Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweliTanzania ilipoteza Rais tarehe 17 march 2021
Naweza kusema hii nchi imelaaniwa..ni aibu hii aibu kubwa sana...nafikiri kuanza kuhama hii nchi ili wanangu wasizaliwe kwenye hii nchi iliyotiwa laana..naombeni uelekeo ndugu zanguni.
#MaendeleoHayanaChama
Sasa wote Nchi jirani tukiwa na viwanda vya Magari Nani atanunuwa kwa mwenzake!?Nonsense, nilijua wanaleta kiwanda hapa TZ
Hata RwandaMafuta tutanunua Uganda bwashee!
Kwani Ulaya kuna nchi haina viwanda vya Magari? Wanamuuzia nani?Sasa wote Nchi jirani tukiwa na viwanda vya Magari Nani atanunuwa kwa mwenzake!?
Tatizo hatuoni the bigger picture hapa. Haya ni mambo ya aibu, sio ya kusema kwa nguvu. Inawezekana vipi nchi ambayo mwaka 1994 walichinjana kama kuku, leo tunaenda ku-import magari kutoka kwao!! That is my point, we should be ashamed of ourselves.Sio lazima kiletwe mkuu, hakuwezikuwa na viwanda vya vw karibu hivi. Cha msingi wasiweke ma kodi yao ya hovyo tu maana member wanaonunua magari wanadai kodi ipo juu mno
Kweli JPM alikuwa kiboko, hawa watu sijui huwa wanapewa vipi hizi position, badala ya kuhamasisha high tech hapa nyumbani, mavyuo yanamwaga mechanical engineer lukuki wakiwemo automobile engineering, toka miaka ya 60 leo 2021 lakini hakuna hata bodaboda inayotengenezwa hapa bongo, siasa mbele kwa mbeleWaziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Tanzania tutaanza kununua magari kutoka Rwanda kwa wale wanaopenda VW
Mulamula amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha VW huko Rwanda akiwa na mh Rais Samia.
Hii nchi imekosa vision kabisa,yaani badala ya Rwanda kutumia resources zake kuja Tanzania kutangaza fursa ya soko la magari yanayotengenezwa nchi mwake,Tanzania ndiyo inayoingia gharama za walipa kodi wake kwenda kuitangazia Rwanda soko,Kiufupi viongozi wetu inawezekana hawajuai wanachofanya.Nonsense, nilijua wanaleta kiwanda hapa TZ
Tatizo lilichangiwa pia na Nyerere, kina mwinyi na mkapa wamekuta nchi ipo hoi ndio mana yanatokea haya kwa mfano unaambiwa wakati wa Nyerere na mwinyi mwanzoni kununua gari ilikua mpaka kibali upate ikuluTatizo hatuoni the bigger picture hapa. Haya ni mambo ya aibu, sio ya kusema kwa nguvu. Inawezekana vipi nchi ambayo mwaka 1994 walichinjana kama kuku, leo tunaenda ku-import magari kutoka kwao!! That is my point, we should be ashamed of ourselves.
Basi wakati sisi tunanunua VW kutoka Rwanda, Tanzania itawauzia Rwanda gari zetu zile Nyumbu!!Kwani Ulaya kuna nchi haina viwanda vya Magari? Wanamuuzia nani?
Umelaaniwa wewe sie tuko vizuri, Waziri kusema tutanunua gari kutoka Rwanda imekuwa nongwa? Yani uko tayari tununue kutoka Japan ila sio kwa majirani zetu ambao nao wanatuungisha kutumia bandari yetu.Naweza kusema hii nchi imelaaniwa..ni aibu hii aibu kubwa sana...nafikiri kuanza kuhama hii nchi ili wanangu wasizaliwe kwenye hii nchi iliyotiwa laana..naombeni uelekeo ndugu zanguni.
#MaendeleoHayanaChama
Acha upopoma wewe..hivi hii nchi imepata uhuru miaka 60 sasa..hatujawa na vita kubwa mbaya..tumeishi kwa amani na utulivu..leo hii kanchi kadogo kama rwanda ambako kame struggle kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe leo hii kana resemble magari na simu..wakati almost kila kitu wanategemea kwetu..wewe unaona ni sawa hii..ama sio laana katika nchi hii hasa viongozi...hii nchi imelaaniwa acha kujitia ujinga boya wewe.Umelaaniwa wewe sie tuko vizuri, Waziri kusema tutanunua gari kutoka Rwanda imekuwa nongwa? Yani uko tayari tununue kutoka Japan ila sio kwa majirani zetu ambao nao wanatuungisha kutumia bandari yetu.
Kwahio kutonunua kwao kutaondoa wao kutengeneza magari? Halafu unaposema miaka 60 Tanzania haijawahi kuwa na vita mbaya, unajua kuwa Tz imepigana vita mbaya 1978? Unajua kuwa Tz imepigana vita kuzikomboa nchi za Kusini mwa Afrika? Utakuwa umezaliwa 90s wewe sio bure.Acha upopoma wewe..hivi hii nchi imepata uhuru miaka 60 sasa..hatujawa na vita kubwa mbaya..tumeishi kwa amani na utulivu..leo hii kanchi kadogo kama rwanda ambako kame struggle kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe leo hii kana resemble magari na simu..wakati almost kila kitu wanategemea kwetu..wewe unaona ni sawa hii..ama sio laana katika nchi hii hasa viongozi...hii nchi imelaaniwa acha kujitia ujinga boya wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Haikuwahi suffer kama rwanda..tz imelaaniwa..viongozi wanawaza kuua upinzani na sio kufanya maendeleo.Kwahio kutonunua kwao kutaondoa wao kutengeneza magari? Halafu unaposema miaka 60 Tanzania haijawahi kuwa na vita mbaya, unajua kuwa Tz imepigana vita mbaya 1978? Unajua kuwa Tz imepigana vita kuzikomboa nchi za Kusini mwa Afrika? Utakuwa umezaliwa 90s wewe sio bure.
IST inakusshinda utaweza VWHatuna shida ya kununua magari kutoka Rwanda,hata kutoka japani na kwingineko bei ni ndogo tunaweza tatizo kodi za ajabu bandarini.
Labda tuanzisha kiwanda hapa
Ushapewa uelekeo. Ni Burundi mkuu..Naweza kusema hii nchi imelaaniwa..ni aibu hii aibu kubwa sana...nafikiri kuanza kuhama hii nchi ili wanangu wasizaliwe kwenye hii nchi iliyotiwa laana..naombeni uelekeo ndugu zanguni.
#MaendeleoHayanaChama