Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweli unachosema Ni mabadiliko ya Kanuni namba 16 ya miundombinu ya utangazaji kidigitali ndiyo iliwabana DSTV ndiyo maana leo baada ya Waziri kutangaza mabadiliko ya Kanuni hyo wafanyakazi was Multichoice walishangilia Sana kwa vigelegele mpaka Nape mwenyewe akawanyamazisha ili aendelee kuongeaUmechanganya mkuu,
Dstv ndio ilikataa kuonesha hizo chanel bure yani bila malipo, baada ya selikali kuja na sheria kwamba visimbusi vyote lazima vioneshe chanel za ndani bila malipo.
Ndipo azam, startimes na wengine wakakubali ila dstv wao waligoma na wakaamua kufuta chanel zenyewe kwenye kisimbusi chao.
Barua inasainiwa na waziri au KM wa WizaraWaziri wa habari, Nape Nnauye ametangaza kurejeshwa kwa 'Free local channels' kwenye king'amuzi cha DSTV alipofika ofisi za Multichoice Tanzania akiyataja kama maagizo ya Rais Samia kurekebisha kanuni na Sheria.
Agosti 12, 2018 DSTV ililazimika kuondoa chaneli za FTA baada ya mamlaka ya mawasiliano nchini kuipiga mkwara wa uwezekano wa kuifutia leseni endapo itaendelea kwani ilikuwa hairuhusiwi kulipia chaneli hizo zinazopaswa kuwa bure.
Uamuzi huu pia iliwadhuru wote waliokuwa wanaendesha ving'amuzi kwa mfumo wa 'DHT' ambao iliwajumuisha pia Azam na Zuku ambao wenyewe waliamua kufata masharti na baadae kuruhusiwa.
Waziri wa mawasiliano wa wakati huo, Dkt. Mwakyembe akitoa sababu za kuzuia, alisema leseni ya kampuni hizo tatu ilikuwa na maudhui ya kulipia(Pay TV) hata kwa chaneli za FTA na pesa ikiisha zinazimwa kama luku. Pia alisema miundombinu yao ya urushaji matangazo haiko nchini.
Mwakyembe alisema waandaji wa maudhui(TV Stations) wana uhuru wa kuchagua TV zao ziwe za umma au kulipia na wakichagua za umma mapato yao yanatokana na matangazo ya biashara pekee bila kumtoza mteja kitu ambacho alisema DSTV walikiuka.
Pia, soma=> Waziri Mwakyembe: Azam, Zuku na DSTV walirusha maudhui ya ndani kinyume na leseni zao! Lazima warejeshe fedha zote walizowatoza Wananchi
View attachment 2102845View attachment 2102846View attachment 2102847
Swala la DSTV kuonyesha EPL siyo ukiritimba ...Waziri pia afuatilie na kuondoa ukiritimba wa DSTV kuonesha michezo ya EPL ili local company nayo iweze kuonyesha mpira.Azam kwa sasa ina watazamaji wa kutosha kupata kibali cha kuonesha EPL ...
Kanuni hiyo ilikuwa inasemaje?Siyo kweli unachosema Ni mabadiliko ya Kanuni namba 16 ya miundombinu ya utangazaji kidigitali ndiyo iliwabana DSTV ndiyo maana leo baada ya Waziri kutangaza mabadiliko ya Kanuni hyo wafanyakazi was Multichoice walishangilia Sana kwa vigelegele mpaka Nape mwenyewe akawanyamazisha ili aendelee kuongea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hicho unachokisema hakihusiani kabisa na wizara ya habari ya tzWaziri pia afuatilie na kuondoa ukiritimba wa DSTV kuonesha michezo ya EPL ili local company nayo iweze kuonyesha mpira.Azam kwa sasa ina watazamaji wa kutosha kupata kibali cha kuonesha EPL ...
Sijui kinasemaje ila Kwa maelezo ya Waziri Nape Mwenyewe Ni Dhahiri Kwamba serikali ndyo ilikuwa Kikwazo..Kanuni hiyo ilikuwa inasemaje?
Na kwa nini azam na wengine walikuwa wanarusha hizo chanel bure ila dstv pekee ndio ilikuwa hairushi?
Kuonyesha EPL Azam haijiamulii tu..Dstv wana leseni ya kuonyesha EPL huku sub saharan na mpunga waliotoa sio wa kitoto aiseeWaziri pia afuatilie na kuondoa ukiritimba wa DSTV kuonesha michezo ya EPL ili local company nayo iweze kuonyesha mpira.Azam kwa sasa ina watazamaji wa kutosha kupata kibali cha kuonesha EPL ...
