Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Walikuambia hivyo?Huna haki ya kuwapangia.
Wanajieleza kwamba hiki kitabu kimejaa ujinga tunakichoma moto tu.
Ni haki yao ya kikatiba na wewe wala Allah wako hamuwezi kuwafanya kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuambia hivyo?Huna haki ya kuwapangia.
Wanajieleza kwamba hiki kitabu kimejaa ujinga tunakichoma moto tu.
Ni haki yao ya kikatiba na wewe wala Allah wako hamuwezi kuwafanya kitu.
Acha vitabu vijitetee vyenyewe,Waachane navyo, hawalazimishwi kuwa navyo.
Havina maajabu kama walivyotuaminisha, eti ukivichoma inakuwa kichaaKwanini wanakuwa wakali ikichomwa?
Ndiyo.Walikuambia hivyo?
Kwa sababu wanaona uongo wao kuwa Allah yupo unaanikwa hadharani.Kwanini wanakuwa wakali ikichomwa?
2012 ilifanyika Mbagala, ikaamsha maandamano ambayo walitembezewa kibano hadi wakawa walokole.Havina maajabu kama walivyotuaminisha,eti ukivichoma inakuwa kichaa
Hakiwapati chochote, kwanza ondokeni nchini mwao nendeni makwenuwanachokitafuta watakipata.
Basi wakae kwa kutuliaKwa sababu wanaona uongo wao kuwa Allah yupo unaanikwa hadharani.
Yani Allah anashindwaje kumpiga mtu anayechoma kitabu chake hata kanstroke tu ka hapohapo mtu anapochoma kitabu tujue kweli yupo?
DUU AISEEE 😜Kwani wakichoma Quran Allah anakufa?
Na wao pia hawana haki ya kufanya hivyo, maana wanawaumiza walioamua kuufuata huo ujinga. Si kila mtu na maamuzi yake, uhuru wake?Hapo ushawapangia, huna haki hiyo.
Waache.
Nimeukiza hiviiii.
Kwani Allah anashindwa kuwapiga na radi hapo hapi wanapochima Quran, tujue Allah yupo kweli na hapendi mchezo na kitabu chake?
Huoni Allah kushindwa kutuma hata ka radi tu ni ishara kwamba hayupo?
Huyo Allah yupo kweli? Mbona haishushii Gharika au moto hiyo swedenHapo ushawapangia, huna haki hiyo.
Waache.
Nimeukiza hiviiii.
Kwani Allah anashindwa kuwapiga na radi hapo hapi wanapochima Quran, tujue Allah yupo kweli na hapendi mchezo na kitabu chake?
Huoni Allah kushindwa kutuma hata ka radi tu ni ishara kwamba hayupo?
Ndiyo (walikuambia hivyo) au ni mrengo wako juu ya imani za watu? Awepo au asiwepo, kila mtu ana uhuru na maamuzi yake.Ndiyo.
Wewe hujajibu kwa nini Allah hajitetei mwenyewe?
Au ni kwa sababu hayupo?
Stories za watu tu, hayupo.Huyo allah yupo kweli? Mbona haishushii Gharika au moto hiyo sweden
Allah mpka apigwe jeki na waumini wake ndo anaonekana eti katenda,aahaaaNdiyo.
Wewe hujajibu kwa nini Allah hajitetei mwenyewe?
Au ni kwa sababu hayupo?
Kwani kuchoma quran ni mpaka uwe na kibali?Waziri mkuu wa Sweden ameshtushwa na idadi kubwa ya watu wanaoomba kila siku kibali cha kufanya maandamano na kuchoma Quran na kuidhalilisha.
Waziri mkuu anasema idadi hiyo inaongezeka siku hadi siku na hivyo hajui nini kitatokea kama hii hali ikiendelea.
Tukumbuke hivi karibuni kumekua na matukio ya kuchoma Quran na kuidhalilisha hadharani nchini Sweden.
Soma hapa.
![]()
Swedish PM ‘extremely worried’ as more apply to burn Qur’an
Ulf Kristersson says ‘there is a clear risk of something serious happening’ amid growing Muslim anger at the attacks on Islam’s holy bookwww.theguardian.com
Unauliza swali mara mbilimbiki, unataka jibu lako ulilo nalo mfukoni?Ndiyo (walikuambia hivyo) au ni mrengo wako juu ya imani za watu? Awepo au asiwepo, kila mtu ana uhuru na maamuzi yake.