Waziri Mwigulu: Sijasema fedha za AZAKI ipewe Serikali

Waziri Mwigulu: Sijasema fedha za AZAKI ipewe Serikali

Kama AZAKI zitakubali kutoa ushirikiano, kwanini serikali isiahidi kusimamia vizuri miradi ikamilike kwa viwango? Sote si tunajenga nyumba moja?

Sioni hata ugumu uko wapi. Labda tunatofautiana uelewa.
Ukiomba hizo pesa wafadhili wenyewe husimamia matumizi yake haihitaji third party Serikali na AZAKI hupewa kutokana ns proposal zao walizokubaliana na wafadhili .Huwezi inuka tu Serikali ukataka proposal zile zibadilishwe ziendane na matakwa yako sio waliyokubaliana na AZAKI husika !
 
Na wewe Waziri usikubali hizo fedha wapewe hao Azaki, watazila hakuna kitu cha maana zitafanya.

Hizo pesa ziwe kwenye account maalumu ya serikali kuzimonitor.

Mwendazake hakuwa mjinga kuzuia hizo pesa kuja kinyemela.

Azaki waainishe miradi ya kutumia hizo pesa sio tuu kuja kununua condom na ped eti ndio matumizi ya maendeleo.

Mwisho hao Azaki wawe wanapanga mipango yao Kwa kuzingatia dira ya maendeleo ya Nchi sio kila mtu anafanya lwake.
Serikali hainunui pedi na kugawia wanafunzi bure wa kike wasio na uwezo mashuleni bure Haina bajeti hiyo .Sasa wakiomba wakapewa wewe shida yako nini? Unataka zikanunue made ya hospitali ni hilo Tatizo la pedi libaki hapo hapo?

Eti wazingatie dira ya maendeleo kwenye hiyo dira kuna mahali Serikali inasema itanunua pedi na kugawia watoto wa kike wasio na uwezo wa kununua bure?

Pesa ukiomba msaada inaingia kwenye akaunti ya muombaji si vinginevyo
 
Ukiomba hizo pesa wafadhili wenyewe husimamia matumizi yake hahitaji third party Serikali na AZAKI hupewa kutokana ns proposal zao walixokubaliana na wafadhili .Huwezi I uka tu Serikali ukataka proposal zile zinadilishwe ziendane na matakwa yako sio waliyokubaliana na AZAKI husika !
Point sn
 
Serikali hainunui pedi na kugawia wanafunzi bure wa kike wasio na uwezo mashuleni bure Haina bajeti hiyo .Sasa wakiomba wakapewa wewe shida yako nini? Unataka zikanunue made ya hospitali ni hilo Tatizo la pedi libaki hapo hapo?

Eti wazingatie dira ya maendeleo kwenye hiyo dira kuna mahali Serikali inasema itanunua pedi na kugawia watoto wa kike wasio na uwezo wa kununua bure?

Pesa ukiomba msaada inaingia kwenye akaunti ya muombaji si vinginevyo
Mwingulu na genge lake wanataka walipane posho
 
Wewe unadhani wanaotoa fedha huwa wanamwaga tu bila kuelezwa hiyo pesa inaenda kufanya nini?

Hiyo ni fedha iliyotengwa, siyo lazima itolewe yote kama vigezo vya mtoaji havijafikika.
Mbaya zaidi hizo ASASI zimeajiri watanzania wenzetu
 
Serikali hainunui pedi na kugawia wanafunzi bure wa kike wasio na uwezo mashuleni bure Haina bajeti hiyo .Sasa wakiomba wakapewa wewe shida yako nini? Unataka zikanunue made ya hospitali ni hilo Tatizo la pedi libaki hapo hapo?

Eti wazingatie dira ya maendeleo kwenye hiyo dira kuna mahali Serikali inasema itanunua pedi na kugawia watoto wa kike wasio na uwezo wa kununua bure?

Pesa ukiomba msaada inaingia kwenye akaunti ya muombaji si vinginevyo
Acha kukurupuka kama mkojo,umesoma content yangu yote? Shughuli zao lazima ziratibiwe na Serikali na pesa hizo lazima ziwe monitored kwa sababu zina impacts kwenye uchumi.

Unapayuka hapa mbona mumeo Mwendazake alizuia pesa kwa nini hukumuuliza aziachie?
 