Unajua Nini mkuuKuonyesha EPL Azam haijiamulii tu..Dstv wana leseni ya kuonyesha EPL huku sub saharan na mpunga waliotoa sio wa kitoto aisee
Sasa Azam hawezi kupewa tu kirahisi aonyeshe mechi zote 360 kwa TZ pekee.
Sio mchezo..Unajua Nini mkuu
Watu wanaona Supersports waona Vifurushi ghalisana wanafikiri labda Ni Ukiritimba...
Bill kufahamu Ligi Ghali zaidi duniani na yenye Masharti magumu Sana kiutangazaji Ni Epl
Kwa mfano Kwa Marekani kituo ambacho kimepewa Idhini ya Kurusha EPL ni NBC sports na Wanalipa US$ 2 bn
Yaani hata Utajiri wote wa Mo Dewji haufikii hiyo hela.
Kwa taarifa ya leo hao nani kasalim amri kati ya serikali na DSTV?! I mean DSTV kamkubalia serikali kuonesha hizo local channels bure au serikali kamkubalia DSTV kuonesha hizo local channels kwa kulipia?! Maana naona kila mtu anaongea yake watu wanakwepa kufafanua point ya msingi, otherwise maagizo ya NAPE hayajaelewekaUmechanganya mkuu,
Dstv ndio ilikataa kuonesha hizo chanel bure yani bila malipo, baada ya selikali kuja na sheria kwamba visimbusi vyote lazima vioneshe chanel za ndani bila malipo.
Ndipo azam, startimes na wengine wakakubali ila dstv wao waligoma na wakaamua kufuta chanel zenyewe kwenye kisimbusi chao.
Halafu mtu anazungumzia kwa Tanzania tu aiseeeeh atafirisika, we bara zima la Africa wamegawana beIN Sports na DSTV halafu mtu anakuja kusema AZAM arushe EPL mechi zote kwa Tz tu?![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sio mchezo..
Azam bado sana kuweza kuonyesha EPL in full..
Hapo Kuna mambo mawili, siasa iliyotumika kumuondoa DStv kwenye soko la ndani ndio hiyo hiyo imemrudisha kwenye soko la ndani.Ndo ninachojiuliza na mm...itakua sio fair kwa wengine kwa kweli.
SureUmechanganya mkuu,
Dstv ndio ilikataa kuonesha hizo chanel bure yani bila malipo, baada ya selikali kuja na sheria kwamba visimbusi vyote lazima vioneshe chanel za ndani bila malipo.
Ndipo azam, startimes na wengine wakakubali ila dstv wao waligoma na wakaamua kufuta chanel zenyewe kwenye kisimbusi chao.
Wanadhani ni rahisi kama kurusha mechi za kombe la mapinduzi.Halafu mtu anazungumzia kwa Tanzania tu aiseeeeh atafirisika, we bara zima la Africa wamegawana beIN Sports na DSTV halafu mtu anakuja kusema AZAM arushe EPL mechi zote kwa Tz tu?![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kweli Mkuu EPL Ghali Sana AiseeHalafu mtu anazungumzia kwa Tanzania tu aiseeeeh atafirisika, we bara zima la Africa wamegawana beIN Sports na DSTV halafu mtu anakuja kusema AZAM arushe EPL mechi zote kwa Tz tu?![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Dstv ndio kasalimu amriKwa taarifa ya leo hao nani kasalim amri kati ya serikali na DSTV?! I mean DSTV kamkubalia serikali kuonesha hizo local channels bure au serikali kamkubalia DSTV kuonesha hizo local channels kwa kulipia?! Maana naona kila mtu anaongea yake watu wanakwepa kufafanua point ya msingi, otherwise maagizo ya NAPE hayajaeleweka
Raha ya dstv series za TelemundoWakirudisha hizo local channel waondoe TBC na safari channel.
Raha ya Dstv ni michezo zingine kelele
Kwa taarifa ya leo hao nani kasalim amri kati ya serikali na DSTV?! I mean DSTV kamkubalia serikali kuonesha hizo local channels bure au serikali kamkubalia DSTV kuonesha hizo local channels kwa kulipia?! Maana naona kila mtu anaongea yake watu wanakwepa kufafanua point ya msingi, otherwise maagizo ya NAPE hayajaeleweka