Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Huyu sio kwamba atakuwa ameanza ujanja ujanja leo.Ameanza ujanja ujanja
Huyu mjanja mjanja,mwizi mwizi siku zote. Sijawahi kumkubali.
Huyu ni miongoni mwa tuliopigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sio kwamba atakuwa ameanza ujanja ujanja leo.Ameanza ujanja ujanja
Ukweli ni kwamba sio kila kitu AZAKI zinafanya serikali inapenda.Kama AZAKI zitakubali kutoa ushirikiano, kwanini serikali isiahidi kusimamia vizuri miradi ikamilike kwa viwango? Sote si tunajenga nyumba moja?
Sioni hata ugumu uko wapi. Labda tunatofautiana uelewa.
Serikali ianze kutoa ushirikiano kwa kufuta kodi kwenye Shughuli za AZAKI na vifaa vinavyoagizwa na AZAKIKama AZAKI zitakubali kutoa ushirikiano, kwanini serikali isiahidi kusimamia vizuri miradi ikamilike kwa viwango? Sote si tunajenga nyumba moja?
Sioni hata ugumu uko wapi. Labda tunatofautiana uelewa.
Issue sio yeye ni nani, hilo baki nalo wewe. Wengine tunaangalia alisema nini..Unamtetea huyo muhuni?
Sijui wewe ni darasa la ngapi..? wWacha niishie kucheka tu... [emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe Waziri usikubali hizo fedha wapewe hao Azaki, watazila hakuna kitu cha maana zitafanya.
Hizo pesa ziwe kwenye account maalumu ya serikali kuzimonitor.
Mwendazake hakuwa mjinga kuzuia hizo pesa kuja kinyemela.
Azaki waainishe miradi ya kutumia hizo pesa sio tuu kuja kununua condom na ped eti ndio matumizi ya maendeleo.
Mwisho hao Azaki wawe wanapanga mipango yao Kwa kuzingatia dira ya maendeleo ya Nchi sio kila mtu anafanya lwake.
La pili B mkuuSijui wewe ni darasa la ngapi..? wWacha niishie kucheka tu... [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini awapangie? au walisaidiana kuziomba huko ubeberuni?Hapana, yuko sahihi. Tazama hata video akiwa anazungumza kwenye kikao, utaona akishauri AZAKI ziende sanjari na Dira ya Taifa, Mipango na Vipaumbele vya Serikali ili kuwe na ushirikiano katika kuleta maendeleo. Hakusema hizo fedha ipewe Serikali.
Kwani unafurahishwa nini watu wako wakiichukia Marekani?Mtu akiipenda Marekani anakuwa ametenda kosa gani kisheria?
Kuna wengine ni la pili lakini wana better reasoning.La pili B mkuu
Hizo azaki sio michezo yenye mashirikisho yao kimataifa. Azaki zinajidai kwamba zinajishughulisha na maendeleo ya jamii. Hayo ni majukumu ya serikali yetu sio serikali ya marekani.Tatizo AZAKI huwa hazishirikishwi kwenye upangaji wa Dira za taifa
Wanakaa maofisa wa Serikali peke yao kutengeneza dira na mpango ya maendeleo
Pili AZAKI aziache wafadhili huwa hawapendi AZAKI kuingiliwa na Serikali ni kama Serikali ikiingilia mambo ya mashirikisho ya vyama vya michezo tumeona Kenya ikipigwa marufuku kushiriki michuano ya kimataifa baada ya Serikali ya Kenya kuingilia mambo ya uongozi wa chama cha mpira kenya
TATU ,AZAKI hupeleka write ups zao kwa wafadhili ikiwemo USAID kwenye maeneo ambayo wanaona kuna ombwe ambalo Serikali huwa Haija li cover.
Na wewe unajiita economist? 😁😁😁
Hata mie nimeshangaa,Mtoaji mwenyewe anajua mission ya NGO.Anajua kupitia madelu zitapanwa zije zinunue uchaguziMaelezo ya kipuuzi. Azaki za kiraia zina vipaumbele vyake, na siyo laza viwe vipabele vya Serikali.
Mwigulu anataka NGOs ziwe idara za Serikali?
Haya ni maandiko yake mwenyewe. Mnapopindisha kauli zao wenyewe ni kwa manufaa ya nani? Acheni ujanja janjaHapana, yuko sahihi. Tazama hata video akiwa anazungumza kwenye kikao, utaona akishauri AZAKI ziende sanjari na Dira ya Taifa, Mipango na Vipaumbele vya Serikali ili kuwe na ushirikiano katika kuleta maendeleo.
Hakusema hizo fedha ipewe Serikali.
Na ni muhuni kweli. Unakumbuka Arusha aliua watu wasio na hatia kwa bomu pale Soweto? Huyu hashindwi chochote. Baadae akaibukia kwa TB Joshua. Mungu tu asaidie Mwigulu asiende mbele zaidi ya uwaziri. Atakuwa ni janga kuliko JPM. Asikiaye na afahamu!Unamtetea huyo muhuni?
1 Kama jukumu la maendeleo ya jamii ni jukumu.la Serikali tu siyo la Marekani kwa nini Serikali huwa inaenda kuomba pesa za misaada maendeleo Marekani?Hizo azaki sio michezo yenye mashirikisho yao kimataifa. Azaki zinajidai kwamba zinajishughulisha na maendeleo ya jamii. Hayo ni majukumu ya serikali yetu sio serikali ya marekani.
Kuna mambo mengi ya ovyo tu kuwapoteza watu malengo ya maana ili kwenda na mipango ya kibeberu ya wamarekani.
Kwa hivyo hela hizo kwa azaki kwa kweli lazima zisimamiwe kuona zinafanya nini.