa as alipoomba kumuona Mungu kilichomkuta unakijua Mungu hachezewi
Huyo nabii Musa unajuaje alifanya hivyo na hizo si hadithi za watu tu?

Hujathibitisha Mungu yupo, unaleta habari nyingine za nabii Musa ambayo huwezi kuithibitisha.
 
Mifano ni hiyo tu ya zamani? Hakuna mipya?
Mungu awaonyeshe show wanaochoma quran kama uwezo huo anao.
Hiyo ya zamani yenyewe kahadithiwa na waliohadithiwa na waliohadithiwa, wamechakachua habari mara elfu ndiyo kaja kuipata yeye.

Halafu hapo ndiyo anaona kathibitisha!
 
Hapo ushawapangia, huna haki hiyo.

Waache.

Nimeukiza hiviiii.

Kwani Allah anashindwa kuwapiga na radi hapo hapi wanapochima Quran, tujue Allah yupo kweli na hapendi mchezo na kitabu chake?

Huoni Allah kushindwa kutuma hata ka radi tu ni ishara kwamba hayupo?
Inawezekana ukawa umejua siri kuwa Allah ni nani!! Muhammad ndio anaye mjua Allah ni nani !! Ni siri yake mwenyewe!!! Hapo tunachopinga ni kitendo cha kuonesha Chuki kwa waislamu !!!! Ni muhimu kuheshimu imani yao kwa sababu wao wana nia ya dhati ya kumtafuta Na kumpata Mungu wa Kweli!! Quran itoke kwa Mungu au isitoke kwa Mungu ni muhimu kuheshimu,,,kitabu chao na ni muhimu kuwapenda waislamu wote na kuheshimu dini yqo!!!!
 
Inawezekana ukawa umejua siri kuwa Allah ni nani!! Muhammad ndio anaye mjua Allah ni nani !! Ni siri yake mwenyewe!!! Hapo tunachopinga ni kitendo cha kuonesha Chuki kwa waislamu !!!! Ni muhimu kuheshimu imani yao kwa sababu wao wana nia ya dhati ya kumtafuta Na kumpata Mungu wa Kweli!! Quran itoke kwa Mungu au isitoke kwa Mungu ni muhimu kuheshimu,,,kitabu chao na ni muhimu kuwapenda waislamu wote na kuheshimu dini yqo!!!!

Hujathibitisha Allah yupo.

Na Waislamu wakiaminini ujinga, watu wengine wana haki ya kuwachukia kwa kuamini ujinga.
 
Back
Top Bottom