zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Mtu binafsi anatafuta faida so lazima apige kazi kweli kweli hakuna uzembe. So as much as sikubaliani nayo ila ukweli usemwe private sector wako serious kwenye kazi kuliko serikalini.Sema kama una pesa huu ndo muda wa kula sasa, upewe hospital moja ya rufaa udeal nayo upige pesa
πππAkiongea na Wandishi wa habari Waziri wa Afya Nassor Mazirui( ACT wazalendo) amesema serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ipo kwenye mchakato wa kubinafsisha hospitali zote za zanzibar ile ziweze kuendeshwa na watu binafsi kuleta tija
Ikumbukwe tayari mpango huu umeshaanza kutekelezwa hasa ktk hospitali kuu ya Mnazi Mmoja ambapo huduma zote za Maabara na vipimo vya mionzi na Ultrasound tayari zinasimamiwa na makampuni binafsi.
Taarifa zisizo rasimi zinaonesha Lancent Labartories ltd ndio wanaosimamia mpango huo kwa sasa
Tangu Dr Ali Hussein Mwinyi aingie madarakani amefanya mabadiliko makubwa ktk sekta mbali mbali kisiwani humo.
Ktk sekta ya Afya amefanikiwa kujenga hospitali kubwa za rufa za miko za kisasa na kuajiri idadi kubwa ya madaktari na watoa huduma wa idara mbali mbali inakadiriwa kuwa kiwango kikubwa kuliko awamu zilizopita.
Hata hivyo Dr Hussein mwinyi anapongezwa kwa usimamizi mzuri wa rasilimali za umma na hivyo kuungwa mkono na Wananchi wengi.
View attachment 2700538
Kama hatuwezi ni muhimu tusaidiwe na wanaoweza !!
Kubetisha ππKwahiyo serikali yenyewe kazi yake itakuwa kula mishahara tu !
Duuh sasa serikali inaweza kuendesha nini?
naisi Luna mkopo ambao utakuwa una masharti haya ya kubinafisisha taasisi za serikali. Ebu tutafute nyarakaAkiongea na Wandishi wa habari Waziri wa Afya Nassor Mazirui( ACT wazalendo) amesema serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ipo kwenye mchakato wa kubinafsisha hospitali zote za zanzibar ile ziweze kuendeshwa na watu binafsi kuleta tija
Ikumbukwe tayari mpango huu umeshaanza kutekelezwa hasa ktk hospitali kuu ya Mnazi Mmoja ambapo huduma zote za Maabara na vipimo vya mionzi na Ultrasound tayari zinasimamiwa na makampuni binafsi.
Taarifa zisizo rasimi zinaonesha Lancent Labartories ltd ndio wanaosimamia mpango huo kwa sasa
Tangu Dr Ali Hussein Mwinyi aingie madarakani amefanya mabadiliko makubwa ktk sekta mbali mbali kisiwani humo.
Ktk sekta ya Afya amefanikiwa kujenga hospitali kubwa za rufa za miko za kisasa na kuajiri idadi kubwa ya madaktari na watoa huduma wa idara mbali mbali inakadiriwa kuwa kiwango kikubwa kuliko awamu zilizopita.
Hata hivyo Dr Hussein mwinyi anapongezwa kwa usimamizi mzuri wa rasilimali za umma na hivyo kuungwa mkono na Wananchi wengi.
View attachment 2700538
Mwanza na kilimanjaro hamna hospitali za ummah, acha kupotosha huo ni wizi wa kanisa dhidi ya kodi za wananchi, mbona hizo hospitali zinatoza pesa tenaSio kweli, hizo hospitali za kanisa zinatoa msaada maeneo hata yasiyo na hospitali za umma kwa bei nafuu sana sababu ya hiyo ruzuku ya serikali. Kingine zinatibu hata wasio wakristo mfano kama kule Mafia hospitali ya kanisa inatibu eneo ambalo ni 99% Muslim Sasa unategemea wakiziendesha kama private hospital, hao wananchi matibabu watayamudu?
Afya na udini wapi na wapi
Na uchaguziTozo
Kodi
Makato
π πKwahiyo serikali yenyewe kazi yake itakuwa kula mishahara tu !
Ni uvivu tu wakufikiri.Sio kweli, hizo hospitali za kanisa zinatoa msaada maeneo hata yasiyo na hospitali za umma kwa bei nafuu sana sababu ya hiyo ruzuku ya serikali. Kingine zinatibu hata wasio wakristo mfano kama kule Mafia hospitali ya kanisa inatibu eneo ambalo ni 99% Muslim Sasa unategemea wakiziendesha kama private hospital, hao wananchi matibabu watayamudu?
Afya na udini wapi na wapi
Kama una pesa ndiyo muda wa kupiga more pesa , au siyoSema kama una pesa huu ndo muda wa kula sasa, upewe hospital moja ya rufaa udeal nayo upige pesa
Bike I guess, just kiddingDuuh sasa serikali inaweza kuendesha nini?
Bora zazibar huku serikali analipa kila mwaka zaid ya 40bn shilling hasipitali za kanisa wakati hizo hela zinatosha kijenga hospiatli za umma kibaya zaidi huo mkataba hauna kikomo.
Ya Zanzibar hayanihusu kabisaVipi unaogopa?
Mbona Bongo MNH inapiga kazi sanaSafi sana
Maana serikali wao hawawezi kufanya kitu hiyo Ije na bara
Ova
Utopolo huu wa kupika ili tusijadili DPW.Akiongea na Wandishi wa habari Waziri wa Afya Nassor Mazirui( ACT wazalendo) amesema serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ipo kwenye mchakato wa kubinafsisha hospitali zote za zanzibar ile ziweze kuendeshwa na watu binafsi kuleta tija
Ikumbukwe tayari mpango huu umeshaanza kutekelezwa hasa ktk hospitali kuu ya Mnazi Mmoja ambapo huduma zote za Maabara na vipimo vya mionzi na Ultrasound tayari zinasimamiwa na makampuni binafsi.
Taarifa zisizo rasimi zinaonesha Lancent Labartories ltd ndio wanaosimamia mpango huo kwa sasa
Tangu Dr Ali Hussein Mwinyi aingie madarakani amefanya mabadiliko makubwa ktk sekta mbali mbali kisiwani humo.
Ktk sekta ya Afya amefanikiwa kujenga hospitali kubwa za rufa za miko za kisasa na kuajiri idadi kubwa ya madaktari na watoa huduma wa idara mbali mbali inakadiriwa kuwa kiwango kikubwa kuliko awamu zilizopita.
Hata hivyo Dr Hussein mwinyi anapongezwa kwa usimamizi mzuri wa rasilimali za umma na hivyo kuungwa mkono na Wananchi wengi.
View attachment 2700538
Ni ukweli ndugu yanguUtopolo huu wa kupika ili tusijadili DPW.
Haina kikomo kama ile ya DP World?Bora zazibar huku serikali analipa kila mwaka zaid ya 40bn shilling hasipitali za kanisa wakati hizo hela zinatosha kijenga hospiatli za umma kibaya zaidi huo mkataba hauna kikomo.