Waziri Mwigulu: Sijasema fedha za AZAKI ipewe Serikali

Huyu Mwigulu nadhani anadhani hizo fedha unaweza badilisha matumizi kama yanavyobadilishaga pale Lumumba kuwapa wapiga kurà T SHIRT ,unaamua wapewe vilemba bila kuangàlia jinsia ya mpokeaji
 
Uko sahihi Waziri kajidhalilisha mbele ya USAID waweza hoji hata hiyo PhD yake

Waziri mzima wa fedha na uchumi hajui vitu vidogo kama hivyo kweli
 
Huyu Mwigulu nadhani anadhani hizo fedha unaweza badilisha matumizi kama yanavyobadilishaga pale Lumumba kuwapa wapiga kurà T SHIRT ,unaamua wapewe vilemba bila kuangàlia jinsia ya mpokeaji
Nadhani ni pesa za bajeti ya Serikali unazoweza kuzibadilisha matumizi unavyotaka
 
Kwani zetu?
Tunataka za nini!
Si zimetolewa kuendana na malengo yao?
Kwani maqlengo/vipaumbele vyao ni sawa na serikali?
Mambo mengine aibu tupu!
Mwigulu ange mu consult kwanza Raisi Mama Samia kabla kutoa hiyo Statement kwa USAID

Mama Samia kafanya kazi sana kwenye AZAKI anajua hayo mambo na ndiko aliiinukia

Mama Samia nKabla kuingia siasa alikuwa bosi kwenye moja ya AZAKI Zanzibar
 
Ni kwanini Marekani inatumia madalali kutoa the so called ‘Aid’?
 
Una roho ya kimaskini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…