Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

Open up your mind and think big!!
All areas to Bagamoyo will expand in business exponentially.
Just compare, utanunua kiwanja Chato kwa vile uwanja mkubwa umejengwa huko?
Mkuu tafuta kitabu kinaitwa think big kimeandikwa na ben, utaelewa nlichosema hapo juu... Is not enough to open mind only but to think big y bagamoyo??
 
Waziri wa uwekezaji Mr Mwambe amesema hakuna mkataba wowote uliosainiwa hapo awali kuhusu bandari ya Bagamoyo zaidi ya minutes tu za vikao.

Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.

Chanzo: ITV habari
Maagizo ya Rais na siyo hitaji la wananchi
 
Waziri katoa maelezo mazuri sana kwenye kujibu maswali asa kwenye finance, be it alianza na blah blah za mambo ya economic benefit ambazo tushaimbiwa sana.

Bila ya maswali ya waandishi key information asingeelezea, binafsi nimependa majibu yake yana kina. I

Swala la msingi lipo pale pale maelezo yake na ya Kakoko hayana tofauti kwenye terms za payback period ya mkataba kwa kutumia hizo hizo economic models zao.

Apparently payback period ni between 15-30 years the latter being worst case scenario. Wachina wanataka kuendesha bandari for 99 or is it 66 years regardless of when they get their investment and profit back.

Na upande wa logistic na industry Park serikali ilikuwa aina shida mchina ata kesho akitaka kujenga aende alishaambiwa subject to Tanzania invest laws.

Hizo ndio zilikuwa conditions ambazo mchina azitaki anataka special concession kwenye logistic and industrial park na ziwe sehemu ya mkataba na bandari apewe muda zaidi; hizi ndio sababu zilizomfanya aingie mitini.

Kidali, kinabaki what is the government willing to compromise ili kumrudisha mchina mezani.

Mbele giza, msoga yeye piga ua bandari ijengwe; kuna watu wanatakiwa wamwambie JK ukweli stay out of Tanzania politics baki mshauri tu humo CCM vinginevyo analazimisha vitu vyenye madhara ya muda mrefu sana he is very short sighted.
Nyinyi mngeachiwa hii nchi mngeizamisha, muda wote JK amekukaa Kooni.... Huyo mzee wako Mwendazake na miradi yake yakibabe ambayo haikuwa na baraka za kitaifa hakuna hata Mmoja ulioanza kazi mmebaki kulialia tu humu.. Huo mradi utatekelexeka na utaenda kujadiliwa bungeni kila mwananchi hafahamu kinagaubaga kilichomo ndio mtafunga midomo yenu... Mtu kajenga uwanja umelala tu chato huko hamna hata ndege zinaotua na ameipa kampuni ya kwake.....%##$%#*
 
Tatizo la Watanzania ujuaji wa kila kitu hata kwa kile hatuna ufahamu nacho umetujaa. Siku shangaa awamu ya tano kuingia mikataba kimyakimya iliogopa ujuaji wa namna hii . Tuache Tanzania ya kisasa ijengwe walau tutaweza kupata japo hata kakibarua ili familia iweze kuishi
Maanake tunaishi kwa hisani za watawala?
 
Nyinyi mngeachiwa hii nchi mngeizamisha, muda wote JK amekukaa Kooni.... Huyo mzee wako Mwendazake na miradi yake yakibabe ambayo haikuwa na baraka za kitaifa hakuna hata Mmoja ulioanza kazi mmebaki kulialia tu humu.. Huo mradi utatekelexeka na utaenda kujadiliwa bungeni kila mwananchi hafahamu kinagaubaga kilichomo ndio mtafunga midomo yenu... Mtu kajenga uwanja umelala tu chato huko hamna hata ndege zinaotua na ameipa kampuni ya kwake.....%##$%#*
Dikteta alikuwa mpigaji mzuri sn
 
Dikteta alikuwa mpigaji mzuri sn
Wanajifanya hawaoni mtu mpaka anatumia kampuni yake kujenga, yaani mzee kafanya faulo kibao katika ukandarasi na upendeleo mwingine wa wazi halafu wanajitoa akili kanakwamba alikuwa mwema sana wakati alikuwa mpigaji aliotukuka mwenye ulaghai wa maneno.
 
Wanajifanya hawaoni mtu mpaka anatumia kampuni yake kujenga, yaani mzee kafanya faulo kibao katika ukandarasi na upendeleo mwingine wa wazi halafu wanajitoa akili kamakwamba alikuwa mwema sana wakati alikuwa mpigaji aliotukuka mwenye ulaghai wa maneno.
Aliona watanzania ni wajinga sn
 
Usiwaamini hawa watu.

Sawa amezipitia, swali ni je, ana utaalamu wa mikataba na maswali mengine ya kitaalamu?

Kama ambavyo Mbowe sio gaidi, na sisi wananchi sio wajinga.
Mkataba wa ujenzi wa kiwanja cha ndege kimataifa Chato uliupitia lini?
 
Open up your mind and think big!!
All areas to Bagamoyo will expand in business exponentially.
Just compare, utanunua kiwanja Chato kwa vile uwanja mkubwa umejengwa huko?
Why Bagamoyo?

Bandari ya Dar Es Salaam haifanyi kazi?
 
Nyinyi mngeachiwa hii nchi mngeizamisha, muda wote JK amekukaa Kooni.... Huyo mzee wako Mwendazake na miradi yake yakibabe ambayo haikuwa na baraka za kitaifa hakuna hata Mmoja ulioanza kazi mmebaki kulialia tu humu.. Huo mradi utatekelexeka na utaenda kujadiliwa bungeni kila mwananchi hafahamu kinagaubaga kilichomo ndio mtafunga midomo yenu... Mtu kajenga uwanja umelala tu chato huko hamna hata ndege zinaotua na ameipa kampuni ya kwake.....%##$%#*
Tatizo lenu mnatabia ya kutofuatilia how things evolve au hata kusikiliza yote yaliyoongelewa.

Waziri katoa maelezo na majibu ya kina sana kwenye hoja za msingi.

Na hata yeye kasema bandari, logistic and industrial park ni independent constituents' za mkataba

Kitu hiko hiko mchina aligomea awali anataka vyote vitatu viwe sehemu ya mkataba wa bandari na serikali ilikuwa na hoja za msingi kukataa hilo.

Sasa badala ya kuelezea what has changed on government position, unakuja na hadithi za chato; what has that got to do na bandari ya Bagamoyo.
 
Ni uwanja wa Watanzania au unamilikiwa kwanza na China kwa miaka 99? na Je huo uwanja umezuia JNIA kuendelea kufanya kazi?
Mtu unafikiria mambo ya mchicha wa shambani badala ya kufikiria mambo ya biashara!
 
Mtu unafikiria mambo ya mchicha wa shambani badala ya kufikiria mambo ya biashara!
Bila mchicha huwezi kuishi

Mchicha una faida zaidi mwilini kuliko nyama

Biashara za kuuza sehemu ya nchi yetu kwa wachina hatutaki na kitanuka msipokuwa makini
 
Back
Top Bottom