Waziri Mohamed Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI, aenda kuhiji Makkah

Ukimchunguza kwa makini huyu jamaa tofauti yake yeye na Nape ni ndogo sana
Sijui uyu alimaanisha nn kuwalinganisha lkn ikiwa ulikusudia goli la mkono safi mh Nape yupo kwa mbowe wanajadiliana jinsi kuendesha uchaguzi kwa democracy haki itendeke kuondosha malalamiko yasio na lazima!!!!!
 
Amekwenda kutubu dhambi za Uchaguzi. Huwa naamini Waisilamu wengi ni wapenda haki. Kumbe nakosea
 
Tunakuona Mudi gway kifua kikubwa, endelea tu kutung'oka Watanganyika...Uchaguzi tunaiba na Masjid kama kawa..dadekiì
 
Ndio hapa wanadamu tunapodanganywa kwamba kuna kutubu na kusamehewa...hii haipo kilq mtu atakufa na kuhukumiwa kwa dhambi zake alizovuna 🀣
Mungu husamehe yale uliomkosea yeye tu lakini uliyowafanyia wengine ni sharti wale uliowakosea wakusamehe na ndipo Mungu husamehe. !
Vinginevyo Nyanza ya moto itawahusu wote wanaohusika !
Duniani tunapita tu ! Na mateso huanzia hapahapa ili iwe fundisho kwa watu !
 
Dini imekuwa uhuni mkubwa, hizi dini ni ujambazi mtupu.
Wachawi, wezi, mafisadi na wauaji kichaka chao dini. Wakikutana viongozi wa dini wezi wenzao kama Askofu Pengo na yule wa KKKT aliyesema mama Abdul ni chaguo la Mungu. Sheikh al had na yule chizi sheikh idi nani sijui, wanamkufuru MUUMBA
 
Kwa wewe kwa mtazamo wako, kweli sababu zako za uchawa maybe siwezi kukubishia. Ila jamii za wastaarabu kiongozi ni kioo cha jamii matendo yake yanaakisi jinsi alivyo.

Kwa akili ndogo ni lazima vyombo vikuu vya habari vingetangaza, ila kila habari hata zile kashfa kubwa zilitangazwa na vyombo vya habari vikubwa? Ukiwa kiongozi maisha yako binafsi siyo siri na hii ni kwa watu wote maarufu.

Ukiwa na akili za uchawa utaona tofauti
 
Saudi Arabia wanajuwa namna ya kucheza na akili za watu. hapa hamna lolote zaidi ya utalii tu. Atarudi Tanzania huyu na ataendeleza uchawi kama kawaida, si mwaka wa uchaguzi huu?
Mkwewe kaahidi uchaguzi huu ujao utakuwa huru na haki
 
Hija ya maonesho!!

KWa ule usnenzi aliojfanya kwenye uchaguzi, bado anaona ana uwezo wa kuendelea kuwahadaa watu!!
Na kuna wajinga bado watamteta waliozoea kufanywa kondoo wa kafara
 
Bure kabisa kabisa 🀬 🀬 🀬 🀬 🀬
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ don't argue with a fool, he'll pull you down to his level and beat you with experience. And you proving to be an experienced fool
 
Nimeamini Dini ni scammer,yaani wizi wa uchaguzi halafu unaenda mekha
Viongozi wa dini wameacha kuhubiri kuhusu kuacha dhambi na kutubu, wanahubiri kuhusu mafanikio ya kiuchumi hasa upande wa Wakristo(Walokole).

Ukija upande wa Waislamu mahubiri yao wanajitahidi kuhubiri kuhusu kumrudia Mungu na hapo hapo ni mabingwa wa kuhubiri kuhusu utengano na watu wa imani nyingine. Kibaya zaidi upande huu wameishika sana dini kuliko Mungu na matendo yao.

Si vyema kuhukumu lakini sote tulihushuhudia matendo ya huyo Waziri kwenye uchaguzi wa Serikali Za Mitaa. Lakini mtizame hapo alivyoishika dini.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
 

Attachments

  • VID-20250106-WA0032.mp4
    6.3 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…