Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri mkuu wa Sweden ameshtushwa na idadi kubwa ya watu wanaoomba kila siku kibali cha kufanya maandamano na kuchoma Quran na kuidhalilisha.

Waziri mkuu anasema idadi hiyo inaongezeka siku hadi siku na hivyo hajui nini kitatokea kama hii hali ikiendelea.

Tukumbuke hivi karibuni kumekua na matukio ya kuchoma Quran na kuidhalilisha hadharani nchini Sweden.
---

The Swedish prime minister, Ulf Kristersson, has said that he is “extremely worried” about the consequences if more demonstrations go ahead in which the Qur’an is desecrated, amid growing Muslim anger at a series of attacks on Islam’s holy book.

Attacks on the Qur’an in Sweden and Denmark have offended many Muslim countries, including Turkey, whose backing Sweden needs to join Nato – a goal of Stockholm’s after Russia’s invasion of Ukraine.

Kristersson told the Swedish news agency TT that further requests had been filed with police for permission to hold protests where desecration of the Qur’an was again planned.

“If they are granted, we are going to face some days where there is a clear risk of something serious happening,” he said. “I am extremely worried about what it could lead to.”

Sweden’s embassy in Baghdad was stormed and set on fire on 20 July by protesters angered by a planned Qur’an burning.

Kristersson said the decision whether to grant permission for the demonstrations was up to the police.

On Wednesday, Kristersson and other Swedish officials said the country had been the target of a disinformation campaign in which “Russia-backed actors” had attempted to damage the country’s image by implying it supported the burnings.

The minister for civil defence, Carl-Oskar Bohlin, said: “Russia-backed actors are amplifying incorrect statements such as that the Swedish state is behind the desecration of holy scriptures.”

Sweden’s security service, Sapo, has kept its assessment of the threat level at 3 on a scale of 5, signifying an “elevated threat” during the crisis, but its head said there had been a strong reaction to recent events. “Sweden has gone from being seen as a tolerant country to being seen as an anti-Islamic land,” Charlotte von Essen told reporters on Thursday.

Denmark and Sweden have said they deplore the burning of the Qur’an but cannot prevent it under rules protecting free speech.

Sweden has accused other countries – such as Russia – of manipulating the crisis to damage its interests and its effort to join Nato.

“In some countries there is a perception that the Swedish state is behind, or condones, this. We don’t,” the Swedish foreign minister, Tobias Billström, said on Thursday. “These are acts committed by individuals, but they do it within the framework of freedom of speech laws,” he said.

Billström said he had been in touch with the foreign ministers of Iran, Iraq, Algeria and Lebanon, among others, as well as the UN secretary-general about the current crisis. He said he would shortly be speaking to the secretary-general of the multinational Organisation of Islamic Cooperation.

The Swedish government is facing a difficult balancing act in defending far-reaching freedom of speech laws, while at the same time avoiding potential insult to Muslims.

Its position is not made easier by the anti-immigration Sweden Democrats party, whose support keeps the right-of-centre coalition in power, though it is not formally part of the government.

Members of the Sweden Democrats, the biggest party on the right, have repeatedly warned about the “Islamisation” of Swedish society and called for immigrants to adopt “Swedish” values.

Source: The Guardian
They cant change its message, so they decide to burn it

Kuna watu ni wajinga sana
 
They cant change its message, so they decide to burn it

Kuna watu ni wajinga sana
By now kila kitu kipo wazi hao wanaozuia kuchoma moto Quran ni wapumbavu kabisa, wala si wajinga tena.

Unalazimisha vioi mtu kuacha utamaduni wake afuate wako?

Wasaudi hawaruhusu wasio Waislamu kuingia Mecca.

Ulisikia Waswidi wanalazimisha kuingia Mecca?
 
They cant change its message, so they decide to burn it

Kuna watu ni wajinga sana
Ni wajinga sana,unachoma vitabu kila dakika,makampuni ya uchapishaji yanachapisha vipya na kusambazwa.Wanatoa pesa kununua,na kuwapa faida wafanyabiashara wa vitabu.Wangenunua na simu janja wakachoma,maana zina app za Qur'an .

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hiki ni kichaa Allah kawapa hawa watu wa kuchoma Qur'an,unatoa pesa kununua kitabu,halafu unakichoma,kama sio ukichaa nini,anachoma pesa yake mwenyewe
Na bado mtu huyo huyo,anatembea na smartphone ina app ya Qur'an lakini haichomi moto.Ujinga kweli mzigo

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hiki ni kichaa Allah kawapa hawa watu wa kuchoma Qur'an,unatoa pesa kununua kitabu,halafu unakichoma,kama sio ukichaa nini,anachoma pesa yake mwenyewe
Na bado mtu huyo huyo,anatembea na smartphone ina app ya Qur'an lakini haichomi moto.Ujinga kweli mzigo

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Thibitisha Allah yupo.
 
