Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
- Thread starter
- #21
Tr 13 Tshs ni kama usd 5.5 million. Ni hela nyingi.. kama serikali haiwezi kudhibiti zinatolewa kwa nani na kufanya nini hiyo hela inaweza kua na athari kwa nchi.
Kazi yake inaweza kulemaza taifa kua tegemezi pia hizo azaki zinaweza kugeuza hela hizo mradi wao wa kula hela inayokuja kama rushwa ili kuipenda Marekani.
Ni takribani shilingi trilioni 3 sawa na usd 1.3billion