Tr 13 Tshs ni kama usd 5.5 million. Ni hela nyingi.. kama serikali haiwezi kudhibiti zinatolewa kwa nani na kufanya nini hiyo hela inaweza kua na athari kwa nchi.
Kazi yake inaweza kulemaza taifa kua tegemezi pia hizo azaki zinaweza kugeuza hela hizo mradi wao wa kula hela inayokuja kama rushwa ili kuipenda Marekani.
Alisema "Tutazisimamia vizuri", pesa ya AZAKI unaahidi vipi kuisimamia?
Wewe ndo mbuzi katolic kweli wapewe ziingizwe kwenye akaunt za serikali !! Inaonesha huelewi AZaki ninn na serikali kujenga madarasa nawao wanunue furniture huolewi n nnNa wewe Waziri usikubali hizo fedha wapewe hao Azaki, watazila hakuna kitu cha maana zitafanya.
Hizo pesa ziwe kwenye account maalumu ya serikali kuzimonitor.
Mwendazake hakuwa mjinga kuzuia hizo pesa kuja kinyemela.
Azaki waainishe miradi ya kutumia hizo pesa sio tuu kuja kununua condom na ped eti ndio matumizi ya maendeleo.
Mwisho hao Azaki wawe wanapanga mipango yao Kwa kuzingatia dira ya maendeleo ya Nchi sio kila mtu anafanya lwake.
Nafikiri waziri amefafanua vyema, na kwa mantiki hiyo AZAKI nazo ni vyema zikatoa tamko kuhusu kumuunga mkono ama pia hata kutomuunga mkono.
Lakini ukweli ni kwamba nyuma ya misaada na matumizi ya fedha zinatolewa kwa AZAKI, kuna mambo mengi sana ambayo yamejificha. Kuna usiri mkubwa kuhusu matumizi yake, na hata pia kiasi halisi kinachotolewa ili kiweze kuja kuzifikia AZAKI hizi.
Hivi bado ameshikilia msimamo wake kwamba tuhamie Burundi?Simtetei, nimeleta taarifa niliyoona ina tija. Ukweli una haki ya kuelezwa pia.
Na wewe Waziri usikubali hizo fedha wapewe hao Azaki, watazila hakuna kitu cha maana zitafanya.
Hizo pesa ziwe kwenye account maalumu ya serikali kuzimonitor.
Mwendazake hakuwa mjinga kuzuia hizo pesa kuja kinyemela.
Azaki waainishe miradi ya kutumia hizo pesa sio tuu kuja kununua condom na ped eti ndio matumizi ya maendeleo.
Mwisho hao Azaki wawe wanapanga mipango yao Kwa kuzingatia dira ya maendeleo ya Nchi sio kila mtu anafanya lwake.
Asikubali kwani yeye ndio ameziomba hizo hela?Na wewe Waziri usikubali hizo fedha wapewe hao Azaki, watazila hakuna kitu cha maana zitafanya.
Hizo pesa ziwe kwenye account maalumu ya serikali kuzimonitor.
Mwendazake hakuwa mjinga kuzuia hizo pesa kuja kinyemela.
Azaki waainishe miradi ya kutumia hizo pesa sio tuu kuja kununua condom na ped eti ndio matumizi ya maendeleo.
Mwisho hao Azaki wawe wanapanga mipango yao Kwa kuzingatia dira ya maendeleo ya Nchi sio kila mtu anafanya lwake.
Kama AZAKI zitakubali kutoa ushirikiano, kwanini serikali isiahidi kusimamia vizuri miradi ikamilike kwa viwango? Sote si tunajenga nyumba moja?
Sioni hata ugumu uko wapi. Labda tunatofautiana uelewa.
Na wewe unajiita economist? πππYani hamjaridhika na pesa za Tozo, Kodi, mikopo na misaada mnataka mvamie na kula pesa za NGOs
Huo ndio uongozi wa watu. Unatoa ufafanuzi ulionyoaka kama huu. Mh Waziri simama uhesabiwe katika kuwatumikia Watanzania wa kizazi hiki. Muda si mwingi ujao mbereko hazitakuwa na nafasi Tanzania. Fedha za wahisani zinatoka kutokana na propasal za wadau wao na mhisani mwenyewe kuona wapi kunahitaji kusaidiwa. Muombe AZAKI nao waandike propasal zinazoshabihiana na hilo wazo la serikali.
Na wewe unajiita economist? πππ
Hapana, yuko sahihi. Tazama hata video akiwa anazungumza kwenye kikao, utaona akishauri AZAKI ziende sanjari na Dira ya Taifa, Mipango na Vipaumbele vya Serikali ili kuwe na ushirikiano katika kuleta maendeleo. Hakusema hizo fedha ipewe Serikali.
Yaani pesa za Azak zifuate vipaombele vya serikali? Hiyo Azak waliomba hizo fedha ili kusaidia vipaombele vya serikali? Kwanini serikali isiombe fedha kwa vipaombele vyake, na Azak wakaendelea na vipaombele vyao?
Nadhani alitoa ushauri tu, ukizingatia siku hizi kuna 'harmonization' inajengeka kati ya Serikali na Wadau wa Maendeleo.