Hayo ni makosa ya kibinadamu tu.
Biblia kuwa na makosa ya uchapishaji haiondoi ukweli kuwa ni kitabu kitakatifu
Kumbuka hicho kitabu kimeandikawa na wa


nadamu ambao nao pia wanaweza kukosea
Loo! Kumbe kimeandikwa na wanadamu.
 
Na wewe nikisema huna kichwa kilichojaa mavi, ndiyo inakuwa kichwa chako kimejaa mavi.

Vinginevyo, nisingejipa tabu ya kusema huna kichwa kilichojaa mavi.
Ysonyesha unaanza kuelewa lakini wajifanya huelewi.Umeshaelewa.Kuwa mavi hayakai kichwani,huko kusema kwako kisichokaa kilipo,ndi hivyo hivyo hakiwezi kuwepo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Unakosea,

Unaeleza habari za huyo Mungu as if yupo kweli.

Unaweza thibitisha kama kweli tumeletwa na huyo Mungu?

Thibitisha kwanza madai kuwa Mungu yupo then ndo uanze kukosoa alichokisema.

Ukishindwa kuthibitisha uwepo wa Mungu maana ake habari za kusema "Mungu hapambani na wanadamu" yanakuwa ni batili.

Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote angekuwepo kweli, hakukuwa na haja ya kuwepo kitabu cha kumuelezea wala kutuma watu waje kumhibiri.

Kwanini asijihubiri mwenyewe?

Hakuwaza mbinu bora ya kujihubiri zaidi ya kutuma watu na kutunga vitabu vyenye contradiction kibao ambazo zinaleta utata kwa viumbe vyake.

Hivyo bhasi kwasababu huyo Mungu hakuwahi kujitokeza na anaishi kwenye hadithi tu huo ni udhihirisho kuwa hayupo.

Ni hadithi tu umemezeshwa.
Ahaa nyie ndio wale muliopata digree zenu ambazo hazina kazi yeyote lakin bado munajiona wanasayansi wakubwa na kujifanya kilakitu uthibitisho wa kisayansi wakati hiyo sayansi ni mwongozo uliopangwa na mwanadamu ili kusaidia kutatua changamoto zake ,Bc we subiri uthibitisho ila ipo siku utakuja kumtaja Mungu huku ukiwa haujaupata huo uthibitisho unaousubir .na kama wewe unajua zaidi na unategemea zaidi sayansi bc jizuilie kifo au ugonjwa usiumwe .
 
wewe si ndo unasema mungu hayupo? wala uchawi haupo? unatambua uwepo wa allah?
Watu kama hawa waliochupa mipaka subiri waumwe watamtaja Mungu bira kupata huo uthibitisho kama yupo nadhan pumzi na afya njema inawaadaa . Alikua Firauni mkaidi kuliko yeye na kuwalazimisha watu wamwite Mungu akuna Mungu mwingine ila yeye huku akiwa na mamlaka tele na ujeuri wake uliisha itakua huyo ! .waache wajifanye wanasayansi kila kitu wanataka uthibitisho
 
Watu kama hawa waliochupa mipaka subiri waumwe watamtaja Mungu bira kupata huo uthibitisho kama yupo nadhan pumzi na afya njema inawaadaa . Alikua Firauni mkaidi kuliko yeye na kuwalazimisha watu wamwite Mungu akuna Mungu mwingine ila yeye huku akiwa na mamlaka tele na ujeuri wake uliisha itakua huyo ! .waache wajifanye wanasayansi kila kitu wanataka uthibitisho
Nikweli 100%
 
Ndo ushangae na wewe mkuu, eti mtu anatishia kutoa sijui fatwa sijui data na zawadi juu Kwa atakayemuua mpinga Uislamu

Allah anashindwa nini kudeal naye personally!!

Ni kama Ile ya Salman Rushdie,

Allah anachesha kweli
Hakuna Mungu wa upendo anaweza kufurahi kuuuwawa kwa mtu kisa kachoma kitu inaanimate
 
Watu kama hawa waliochupa mipaka subiri waumwe watamtaja Mungu bira kupata huo uthibitisho kama yupo nadhan pumzi na afya njema inawaadaa . Alikua Firauni mkaidi kuliko yeye na kuwalazimisha watu wamwite Mungu akuna Mungu mwingine ila yeye huku akiwa na mamlaka tele na ujeuri wake uliisha itakua huyo ! .waache wajifanye wanasayansi kila kitu wanataka uthibitisho
Huu ndio ukweli.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom