General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Matusi hayaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli awamu yake yote hakuwa kuboresha maslai ya wafanyakazi, Samia anastahili pongezi sanaWaziri Mkuu, Kasimu Majaliwa amesema wengi wanaolalamika kupata ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa. Ametolea mfano wa mawaziri kuwa wako baadhi ambao ongezeko lao ni 0.02%
Amewaomba watumishi kuwaamini viongozi wa vyama vya wafanyakazi. Amesema wengi waliopata ongezeko kubwa ni wale watumishi waliokuwa wanapata mishahara midogo.
Pia amesema wananchi wanapaswa kushukuru kwa ongezeko hilo ambalo miaka kadhaa iliyopita haikuwepo
Kwa zezeta Kama wewe huwezi kuelewa Wala kuona, we unachojua kumtukuza marehemu wenuYule aliyekuwepo hakuongeza mishahara lakini miundombinu ilijengwa. Huyu wa sasa haieleweki fedha inaenda wapi
Kama una mshahara wa 700K maana yake, Nyongeza yako siyo pungufu ya Tsh 42,000 ( take home ) kwa mwezi ambayo Ni sawa na Tsh Laki 5+ kwa mwaka.Kwa hiyo akina sisi wenye mshahara wa 700k ni mkubwa kama wa mawaziri?
Sasa aliekudanganya kuhusu mshahara humjui au unajitoa akili tu.Tusiwafanye watumishi kuwa mazuzu na vyama vya wafanyakazi wasiburuzwe kizembe!
Binafsi mkewangu aliye mwalimu kaongezwa 3.7% ya mshahara wake sasa waeleze ukweli sio blah blah za kisiasa kutafuta masifa yasiyo stahili. Nchi za wenzetu walitangaziwa percentage ya nyongeza na ikatimizwa bila makelele sisi wanasiasa wanawazuga watumishi nakuleta janjajanja na maneno meeengi kisa nini!!! Kwanini nchi hii inaujinga mwiiingi? WHY?
Serikali iwe open na ifanye kazi kisomi na kistaarabu bila hila.
Swali, mishahara imeongezwa kwa asilimia ngapi?
Kama viongozi serikalini nao hawajui waseme waache kudanganya wafanyakazi kama watoto!!
Kama kipindi marehemu anaumwa mtu huyu alijitokeza na kudanganya wananchi kuwa haumwi yuko kazini mpaka kifo kilipowaumbua atashindwa nini kudanganya wafanyakazi kuhusu mishahara??? Sijawahi kumuamini huyu katelephone!! Aende akadanganye watoto wake, wafanyakazi ni wasomi na welewa kuliko yeye...SHAME!! asifanye tumwite MR. BIG LIER
Anatafutiwa pembe !Mumuombee jamani. Mambo si marahisi kama mnavyomuwazia! Yawezekana anatafutiwa mutu nafaso!Asee kudanganya ni kazi ngumu sana.
Jambo likishakuwa la uongo anatupiwa aliyezoea kuongea uongo ndio aseme.
Unaelewa maana ya miundombinu?Ni miundo mbinu gan iliyojengwa?
Mama kajitahidi sana, japo hata Magufuli alijitahidi pia kwa maana mfumuko ulikua chini.Magufuli awamu yake yote hakuwa kuboresha maslai ya wafanyakazi, Samia anastahili pongezi sana
"Ngorongoro hali ni shwari, hakuna vurugu zozote"Muongo wa taifa, rais Magufuli yupo imara wa afya anaendelea na kazi pia anawasalimia sana
Tulia ww hujielewi utakuwa unaviela vyakikafara ndomana unabwabwaja ujingaSasa aliekudanganya kuhusu mshahara humjui au unajitoa akili tu.
Fanya kazi acha kumtegemea mke apandishiwe mshahara ili ukakope kupitia mshahara wake.Ujanja ujanja tu
Huelewi au akili huna? Serikali inapangaje mshahara sekta binafsi?Kuna kitu sielewi, hii mishahara ya serikali ndio inayotumika sekta binafsi au? na vipi serikali inapanga mishahara ya sekta binafsi au uhusiano uko vipi kati ya serikali na mishahara ya sekta binafsi
42 ni gross sio take home. Japo inatosha maana hakuna kazi wanafanyaKama una mshahara wa 700K maana yake, Nyongeza yako siyo pungufu ya Tsh 42,000 ( take home ) kwa mwezi ambayo Ni sawa na Tsh Laki 5+ kwa mwaka.
Jibu swali kama unajua acha ujingaHuelewi au akili huna? Serikali inapangaje mshahara sekta binafsi?
Hapo nahitaji kujibu nini? Wewe akili hauna?Jibu swali kama unajua acha ujinga
Increment kwa kiswahili ni ongezeko, au ulitaka kusemaje?Tatizo wameondoa increment...ambayo huwa inabusti sana salio mara dufu ya hilo ongezeko la elfu kumi na mbili..
Mbona hajazungumzia increments ambayo ipo kisheria na wameiondoa?
Kama serikali ambayo ndio mwajiri mkuu nchini inavunja Sheria wazi wazi na hawa waajiri wengine watafanyeje?