Japo ww umeona kitu!Dini imekuwa uhuni mkubwa, hizi dini ni ujambazi mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo ww umeona kitu!Dini imekuwa uhuni mkubwa, hizi dini ni ujambazi mtupu.
Sijui uyu alimaanisha nn kuwalinganisha lkn ikiwa ulikusudia goli la mkono safi mh Nape yupo kwa mbowe wanajadiliana jinsi kuendesha uchaguzi kwa democracy haki itendeke kuondosha malalamiko yasio na lazima!!!!!Ukimchunguza kwa makini huyu jamaa tofauti yake yeye na Nape ni ndogo sana
Mungu husamehe yale uliomkosea yeye tu lakini uliyowafanyia wengine ni sharti wale uliowakosea wakusamehe na ndipo Mungu husamehe. !Ndio hapa wanadamu tunapodanganywa kwamba kuna kutubu na kusamehewa...hii haipo kilq mtu atakufa na kuhukumiwa kwa dhambi zake alizovuna 🤣
Amekwenda kutubu dhambi za Uchaguzi. Huwa naamini Waisilamu wengi ni wapenda haki. Kumbe nakosea
Wachawi, wezi, mafisadi na wauaji kichaka chao dini. Wakikutana viongozi wa dini wezi wenzao kama Askofu Pengo na yule wa KKKT aliyesema mama Abdul ni chaguo la Mungu. Sheikh al had na yule chizi sheikh idi nani sijui, wanamkufuru MUUMBADini imekuwa uhuni mkubwa, hizi dini ni ujambazi mtupu.
Uchaguzi wa 2025 ni wa tume ya uchaguzi siyo TamisemiSasa si atafanya tena Mwaka huu 2025!
Kwa wewe kwa mtazamo wako, kweli sababu zako za uchawa maybe siwezi kukubishia. Ila jamii za wastaarabu kiongozi ni kioo cha jamii matendo yake yanaakisi jinsi alivyo.Duuh kwanini iwe habari? Kaenda kama Kiongozi? Au kaenda kama wengine wanavyoonekana hapo kwenye picha?.
Nadhan ingekua habari, Vyombo vya habari vikuu hapa nchini vingempa angalau dakika Moja tu.
Hilo ni suala Binafsi la Imani yake , angeamua kutokwenda pia bado Watanzania wasingemsema.
Mkwewe kaahidi uchaguzi huu ujao utakuwa huru na hakiSaudi Arabia wanajuwa namna ya kucheza na akili za watu. hapa hamna lolote zaidi ya utalii tu. Atarudi Tanzania huyu na ataendeleza uchawi kama kawaida, si mwaka wa uchaguzi huu?
Na kuna wajinga bado watamteta waliozoea kufanywa kondoo wa kafaraHija ya maonesho!!
KWa ule usnenzi aliojfanya kwenye uchaguzi, bado anaona ana uwezo wa kuendelea kuwahadaa watu!!
Anabebwa na ukwe tu basiUkimchunguza kwa makini huyu jamaa tofauti yake yeye na Nape ni ndogo sana
😂😂😂 don't argue with a fool, he'll pull you down to his level and beat you with experience. And you proving to be an experienced foolKeleleee nyingi lkn tunawajua unafiki UYesu ndio unawasumbua chuki imewajaa mngesikia kaenda kuhiji ISRAEL mngemsifia mlivo weupe vichwani!!! Uchaguzi kafanyaje mmekosa tuhuma za kumshutum mmedakia Uchaguzi toka tunavyama vingi nchi hii Wapinzani awajawai kuweka wagombea kwa 100% niCCM tu ndio inaweka 100% wapinzani Siasa zao za kubet wanatafuta seem kidogo kuna ishala ya Upinzani ndio wanaweka mtu wao huu mwaka tu Wapinzani wote wameweka wagombea 35% tu manake CCM ilishashinda kwa 65% na uchaguzi bado kufanyika ulipofanyika kugombea iyo 35% CCM ikashinda 33% upinzani 2% sasa kiakili ya kawaida mh Mchengerwa anausikaje apo wapinzani wenyewe awajaweka wagombea nchi nzima lkn wanakuja kupotosha nyumbu wao mitandaoni kuwa uchaguz umechafuliwa lkn tungeshinda!!!!!!!!!! Sasa unashindaje na ukugombea kwa 100% Nyumbu poleni sana mmebabe mzigo mzito vichwani!!
Viongozi wa dini wameacha kuhubiri kuhusu kuacha dhambi na kutubu, wanahubiri kuhusu mafanikio ya kiuchumi hasa upande wa Wakristo(Walokole).Nimeamini Dini ni scammer,yaani wizi wa uchaguzi halafu unaenda mekha
😆😆😆😆Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.
Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani
=====
📍Makkah
🕌🕋🤲🏾
Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,
Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.
Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI
Wewe unaamini hivyo kweli? Kumbuka tunadeal na CCM, wazee wa wizi hadharani na adui wa haki kwa Watanzania.Mkwewe kaahidi uchaguzi huu ujao utakuwa huru na haki
Nikiamini hivyo jua nisharogwa halafu nimerogekaWewe unaamini hivyo kweli? Kumbuka tunadeal na CCM, wazee wa wizi hadharani na adui wa haki kwa Watanzania.
Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka.
Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani
=====
📍Makkah
🕌🕋🤲🏾
Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Nchini,
Saa Sita Kasoro usiku wa tarehe 31 mwezi December 2024 ulinikuta katika Kaaba 🕋 mji mtukufu ambapo tarehe 1 Jan. 2025 nilibahatika Kufanya ibada ya Umrah katika msikiti huu mtukufu wa Makkah 🕋 , na kutumia muda mwingi kumuombea Mhe Rais. Dr Samia suluhu hassan Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyezimungu amjaalie Afya, Umri na aendelee kutuongoza Vyema, aendelee kumjaza Rehema na Baraka, ujasiri na Uongozi: nimetumia masaa kadhaa Pia kuwaombea wananchi wa Rufiji, Pamoja na Watanzania wote kwa Ujumla.
View attachment 3190672
Mwaka 2025 uwe ni Mwaka wa Mafanikio kwa kila mmoja wetu, Tufanye kazi kwa bidii na kuleta mshikamano kwa Pamoja katika Mapinduzi ya Fikra, kuwabadili Fikra za Yule asiyeamini akaamini kwamba kila jambo Linawezekana.
Ninawatakia kheri na Baraka za Mwaka mpya 2025-MCHENGRWA/MTUKAZI