Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Unauliza swali mara mbilimbiki, unataka jibu lako ulilo nalo mfukoni?

Nimekuuliza, kama Allah yupo, kwanini hawapatilizi hawa watu hapohapo tukajua yupo?

Hujajibu.

Huyo Allah hayupo, acheni upuuzi.
Waache watu na upuuzi wao!
 
Allah anakuwa Mungu wa sanamu, akianguka anasubiri kuinuliwa hawezi kujiinua mwenyewe [emoji28][emoji28][emoji28]
Aahaaaaa,mkuu umenikumbusha riwaya ya Jean-Paul Sartre kwenye riwaya yake ya The Flies

Mule ndani Zeus anamwambia Mfalme Kibaraka kuwa "When a man knows that he is free...no God can touch or harm him"

Waislamu wanakhofia uhuru wa kufikiri kama huo wa Waswidi
 
kwao hyo nchi waliiumba wao?wanajuathata ni mchanga kiasi gani umetumika kuitengeza hyo nchi.dunia ni mungu.hao watakuja kupigwa tukio ambalo watakuja kujuta maisha yao yote
Una ushaidi wa kubackup hiyo kauli Yako hapo juu mkuu!?
 
Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.



KWA AYA KAMA HIZI ZA KISHETANI HATA MIMI NINGEIKOJOLEA NA PETROLI KUICHOMA BARABARA.
Hizi dini ni siasa za kale zikizovishwa joho la utakatifu wa Mungu asiyethibitishika.

Ni kama vile baada ya miaka elfu uambiwe CCM ni dini na Nyerere ni mtume.

Ujinga mtupu.
 
Aahaaaaa,mkuu umenikumbusha riwaya ya Jean-Paul Sartre kwenye riwaya yake ya The Flies

Mule ndani Zeus anamwambia Mfalme Kibaraka kuwa "When a man knows that he is free...no God can touch or harm him"

Waislamu wanakhofia uhuru wa kufikiri kama huo wa Waswidi
Ukiisoma Quran kwa kutumia mantiki, huwezi kuamini huu upumbavu kwamba kuna Allah.
 
kwao hyo nchi waliiumba wao?wanajuathata ni mchanga kiasi gani umetumika kuitengeza hyo nchi.dunia ni mungu.hao watakuja kupigwa tukio ambalo watakuja kujuta maisha yao yote
Huyo Allah anajua hesabu ya mchanga kiasi gani umetumika kuitengeneza hiyo nchi?

Allah kapigwa chenga na sayansi ya jua linakoenda usiku sembuse hesabu za mchanga?

Muwe mnashauriana na Allah wenu baadhi ya mambo.

Mfundisheni Allah mambo asiyoyajua ili mmnusuru.

Quran 47:7
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
 
Huyo Allah anajua hesabu ya mchanga kiasi gani umetumika kuitengeneza hiyo nchi?

Allah kapigwa chenga na sayansi ya jua linakoenda usiku sembuse hesabu za mchanga?

Muwe mnashauriana na Allah wenu baadhi ya mambo.

Mfundisheni Allah mambo asiyoyajua ili mmnusuru.

Quran 47:7
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
Kumbe mpaka wamnusuru,ahaaaaa
 
Back
Top Bottom