Waingereza na ulimwengu uliostaarabika hawapendi uonevu,majungu na ubinafsi kama wanaouonyesha mabeberu wa Nato hata kujiona wamiliki wa dunia,hii haija tokea TU,uingereza,imetokea Ufaransa,Bulgaria, Ujerumani wakiendelea kuburuzwa na beberu mkuu marekani atakiona kama linavyo mnyemelea beberu mkuu mwenyewe 🤔🤔🤔Boris alikuwa Hana tofauti na tinga tinga n don't care huwa anaenda tu bila tahadhari n kiongoz mzuri ila waingereza maadili ndokila kitu
Huyu hapayuko wapi
Nywele ni kama za yule mtoto wa Princess Diana, au macho yanguHuyu hapa
Macho yako tuNywele ni kama za yule mtoto wa Princess Diana, au macho yangu
Wenzetu hawana Yale mambo kama ya kuwabeba covid19 au wabunge wa Mr.Pumba🏃🏃🏃Nina wasiwasi BoJo asije akapindua meza kama Lipumba akakataa kuwa hajajiuzulu uwaziri mkuu hahahahaha
Nalog off Z
Russia wanakuambia [emoji116][emoji116][emoji116]... umaenza kushabikia mataifa ya kikafiri nowadays?
[emoji23][emoji23][emoji23]Tupoo saivi tunaelekea Moscow na magari vita tunaenda mng’oa putin pale kremlin [emoji3]
Bora useme Wahindi ndio wenye Power Uengereza kwa sasaJewish comminity ina lobbying Power ya nguvu sana UK. Ingekuwa mwingime hiyo kashfa tu angeachia ngazi, si unaona Boris ni kashfa tu. Lakini ngoja tuone
Acheni tuu jamani niana furaha mpaka natamani ulinziWaingereza na ulimwengu uliostaarabika hawapendi uonevu,majungu na ubinafsi kama wanaouonyesha mabeberu wa Nato hata kujiona wamiliki wa dunia,hii haija tokea TU,uingereza,imetokea Ufaransa,Bulgaria, Ujerumani wakiendelea kuburuzwa na beberu mkuu marekani atakiona kama linavyo mnyemelea beberu mkuu mwenyewe 🤔🤔🤔
Wewe hata hujui kinachoendelea ndio shida ya kupuuza elimu dunia na kukalia makorokocho yasiyo weza kukusaidia ona sasa unavyoumbuka.Nimekuwa nikiwaambia Way Ukraine wa buza na Mabeberu wa ulaya na America kuwa wanachoshabikia na wanacho kifanya na kujiona wamiliki wa dunia,itakula kwao next ni Beberu mkuu Biden,Mwamba anaendelea kuikomboa Dunia.Hongera Nzee Putin🏃🏃🏃🏃🏋️.Endelea kuwatwisha vitu vizito😃😃
Siasa zetu haziangalii status ya kielimu na uchumi kwa kils mgombea kasoro Uraisi pekee so tegemea siasa za kelele nyingi siziso na maana.Hapa kwetu ,tuna maviongozi manasiasa yanabwabwaja tu, akili kiduchuu .
Wee cheki Bungeni walivyo , wanapiga makofi kwenye mambo ya kijinga tu.
Na Hawa viti maalumu Ndo kabisaaa Vitunguu Maji .
Ninavyoelewa nguvu ya lobbying inatokana na nguvu ya kiuchumi. Yes hata London yenyewe jewish community kubwa lakini Mayor ni Muslim na aliungwa mkono jewish comminity na kama sikosei alimshinda mwenye Jew.
Lobbying wanaweza hata kukuweka mwenye asili ya Mwafrika ilimradi mambi yao ya smingi yafanikiwe
Pia katika kuonesha diverisity na kuwakilisha minority, vyama vimawachagua au kuwapa watu nafasi au fursa katika uwakilishi au uongozi wa wananchi. Kuna Mzaliwa wa Iraq juzi tu aliteuliwa kuwa Waziri, wakina Sunak na wengine
Kutokea kwenye historia, Taifa la Uingereza limechangia kwa kiasi kikubwa ustawi wa taifa la Israel, wakina Rotschild wamechangia sana 'maendeleo ya kijamii' na kusapoti serikali tangu enzi na enzi. Tukumbuke pia ndio waliowapatia Taifa la Israel baada ya kuwapa huru
Dah mtu anayeipa elimu nafasi ktk ulimwengu huu huwa namuona wa maana sana. 🤣🤣🤣 Hongera sana chief utazeeka vizuriiiWewe hata hujui kinachoendelea ndio shida ya kupuuza elimu dunia na kukalia makorokocho yasiyo weza kukusaidia ona sasa unavyoumbuka.