Acha kukurupuka kama mkojo,umesoma content yangu yote? Shughuli zao lazima ziratibiwe na Serikali na pesa hizo lazima ziwe monitored kwa sababu zina impacts kwenye uchumi.

Unapayuka hapa mbona mumeo Mwendazake alizuia pesa kwa nini hukumuuliza aziachie?
Serikali iratibu pesa za AZAKI unaota wewe

Wafadhili hawawezi kukubali

Pesa chama cha maalbinino Tanzania kwa mfano kiombe pesa USAID kwa ajili ya kuwajengea nyumba wanachama wao waishi vizuri halafu useme Serikali unazichukua zikanunue madawa hospitalini au kununua madawati sababu ndio kipau mbele chako Serikali!!! Akili zimo kweli

Hizo pesa sio za Serikali na Serikali haikuziomba kwa nini ikomalie pesa isiyo yako?
 
anakataa nini huyu madelu, sasa sialisema nothing goes on (NGO) wasipewe hela na badala yake wapewe wao kama serikali? anakataa nini sasa.
 
anakataa nini huyu madelu, sasa sialisema nothing goes on (NGO) wasipewe hela na badala yake wapewe wao kama serikali? anakataa nini sasa.
Kaenda beyond his judistriction

Haelewi kwa nini zinaitwa Non Governmental organisation anataka kuzigeuza kuwa Governmental organisation!!!! Hilo Neno NON sijui kama analijua linamaanisha nini kwa kingereza
 
Kaenda beyond his judistriction

Haelewi kwa nini zinaitwa Non Governmental organisation anataka kuzigeuza kuwa Governmental organisation!!!! Hilo Neno NON sijui kama analijua linamaanisha nini kwa kingereza
Huyo ni mjanja mjanja kama wewe.
 
Acha kukurupuka kama mkojo,umesoma content yangu yote? Shughuli zao lazima ziratibiwe na Serikali na pesa hizo lazima ziwe monitored kwa sababu zina impacts kwenye uchumi.

Unapayuka hapa mbona mumeo Mwendazake alizuia pesa kwa nini hukumuuliza aziachie?
Hivi huu utumbo unaoandika unapitiwa na bibi yako Samia?
 
Yaani Mimi nimejianzishia kiproject cha kufundisha ufugaji kuku wa kienyeji, nimekiombea hela USAID, wamenipa, kisha serikali inaniambia hizo hela nizipeleke Wizara ya uchukuzi, Kwa ajili ya kununua treni za mwendokasi! Au kununua ndege!! Au kulipia bwawa la Stigler??

Vipaumbele vya hii serikali ni nini??

Wao serikali iombee hela yenyewe Ku deal na hivyo vipaumbele vyake! Siyo kupitia AZAKI, shame!
 
Tatizo AZAKI huwa hazishirikishwi kwenye upangaji wa Dira za taifa

Wanakaa maofisa wa Serikali peke yao kutengeneza dira na mpango ya maendeleo

Pili AZAKI aziache wafadhili huwa hawapendi AZAKI kuingiliwa na Serikali ni kama Serikali ikiingilia mambo ya mashirikisho ya vyama vya michezo tumeona Kenya ikipigwa marufuku kushiriki michuano ya kimataifa baada ya Serikali ya Kenya kuingilia mambo ya uongozi wa chama cha mpira kenya

TATU ,AZAKI hupeleka write ups zao kwa wafadhili ikiwemo USAID kwenye maeneo ambayo wanaona kuna ombwe ambalo Serikali huwa Haija li cover.
Hiyo dira IPO??
Compass inazunguruka, haieleweki Ka na west au South South East!
Mihemko ndiyo inayoendesha hili taifa!
Cheap political popularity ndiyo vipaumbele vyetu!
 
SI unamkumbuka alivyotetea MAiTI za VIROBA mto ruvu kuwa wale ni wahamiaji haramu kutoka Ethiopia na Somalia
hatari sana kana kwamba hata huyo mhamiaji hana haki ya kuishi, yule jamaa ni zero kabisaaa kwa tone ya jiwe
 
Kwani zetu?
Tunataka za nini!
Si zimetolewa kuendana na malengo yao?
Kwani maqlengo/vipaumbele vyao ni sawa na serikali?
Mambo mengine aibu tupu!
 
Back
Top Bottom