Waziri Mkuu: Wanaolalama kupata ongezeko la 20,000 ni wale wenye mishahara mikubwa

Safi sana Serikali,shikilieni hapo hapo..Majitu yana mavitambi ya wizi eti yaongezewe salary..

Nadhani sasa mjadala umefungwa.
 
Kwa majibu kama haya inatosha kusema 2025 wasalimie Ruangwa. Majibu hayana mashiko kabisa na mbaya zaidi Hangaya aliamua kuwapa matarajio makubwa wafanyakazi.
Ni lini na wabunge watalalamika posho ndogo? Ikitokea hii kweli nitaona uzalendo umemkuta mkutwa.
 
Wewe ni kajinga,umepunguziwa Paye kwa 1%,umeongezwa salary,umefutiwa uharamia wa loanboard na bado ukapandishwa daraja ila bado unaongea upumbavu wako...

Tote hayo yamefanyika kwa mwaka Mmja Bado inaongea upumbavu.
 
"Asilimia 75 - 78 ya watumishi wote wa Umma ndiyo wanaofaidika na hii asilimia 23 ya nyongeza ya mshahara, hata Mawaziri wetu na wao wanaongezewa asilimia 0.7" - Kassim Majaliwa - Waziri Mkuu""

mkuuu hapo umetishaaaaa
 
Wewe ndio unachagua Rais? Nenda Kwa wananchi kawambie msichague ccm kwa sababu haijawaongezea watumishi salary uone utakachojibiwa.
 
Naona waziri mkuu ameamua kumwaga Petrol kwenye moto unaowaka!
Ngoja moto umlipukie vizuri.
 
Isije ikawa wamekwisha malizana na tucta kwa sababu kauli ya mara ya mwisho kutoka serikalini walisema tucta wameenda kujadiliana... Sasa tucta kabla hawajasema tena kitu leo waziri mkuu amezungumza
Sasa tucta ndio watafanya nini? Hoja ya tucta ni hiyo hiyo kwamba kima Cha juu hawajaongesewa salary hivyo waliowaombea 15% ambayo serikali imekataa.
 
Leo usiku au kesho kutatengenezwa bonge la tukio Kama uteuzi,utenguaji etc ili tukio hili lifunikwe.

Wataalam wako jikoni wakitengeneza movie la kihindi,'steringi' lazima afie kwny shamba la maua.
Hakuna chochote, serikali imeshaweka msimamo.
 
Leo usiku au kesho kutatengenezwa bonge la tukio Kama uteuzi,utenguaji etc ili tukio hili lifunikwe.

Wataalam wako jikoni wakitengeneza movie la kihindi,'steringi' lazima afie kwny shamba la maua.
Hakuna chochote, serikali imeshaweka msimamo.
 
Pishi la pilau limempata Majaliwa......lazima litiwe sukari!😂😂

Asilimia 73% !? Labda ukijumlisha na wale wa majeshi!

Asante Mama, hata kwa hiki, ukubwa wa chungu wakijua weye mpishi.
 
Mambo mazitk kama yapi? Kauli nyepesi kama ipi?

Badikishana salary wewe WA kima Cha juu na chini Ili ufairi 23%
 
Increment kwa kiswahili ni ongezeko, au ulitaka kusemaje?
Uliajiriwa vipi ukiwa mweupe hivi?
We jamaa ni mtumishi w umma au unaongea tu tubishane hapa.
Kwenye utumishi wa umma Kuna kitu kinaitwa increments ambayo hata rais asipoongeza mshahara wafanyakazi wote wanapata na ndio inavusha mfanyakazi kutoka scale moja kwenda nyingine...
Hiyo ndio inafanya mtu anayeanza kazi leo awe tofauti na aliyeanza miaka mitatu...
Waliacha kuitekeleza toka wakati wa Magu...
Na ni pesa nono sana kulingana na mshahara wako watu wanakunja mpk laki huko.
Kwa hiyo inngepaswa hili ongezeko ndani yake iwepo na increment yaani increment+ongezeko haingekuwa elfu 12 hata kidogo.
Increment kwa kiswahili ni ongezeko, au ulitaka kusemaje?
Uliajiriwa vipi ukiwa mweupe hivi?
Increment ni ongezeko la mwaka ambalo mtumishi anapaewa kupata hata kama rais hajaongeza mishahara..
Na huwa inakuwa inaandikwa kwenye offer letter right from the beginning unapopata cheo Fulani.
Hii ndio inamfanya mfanyakazi anayeanza kazi leo atofautiane mshahara na yule alieanza miaka mitatu iliyopita.
Kwa hiyo ongezeko hili lilipawa kuwa ni increment+ ongezeko isingekiwa elfu 12 hata kidogo.
Tatizo wee si mtumishi wa umma hatutaelewana
 
Mambo yanazidi kuwa "zig zag" kwa hiyo 78% ya watumishi walikuwa wanakula 300000 ( kima cha chini) maana ndo waliopewa 23%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…