We nato mweusi unateseka Sana .... Putin shikilia apo apo
Watakwambia kwani watanzania wenye sifa wameisha ?Kweli kabisa nguvu zao zipo kila mahali
Huyu Zahawi ni Mkurdi na mzaliwa wa Iraq
Imagine post yake na bado ni Chemical Engineer
Sasa Sisi hata police bila mbantu huwaoni natamani serikalini pia waanze kuwaondoa watu ubaguzi kwa kuwasajili na kuwapa kazi wazawa waarabu, Wasomali na hata kuwaalika Wahindi kwenye serikali zetu
Sioni tatizo lolote angalia kama wao wanafanya hivyo na ndio taifa kubwa na la zamani Kwanini sisi tushindwe
Huwa sioni mijadala kama hii inafanyika
Je ni jinsi tulivyokuzwa na kuiona serikali ikiwatenga?
Safi Sana bado yule Babu wa USABoris Johnson waziri mkuu wa Uingereza baada ya kukalia kuti kavu kwa masaa 24 yalopita hatimae leo mchana atatangaza kujiuzulu baada ya mawaziri 55 kujiuzulu nafasi zao na serikali kushindwa kujiendesha.
===
Serikali ya Waziri mkuu wa Uingereza amezama katika mzozo ambao athari zake hazijajulikana ambazo zimepelekea kujiuzulu kwa mawaziri na maafisa wengine wa ngazi ya juu waliodai kuwa wamekosa imani na uongozi wa nchi wa Johnson.
Msukosuko huo ulianza Jumanne wake, kufuatia kashfa ya unyanyasaji wa kingono inayomuhusisha Chris Pincher – mbunge wa Conservative ambaye yuko karibu na Johnson, akiwa Waziri wa uchumi , Rishi Sunak , na Waziri wa afya. Sajid Javid, viongozi wakuu katika serikali, walijiuzuru.
Sunak alidai kuwa raia wanaitarajia serikali iendeshwe kwa njia "inayofaa, uwezo na kwa umakini "; huku Javid akidai kuwa utawala wa Johnson "haufanyi kazi kwa maslahi ya taifa".
Tangu wakati ule, katika kipindi cha saa 24, zaidi ya maibu mawaziri 40 na maafisa wengine wa ngazi ya juu wamewasilisha barua zao za kujiuzuru.
Jumatano Michael Gove, mjumbe wa muda mrefu wa baraza la mawaziri, alimuomba Waziri mkuu ajiuzuru. Ombi hili baadaye liliungwa mkono naa maafisa kadhaa wa ngazi ya juu, akiwemo Waziri wa mambo ya ndani Priti Patel.
Mawaziri kadhaa muhimu wa nchi hiyo pia walihudhuria makao makuu ya serikali ya Uingereza katika ofisi ya Waziri mkuu 10 Downing Street, ambao waliidhinisha uungaji mkono wao wa kumtaka Jonson aendelee kuwa mamlakani. Hawa ni pamoja na Waziri wa utamaduni,Nadine Dorries, na Waziri wa fursa za Brexit Opportunities, Jacob Rees-Mogg.
Kwa upande wake, Boris Johnson anaonekana kupinga uwezekano wa kung’atuka madarakani na badala yake alimuondoa mamlakani Gove, mtu ambaye amekuwa muhimu katika chama cha Conservative Party kwa muongo uliopita.
''Boris Johnson wants tanataka kuendelea kupambamba .Anaamini ana watu wa kutosha wanaomzingira wanaoweza kumuwezesha kusonga mbele ,"Waziri Dorries salielezea kwa kifupi alipokuwa akiondoka katika makao makuu ya serikali Jumatano usiku.
Boris amekuwa ni kiongozi Uingereza ambaye amepokea barua za kujiuzuru nyingi zaidi tangu mwaka 1932, alikabiliwa na maswali ya wabunge Jumatano kuhusu utawala wake, ambako alieleza wazi utashi wake wa kuendelea kubakia mamlakani.
Miito inayomtaka ajiuzuru inakuja mwezi mmoja baada ya Waziri huyo mkuu kukabiliwa na hoja ya kutokuwa na imani naye ambapo 41% ya wabunge kutoka chama chake walipiga kura dhidi yake.
BBC Swahili