Waziri Mulamula: Tanzania kuanza kununua magari Rwanda

Waziri Mulamula: Tanzania kuanza kununua magari Rwanda

Toyota ilikuwa waweke kiwanda cha kuunganisha magari yao Tanzania kutokana na mipango iliyowekwa na awamu ya 5. Alupoingia kivuruge, kila kitu kikayeyuka. Na huyu wa sasa, na hizi keso za kubambikiza, tusahau kila kitu maana kanuni inatuambia kuwa mwongo hawi mwongo kwa jambo moja.

"Nitalinda demokrasia, na hakiza watu", .... Halafu, "mkamateni huyo Mbowe, mpeni kesi yoyote maana naona wananidharau kwa kuwa mimi ni mwanamke"

"Sitaki kodi za dhuluma. Wawekezaji waje wawekeze. Tutalinda mitaji yao" .... Halafu ????? (Hakuna ajuaye).
 
Sasa watafanyafanyaje mpaka wadanganyika wote waanze kununua gari Rwanda ama wataongeza tozo & makato huko kwingineko kama walivyofanya kwenye mobile money
 
Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW

Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.

Sema yy ndio ataanza kununua gari mpya Rwanda brand new......
sisi zetu ni za mjepu za ten ten
 
MIE NILIDHANI TUTAANZA KUTENGENEZA na SISI MAGARI YETU tuna MIAKA 60 ya UHURU[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi tuna kiwanda chetu cha kutengeneza magari, acha hicho cha kuunganisha. Hukumwona prof. Mkumbo alipokuwa anazindua? Kiwanda chetu kile kinatengeneza magari yanayotumia engine ya punda au ng'ombe. Hakuna haja ya mafuta. Huoni huo ni ugunduzi wa hali ya juu?
 
Naweza kusema hii nchi imelaaniwa..ni aibu hii aibu kubwa sana...nafikiri kuanza kuhama hii nchi ili wanangu wasizaliwe kwenye hii nchi iliyotiwa laana..naombeni uelekeo ndugu zanguni.

#MaendeleoHayanaChama
Hamia Zanzibar mkuu. [emoji41]
 
Naweza kusema hii nchi imelaaniwa..ni aibu hii aibu kubwa sana...nafikiri kuanza kuhama hii nchi ili wanangu wasizaliwe kwenye hii nchi iliyotiwa laana..naombeni uelekeo ndugu zanguni.

#MaendeleoHayanaChama
😁Uelekeo gani tena situliambiwa twende Burundi?
 
Marehemu Mengi alikua na mpango mkakati wa kujenga kiwanda cha magari pale Kibaha na tayari hatua za awali zilishanza nadhani ni suala la wahusika kuresume mpango ule.
 
Marehemu Mengi alikua na mpango mkakati wa kujenga kiwanda cha magari pale Kibaha na tayari hatua za awali zilishanza nadhani ni suala la wahusika kuresume mpango ule.
 
Back
Top Bottom